Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI, Daktari Profesa Janabi ana hofu na nini hadi awe na ulinzi mkubwa namna ile?

Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI, Daktari Profesa Janabi ana hofu na nini hadi awe na ulinzi mkubwa namna ile?

Alikuwa daktari wa Royal Family ya Saudi Arabia akiishi U.S.A? Maana Kikwete alimuopoa huyu bwana akifanya kazi Marekani alikokuwa na kaka yake anaitwa Kessy Janabi!!!!
Mkuu hebu kuwa serious, mtu yeyote akisoma porojo anaweza kutambua haraka. Saudi Arabia wanchukue mbongo akatibu familia ya Kifalme? Saudi Arabia hii hii ya Riyadh na ubaguzi wao wa weusi. Hakuna daktari atakuwa Tanzania na asiwepo kama yeye Saudia
 
Mkuu hebu kuwa serious, mtu yeyote akisoma porojo anaweza kutambua haraka. Saudi Arabia wanchukue mbongo akatibu familia ya Kifalme? Saudi Arabia hii hii ya Riyadh na ubaguzi wao wa weusi. Hakuna daktari atakuwa Tanzania na asiwepo kama yeye Saudia

Wanajaribu kumlemba tu kwavile anamtibu Kikwete maradhi yake!!! Hakuna cha Saudi Arabia wala Oman!!!
 
Ndo "aliechomoa betri" ishu ya mwamba.
Mwamba alidedeshwa na Wakora inaniumaga sana hii kitu.
 
Wanajaribu kumlemba tu kwavile anamtibu Kikwete maradhi yake!!! Hakuna cha Saudi Arabia wala Oman!!!
Somalia unajuwa wewe mimi nina uhakika wa yeye kuwa daktari Saudi Arabia. Nimewahi kuwa naye kwenye mitandao ya kwanza na hii ilikuwa 1994, wakati ambao ulikuwa unaweza kungoja link kufunguka kwa zaidi ya saa moja, na kulikuwa hakuna desktop au laptop ya 1GB.
 
Somalia unajuwa wewe mimi nina uhakika wa yeye kuwa daktari Saudi Arabia. Nimewahi kuwa naye kwenye mitandao ya kwanza na hii ilikuwa 1994, wakati ambao ulikuwa unaweza kungoja link kufunguka kwa zaidi ya saa moja, na kulikuwa hakuna desktop au laptop ya 1GB.

Nani kazungumzia habari za Somalia hapa? Suala sio kuwa daktari Saud Arabia bali kuwa daktari wa Saudi Royal family!!! Kuwa nae kwenye mitandao 1994 sio hoja.
 
Ila Proffesa Ngowi yeye hakuwa mtu muhimu kwa nchi hii?

Je maprofesa wote na madaktari wa wakubwa nchi hii wanapewa huo ulinzi?

Wacha alindwe ila iko siku ya Mungu kutenda haki itafika tu.
Una maana angekuwa na ulinzi contena lisingemwangukia! Really! Hii inatoka kwa mtu mwenye IQ ya kawaida au ya zezeta!
 
Kuhudumia marais ndio sifa ya kulindwa sana au kuna lingine?

Muache ujinga, kulindwa ni dhana Pana, hata mahabusu wanalindwa, ukiwa unajua Sana mambo ya ndani ya nchi lazima ulindwe, Hata Mume wa Samia lazima analindwa Sana, why?
 
Muache ujinga, kulindwa ni dhana Pana, hata mahabusu wanalindwa, ukiwa unajua Sana mambo ya ndani ya nchi lazima ulindwe, Hata Mume wa Samia lazima analindwa Sana, why?
Mambo ya ujasusi sio?
 
Sasa umtowe daktari bingwa wa moyo anayeokowa maisha ya wengi umpeleke kwwnue kundi la wala kodi hiyo itakuwa ni akili au matope?

Nitajie daktari bingwa unayemjuwa anayeacha field yake kwenda kwenye hizi siasa uchwara au hata kuteuliwa huko.

Fuatilia vizuri historia ya mtu anayeitwa Profesa Shaba Nyerere aliwaomba Waingereza wamuache Prof Shaba arudi Tanzania kuja kusaidia Taifa lake lakini Waingereza walimuahidi kumpa Nyerere madaktari watano kumreplace Profesa Shaba lakini Nyerere alikataa hatimaye Profesa Shaba ilibidi arudi Tanzania kulitumikia Taifa.
Umesha msahau Pro. Sarungi?
 
Kuna Scientist mmoja Mchaga Yuko Marekani. Kuna kipindi alikuja likizo yaani mpaka inakua kero. Yaani ulinzi ni mkali mno. Mpaka Kulala siyo nyumbani. Ni hotel na walikuwa wanahama Arusha, Moshi Mjini na Arusha. Nilisikitika Sana. Baba yake mpaka aliugua presha akimuwaza mtoto wake Genius. Ila kwao kumejengwa Sana kama ulaya na tetesi ilisimamiwa na Mmarekani!!!!! Mateso haya.
Kwao ni sehemu gani? Anaitwa nani
 
Vipi kuhusu yule aliokufa kwa kuangukiwa na kontena juzi huko Mlandizi yeye hakuwa muhimu? ukiona mtu anawekewa kipenyo ujue kuna ishu hapo kipindi cha jiwe hadi wakurugenzi wa halmashauri walikua na vipenyo.
mbona mpaka leo 80% ya wakurugenzi na wakuu wa mikoa mpka wilaya ni watu wale 100% sema tu kwa macho ya nje utaona tu kama fulani kala nafasi kama bahati lakini kiuhalisia huwa si bahat mbaya mzee
 
Janabi sio mtu mdogo ndugu. Amekuwa daktari wa Rais Kikwete kwa miaka mingi ni mtu anayeifahamu Ikulu. Lakini pia amemuhudumia JPM kwa muda mrefu kama daktari bingwa wa matatizo ya moyo. Anayajua mengi ya nchi hii kama ni ulinzi ana haki ya kulindwa ndugu.
Sasa nimeelewa. Alikuwa daktari wa Kikwete. Akawa daktari wa JPM.

Yaani daktari wa marais wawili. Ana haki ya kulindwa.
 
Back
Top Bottom