JembeNaNyundo
JF-Expert Member
- Dec 9, 2016
- 533
- 652
Wewe tu umeshindwa kuwa mfano kwa kuja na ID fake!
Jamii forum wabadilike ili kila mwanachama aje humu kwa jina lake halisi kwani kuna ubaya gani?
Hivi kama wewe unamheshimu na kumwogopa Mungu na umeahidi moyoni mwako kuyatenda yaliyo ya kweli na kuukwepa uongo.
Harafu ukajiunga jf kwa jina la uongo huoni kwamba unatenda dhambi?
Jf inawaongoza wana chama wake kutenda dhambi ya uongo na kwenda jehanum ya moto.
Nashauri kila mwanachama aje kwa jina lake halisi.
Kwa majina haya ya uongo kitu gani kinafichwa?