William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Tv unaenda nayo kazini ya nini wewe boya..Tv kwake nyumbani.
- huwa ni rahisi kwa boya kujisema kwa maneno yake mwenyewe kuwa ni boya, hahahahahaha
le Mutuz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tv unaenda nayo kazini ya nini wewe boya..Tv kwake nyumbani.
mwili mkubwa kama nyumba akili kisoda- huwa ni rahisi kwa boya kujisema kwa maneno yake mwenyewe kuwa ni boya, hahahahahaha
le Mutuz
Sawa mzee wa after school bash
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
mwili mkubwa kama nyumba akili kisoda
haahaha le mutuz anajiandaa kujenga hekalu sasa hivi unataka achanganyikiweNishakuambia miaka Mungu aliyotoa ya ahadi ni 70 na wewe upo kwenye 60 na ushee ,fanya hesabu vizuri hata hivyo huna cha kupoteza hivyo hamna hata Will utakayoacha
Mimi nimemaliza
Sasa wewe unachokiongea hasa ni kipi kwa maana sikuelewi, kwamba TZ hatuna uwezo (kitaalamu) kuifungia facebook au hatuwezi kuifungia facebook kwa sababu hatuna sababu ya kufanya hivyo?
- hahahaha sasa ukija kunijibu inakuweka wapi wewe genius?
le Mutuz[
tumbo kubwa kama starlet,,sifuri wewe
We mzee siamini km zinakutosha- kwani ilifanyikia shuleni au Club Escape One? Kumbe pale ni mahali pa watoto? hahahahaha
le Mutuz
Km kawa tena anakaaga siti za mbelehuyu babu bado anashiriki after school bash
We mzee siamini km zinakutosha
Sena tu kwavile natambua umri wako ndo maana sitaki tu laana
Anyway mwakani tutahudhuria wote after school bash ila usitamani vibebez vyangu
Ni kiwanja cha wakubwa ila kulikuwa na tukio la madogo- hahahahahahahaha jibu swali kumbe Escape One siku hizi ni mahali pa watoto wa shule? haya mkuu nisamehe sana hahahahaha
le Mutuz
QUOTE]Soma comment yako mara mbili au tatu, kisha angalia familia yako kama unayo, au wazazi wako kama wapo, then rudia kusoma tena comment yako, halafu jiulize madhumuni mficho yaliyo ndani ya nafsi yako.! Kisha yatakayokupata usitafute mtu wa kumlaumu jamii forum sio mbali kama udhaniavyo.
Ni kiwanja cha wakubwa ila kulikuwa na tukio la madogo
Huyu mtu anayejiita le mtuz japo ndo mara yangu ya kwanza kumsikia,anapost utumbo sawa na mwili wake. Kweli mwili mkubwa akili kisoda. Huyu si anatakiwa kukaa na kulea wajukuu? Mbona anajibu as if ni mtoto wa darasa la Tatu C?- huwa ni rahisi kwa boya kujisema kwa maneno yake mwenyewe kuwa ni boya, hahahahahaha
le Mutuz
Huyu mtu anayejiita le mtuz japo ndo mara yangu ya kwanza kumsikia,anapost utumbo sawa na mwili wake. Kweli mwili mkubwa akili kisoda. Huyu si anatakiwa kukaa na kulea wajukuu? Mbona anajibu as if ni mtoto wa darasa la Tatu C?