Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI, Daktari Profesa Janabi ana hofu na nini hadi awe na ulinzi mkubwa namna ile?

Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI, Daktari Profesa Janabi ana hofu na nini hadi awe na ulinzi mkubwa namna ile?

Nafikiri aliangusha kijiti cha kula mbakishie baba kwa bahati mbaya, ......

Haya maisha haya unaweza kuwekewa mazingira ufanye kosa ambalo likakugharimu sehemu ya uhai wako uliobaki yamkini huku litenda kwa matoeo tarajiwa.

Mungu ni mwenye huruma ukitubu anasamehe kimbembe n kwa wananzengo
 
yoga hebu njoo utuambie mtu anaelindwa sana kwenye kampuni huwa anakua na sifa gani?? Huenda huyu anaeongelea akawa na sifa za kulindwa ila wadau wanatoa povu tu.
 
Sasa umtowe daktari bingwa wa moyo anayeokowa maisha ya wengi umpeleke kwwnue kundi la wala kodi hiyo itakuwa ni akili au matope?

Nitajie daktari bingwa unayemjuwa anayeacha field yake kwenda kwenye hizi siasa uchwara au hata kuteuliwa huko.

Fuatilia vizuri historia ya mtu anayeitwa Profesa Shaba Nyerere aliwaomba Waingereza wamuache Prof Shaba arudi Tanzania kuja kusaidia Taifa lake lakini Waingereza walimuahidi kumpa Nyerere madaktari watano kumreplace Profesa Shaba lakini Nyerere alikataa hatimaye Profesa Shaba ilibidi arudi Tanzania kulitumikia Taifa.
Professor SARUNGI
 
Janabi huyu anayetuambia tusile maharage, tusile matunda, tusinywe maji, tusile nyama, tusile ugali, tusile ubwabwa, tusile hiki, tusile kile!!!

He is a nutty professor
Hahahaaaa labda nutty Profesa analindwa kwa kuwa alimtibu Jpm na kupitia matibabu hayo akajua mambo nyeti Sasa akiyatoa nchi itatikisika
 
Kwa hiyo kuwatibu ma Raisi ndio anapewa Ulinzi ?

Hii ni mpya ; huko nyuma kulikuwa na madaktari wa Rais wakina Marehemu Nhonoli, Makene na hata hawa wa Marehemu Magufuli hawakuwa na ulinzi!! Kwa huyu Janabi lazıma kutakuwa na sababu za ziada zinazofanya alindwe kivile!
 
Kabla ya kuwa daktari wa Kikwete, alikuwa daktari wa Royal Family ya Saudi Arabia. Kikwete alimuopoa huko alipopata uraisi. Ikumbukwe kuwa yeye ndiye muasisi kufanyika kwa operation za moyo TZ na tangu aanze hiyo kazi ame"save" matrilioni ya shilingi. We may not know him, he may not seem important but the institution he leads has reduced international flight of money in the name of getting treatment abroad due to such treat not being available in TZ. Actually we are reaping a lot from 0our neighbors in terms of medical services...heart diseases.

Alikuwa daktari wa Royal Family ya Saudi Arabia akiishi U.S.A? Maana Kikwete alimuopoa huyu bwana akifanya kazi Marekani alikokuwa na kaka yake anaitwa Kessy Janabi!!!!
 
Alikuwa daktari wa Royal Family ya Saudi Arabia akiishi U.S.A? Maana Kikwete alimuopoa huyu bwana akifanya kazi Marekani alikokuwa na kaka yake anaitwa Kessy Janabi!!!!
Huyu Prof wa mchongo awe daktari wa Royal family?....acheni utani ..mtu aliyefeli na kutimuliwa..hahaha
Wazee Saudi wapo mbali sana kwenye Medicine...

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Nimeshtushwa na ulinzi wa namna ile tena kwa Daktari anayekutana na watu kila uchwao.

Kuonana na Profesa Janabi ambaye ni Mkuu wa Taasisi ya Moyo Muhimbili - Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) kwa siku hizi lazima uchunguzwe kwanza na kwa masharti lukuki na kama hutokidhi matakwa nakuhakikishia utamsikia Janabi radioni.

Iweje leo na kwa siku za hivi karibuni mtu asiye kiongozi kulindwa namna ile?!?
Mkuu wale si ni Suma JKT. labda wanaepusha usumbufu wa kumuona kwa tatizo linaloweza shughulikiwa na watu wa chini yake.By the way hata hivyo huwezi tibiwa daktari mmoja na raisi wa nchi.
 
Dr wakikwete na Dr wa ugonjwa wamoyo wa magufuli na magufuli mwenyewe na magufuli alizima ghafla halali apewe ulinzi na kwasasa ni Dr wa mtoto wa malecela aliyekimbia amerika kisa familia
 
Back
Top Bottom