Mkurugenzi PSSSF acha dharau na mazoea kwenye haki za watumishi

Mkurugenzi PSSSF acha dharau na mazoea kwenye haki za watumishi

Rigidity

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2024
Posts
391
Reaction score
482
Wanajukwaa habari za wakati huu.
Ninatamani weekend inaenda kuanza vyema na wale wenye changamoto Mungu awafanyie wepesi

Nitakuja jukwaani tena kuujulisha umma kwamba huyu mkurugenzi wa PSSSF anadharau juu ya haki za watumishi wenzake ambao wanadai haki zao. Ajue na kuelewa maana ya haki. Hapo sio kama kule bodi ya mikopo alipokua anakadiriatu kwa kufanya ana ana dooo

Ninashindwa kuelewa nikwanini mtu amekamilisha viambatanisho vyote lakini hela hawatoi ukipiga simu wanatoa majibu haya na ukijapiga wakati mwingine wanatoa majibu mengine. Utadhani ni ofisi tofauti zenye majukumu,malengo na watumishi tofauti. Yaani ofisi ipo kama kijiwe maana haina muda maalum wa kushuhulikia matatizo ya watu.
Mfano unaweza ukaambiwa taratibu zimekamilika lakini mhasibu ametoka, ukijauliza unaambiwa malipo yanafanyika tarehe 25 hivyo subiri mwezi ujao. What a rubbish
Nikwanini haki ya mtu unaishikilia mkononi mpaka ubembelezwe? Wewe mzee umeiharibu ofisi.

Naomba kujua au huyo mhasibu na wewe lenu ni moja? Au hela za watu mnapigia kwanza dili kisha mkimaliza baada ya mwezi ndio mnawalipa wanufaika? Au wewe na huyo mhasibu mnajiona kama nyie hamgusiki kiasi cha kufanya kazi kwa mazoea na dharau

Nina uhakika kwamba TAKUKURU wakiingia kufanya kazi yao hapo watagundua uzembe mwingi na matumizi mabaya ya ofisi

Hata hivyo nitawarekodi majibu yenu kwanyakati tofauti tofauti na niyaweke jukwaani Ili watu wawasikie mnavyojichanganya. Sasa mkipigiwa simu MJITAMBULISHE KWA MAJINA YENU KAMILI ili mshuhulikiane wenyewe

Ninarudia kusema mzee ulilalamikiwa sana ukiwa bodi ya mikopo na hapo umepelekwa unaendelea kuishi kwa mazoea
Kama vipi mfuatwe huko huko Dodoma msijifanye mnashuhulukia mambo kimtandao kumbe usanii,uswahili na kupotezea watu muda
 
Wanajukwaa habari za wakati huu.
Ninatamani weekend inaenda kuanza vyema na wale wenye changamoto Mungu awafanyie wepesi

Nitakuja jukwaani tena kuujulisha umma kwamba huyu mkurugenzi wa PSSSF anadharau juu ya haki za watumishi wenzake ambao wanadai haki zao. Ajue na kuelewa maana ya haki. Hapo sio kama kule bodi ya mikopo alipokua anakadiriatu kwa kufanya ana ana dooo

Ninashindwa kuelewa nikwanini mtu amekamilisha viambatanisho vyote lakini hela hawatoi ukipiga simu wanatoa majibu haya na ukijapiga wakati mwingine wanatoa majibu mengine. Utadhani ni ofisi tofauti zenye majukumu,malengo na watumishi tofauti. Yaani ofisi ipo kama kijiwe maana haina muda maalum wa kushuhulikia matatizo ya watu.
Mfano unaweza ukaambiwa taratibu zimekamilika lakini mhasibu ametoka, ukijauliza unaambiwa malipo yanafanyika tarehe 25 hivyo subiri mwezi ujao. What a rubbish
Nikwanini haki ya mtu unaishikilia mkononi mpaka ubembelezwe? Wewe mzee umeiharibu ofisi.

Naomba kujua au huyo mhasibu na wewe lenu ni moja? Au hela za watu mnapigia kwanza dili kisha mkimaliza baada ya mwezi ndio mnawalipa wanufaika? Au wewe na huyo mhasibu mnajiona kama nyie hamgusiki kiasi cha kufanya kazi kwa mazoea na dharau

Nina uhakika kwamba TAKUKURU wakiingia kufanya kazi yao hapo watagundua uzembe mwingi na matumizi mabaya ya ofisi

Hata hivyo nitawarekodi majibu yenu kwanyakati tofauti tofauti na niyaweke jukwaani Ili watu wawasikie mnavyojichanganya. Sasa mkipigiwa simu MJITAMBULISHE KWA MAJINA YENU KAMILI ili mshuhulikiane wenyewe

Ninarudia kusema mzee ulilalamikiwa sana ukiwa bodi ya mikopo na hapo umepelekwa unaendelea kuishi kwa mazoea
Kama vipi mfuatwe huko huko Dodoma msijifanye mnashuhulukia mambo kimtandao kumbe usanii,uswahili na kupotezea watu muda
Aisee kumbe kuna usumbufu,Mimi nakaribia kuanza kufuatilia mwezie wa tatu!
 
Takukuru hawatoshi kwa uzembe wa hao jamaaa..labda Ile bodi ya musk ya doge ndio itawatia hatiani ..

Mashirika ya umma Tanzania yote yameoza, yanapaswa kufa kwa namna yeyote Ile..
Kwakweli mkuu mashirika ya umma yanasikitisha
Mtu anatoka nyumbani kwake anaenda ofisini kucheki TV utadhani kwake haipo.
 
Bahati mbaya nchi hii waganga na wachawi ni kama waoga. Huyo dawa yake ilikuwa ni kumroga tu kojoleo lipotelee tumboni na lisijekusimama tena
 
Bahati mbaya nchi hii waganga na wachawi ni kama waoga. Huyo dawa yake ilikuwa ni kumroga tu kojoleo lipotelee tumboni na lisijekusimama tena
Mkuu umeacha nimecheka sana. Halafu ujue anaweza kupigwa kitu akalala kwenye dari la nyumba yake kwa hofu
Au anaweza akapigwa kojoleo usiku akisinzia nihapa tu
 
Lakini Ukweli Usiopingika Inasikitisha Mtu Amekamilisha Taratibu Na Nyaraka Zote
Danadana Ya Nini, Mpeni Chake Akajue Mbele Huko
Mmempa Ahadi Mpaka Mmesahau

Aibu Inawafuata Sasa Watu Watawamulika Kwa Karibu Sana
 
Lakini Ukweli Usiopingika Inasikitisha Mtu Amekamilisha Taratibu Na Nyaraka Zote
Danadana Ya Nini, Mpeni Chake Akajue Mbele Huko
Mmempa Ahadi Mpaka Mmesahau

Aibu Inawafuata Sasa Watu Watawamulika Kwa Karibu Sana
Ingekua ni wizara ya mama Gwajima lazima ufumbuzi ungepatilana na angetoa ufafanuzi
Wizara inayohisika hapo imelala fofofo. Au labda ndio wanapiga dili na mkurugenzi
 
Lakini Ukweli Usiopingika Inasikitisha Mtu Amekamilisha Taratibu Na Nyaraka Zote
Danadana Ya Nini, Mpeni Chake Akajue Mbele Huko
Mmempa Ahadi Mpaka Mmesahau

Aibu Inawafuata Sasa Watu Watawamulika Kwa Karibu Sana
Ingekua wizara ya waziri mama Gwajima hii kero ingetolewa majibu na yeye mwenyewe. Lakini wengine wanashangaa shangaatu
 
Ni Viongozi Wa Ajabu Sana Hawaonyeshi Uwajibikaji
Waziri Gwajima Yupo Sawa Mpaka Kujiunga JF Anajiamini, Viongozi Wengine Ni Guest Kila Siku
Mama anaitendea haki nafasi yake.
 
Back
Top Bottom