Mkurugenzi PSSSF acha dharau na mazoea kwenye haki za watumishi

Mkurugenzi PSSSF acha dharau na mazoea kwenye haki za watumishi

Wewe utakuwa mtu wa sita nasikia wanasumbua kutoa hela za watu
Sijui tuwafuate Dodoma kwa mabango na waandishi wa habari. Au mpaka tuvae mashati ya kijani ndio mtatuheshimu
 
Wewe utakuwa mtu wa sita nasikia wanasumbua kutoa hela za watu
HAPA JF Kuna Thread Nyingi Sana Halafu Huo Mfuko Pesa Siyo Zao
Wenye Pesa Zao Wamekuja Kuchukua Kwa Utaratibu Waliouweka Tena Wagoma Kuwa, Tanzania Kuna Shida
 
Mkurugenzi ni mhaya wa ibwera bukoba vijijini Mtu poa sana. Tatizo litakuwa idara ya Complieance maana ndo wanausika kuandaa mafaile ya wanachama wanaostafu katika kila wiki usika kisha uyapekua na kuangalia kama attachement zote zimekamilika ikiwa ni pamoja na kuhakiki akaunti namba ya muhusika. Barua ya kuwaombea Malipo uandikwa kwa mkurungenzi. Baada ya kupitishwa file upelekwa kwenye chumba cha wahasibu kwa ajili ya Malipo. Vocha uandikwa moja kwa wastaafu wanaotoka kwa pamoja ndani ya wiki moja na cheque uandikwa moja ikiambatanishwa na paylist ya wastaafu na kiasi cha malipo kwa kila mstaafu na akaunti namba zao kisha upelekwa benki kwa ajili ya malipo so kamlolongo kapo japo haitakiwi kuzidi wiki tatu baada ya tarehee ya kustaafu kuwa imefika.
 
Ninayoheshima na unyenyekevu mkubwa kukuomba mh. Rais mama Samia Suluhu utusaidie kumuondoe bwn. Abdu-Razak Badru ambaye ndio mkurugenzi wa PSSSF.

Kwanyakati tofauti binafsi nimekua nikipiga sana simu ofisini kuulizia mafao yangu kama mnufaika na simu zinapokelewa lakini majibu wanayotoa niyauongo. Yaani hiyo ofisi ahadi zake nikama vile umepeleka maombi ya kukopeshwa hela na sio haki yako
Wanatuma viambatanisho kila uchao na uchwao. Hawaishi sababu

Wakati mwingine wanasema taratibu zimeshakamilika ila mhasibu hayupo hivyo subiri mwezi ujao. Hapo kwenye mwezi ujao ndio utamshukuru Mungu

Yaani wanufaika wanamalalamiko kibao lakini hawajali. Wamejaa urasimu,dharau,kiburi na mazoea.

Tunaomba utusaidie kumuondoa huyo mzee. Mungu atakubariki sana
 
Ninayoheshima na unyenuekevu mkubwa kukuomba mh. Rais mama Samia Suluhu utusaidie kumuondoe bwn. Abdu-Razak Badru ambaye ndio mkurugenzi wa PSSSF.
Kwanyakati tofauti binafsi nimekua nikipiga sana simu ofisini kuulizia mafao yangu kama mnufaika na simu zinapokelewa lakini majibu wanayotoa niyauongo. Yaani hiyo ofisi ahadi zake nikama vile umepeleka maombi ya kukopeshwa hela na sio haki yako
Hata Mimi madhila hayo yalinitesa, hivyo hapo PSSSF Pana tatizo Tena ni KUBWA.
 
Ulikuwa unawasiliana naye au service desk ya PSSSF ?
Akiondolewa tatizo litaisha?
Sasa unawezaje kumtofautisha mkurugenzi na service desk? Yeye na vilivyomo hapo ofisini vyote vipo chini yake. Mpaka hela hata zetu Sasa anajifanya anazimiliki yeye badala ya kuzisimamia
 
Mkurugenzi ni mhaya wa ibwera bukoba vijijini Mtu poa sana. Tatizo litakuwa idara ya Complieance maana ndo wanausika kuandaa mafaile ya wanachama wanaostafu katika kila wiki usika kisha uyapekua na kuangalia kama attachement zote zimekamilika ikiwa ni pamoja na kuhakiki akaunti namba ya muhusika. Barua ya kuwaombea Malipo uandikwa kwa mkurungenzi. Baada ya kupitishwa file upelekwa kwenye chumba cha wahasibu kwa ajili ya Malipo. Vocha uandikwa moja kwa wastaafu wanaotoka kwa pamoja ndani ya wiki moja na cheque uandikwa moja ikiambatanishwa na paylist ya wastaafu na kiasi cha malipo kwa kila mstaafu na akaunti namba zao kisha upelekwa benki kwa ajili ya malipo so kamlolongo kapo japo haitakiwi kuzidi wiki tatu baada ya tarehee ya kustaafu kuwa imefika.
Hiyo ni milolongo yao. Sasa baada ya hapo unafuata utapeli Sasa na usumbufu.
 
Back
Top Bottom