Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Daaah! Kumbe ndicho wanachokifanya na fedha zetu mbwa hao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki ni cha kushangaza, kwa nn wasikope bank? Niliona hadi NHIF maboss nao wanajikopesha.Kwenye mifuko ya hifadhi za jamii kuna mikopo minono sana ya wafanyakazi.
Sasa anajitetea nini kama kalipiwa kodi ya gari chakavu kinyume na kanuni!Kabla ya mabadiko!
Kwa nn wasikope bank? Ni ajabu sana hili kufanyika. Hata NHIF Hali ipo hivi, watu wanajikopesha pesa bila riba na unafanyika ujanja mkopo haulipwi.Si ni mkopo wanarudisha au bure?
Kwani hawarudishi?Kwa nn wasikope bank? Ni ajabu sana hili kufanyika. Hata NHIF Hali ipo hivi, watu wanajikopesha pesa bila riba na unafanyika ujanja mkopo haulipwi.
Waweke kanuni mfuko hautoi mikopo kwa wafanyakazi, anayetaka kukopa aende bank Kama wanavyofanya watumishi wengine
Usiseme wafanyaazi, sema wafanyakazi wa hiyo mifuko na wanasiasa.Kwenye mifuko ya hifadhi za jamii kuna mikopo minono sana ya wafanyakazi.
Nimefurahi ulielewa.Usiseme wafanyaazi, sema wafanyakazi wa hiyo mifuko na wanasiasa.
Urefu wa kamba yake unamruhusu, sioni kama Kuna jipyaDodoma. Baraza la Maadili la Taifa lilimweka kikaangoni Mkurugenzi wa Ununuzi na Ugani wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Ernest Khisombi kwa kutumia vibaya Sh193.9 milioni.
Kiasi hicho kinajumuisha Sh117.88 milioni alizokopeshwa kinyume na utaratibu wa sera ya mikopo ya PSSSF ili anunue gari binafsi na Sh76 milioni alizolipiwa kodi ya kuliingiza nchini gari hilo.
Sera ya mikopo na fedha ya PSSSF inaruhusu baadhi ya watumishi kukopa fedha za kununulia magari na mfuko kuwalipia kodi, hata hivyo, sera hiyo inataja kuwa kodi hiyo italipwa ikiwa gari ni jipya lisilowahi kutembea.
Khisombi amepelekwa hapo akidaiwa kutumia vibaya madaraka yake na kukiuka maadili ya utumishi huku akijua ni kosa.
Shahidi katika kesi hiyo, Gidioni Mafwili akiongozwa na Wakili wa Serikali Hassan Mayunga mbele ya mwenyekiti wa baraza hilo, Jaji Ibrahim Mipawa alisema mshtakiwa alilipwa fedha hizo kwa ridhaa ya kamati ya mikopo ambayo yeye ni mjumbe.
Mafwili alisema baada ya fedha hizo kutolewa, hundi iliandikwa na kupelekwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kulilipia gari hilo.
“Utaratibu uliotumika kwa yeye kujikopesha haukuzingatia sera yao na maadili ya utumishi, lakini kitendo cha kulipiwa kodi kwa gari ambalo limetembea kilomita nyingi haikuwa sahihi, alipaswa kulipiwa kwenye gari ambalo halijatembelea hata kilomita moja,” alisema Mafwili akinukuu sera ya mikopo ya PSSSF ya mwaka 2018.
Kingine kilichowatia hofu ni mfanano wa chesesi za magari yake kati ya lililolipiwa kodi lenye namba T884 DWP likiwa na chesesi TRJ1500096060 na jingine la zamani analolimiki.
Wakili Mayunga alihoji iweje mkopo huo uidhinishwe na kupitishwa haraka bila kufuata utaratibu na mhusika kushiriki vikao vya kuupitisha mkopo huo.
Baada ya maelezo ya ushahidi, Khisombi alikana tuhuma alizosomewa. Akiongozwa na wakili wake Daniel Weluwelu, alisema utaratibu wa yeye kukopa na kununua gari ulifuatwa na hakuna mahali alipovunja sheria.
Alisema ni haki yake kwa ngazi aliyofikia kulipiwa kodi ya gari analonunua na si jambo geni.
Kuhusu kulipiwa kodi kwa gari lililotumika, alisema sera ya PSSSF ilibadilishwa Mei 2021 na kuruhusu hata kwa magari yaliyotumika ingawa tayari yeye alishachukua mkopo huo kipindi hicho.
Usipoweka sawa, watu wanaweza kujenga chuki Kali mpaka kwa watendaji wa vijiji wakidhani ndio wanufaika.Nimefurahi ulielewa.
Kingine kilichowatia hofu ni mfanano wa chesesi za magari yake kati ya lililolipiwa kodi lenye namba T884 DWP likiwa na chesesi TRJ1500096060 na jingine la zamani analolimiki.[emoji3064]Dodoma. Baraza la Maadili la Taifa lilimweka kikaangoni Mkurugenzi wa Ununuzi na Ugani wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Ernest Khisombi kwa kutumia vibaya Sh193.9 milioni.
Kiasi hicho kinajumuisha Sh117.88 milioni alizokopeshwa kinyume na utaratibu wa sera ya mikopo ya PSSSF ili anunue gari binafsi na Sh76 milioni alizolipiwa kodi ya kuliingiza nchini gari hilo.
Sera ya mikopo na fedha ya PSSSF inaruhusu baadhi ya watumishi kukopa fedha za kununulia magari na mfuko kuwalipia kodi, hata hivyo, sera hiyo inataja kuwa kodi hiyo italipwa ikiwa gari ni jipya lisilowahi kutembea.
Khisombi amepelekwa hapo akidaiwa kutumia vibaya madaraka yake na kukiuka maadili ya utumishi huku akijua ni kosa.
Shahidi katika kesi hiyo, Gidioni Mafwili akiongozwa na Wakili wa Serikali Hassan Mayunga mbele ya mwenyekiti wa baraza hilo, Jaji Ibrahim Mipawa alisema mshtakiwa alilipwa fedha hizo kwa ridhaa ya kamati ya mikopo ambayo yeye ni mjumbe.
Mafwili alisema baada ya fedha hizo kutolewa, hundi iliandikwa na kupelekwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kulilipia gari hilo.
“Utaratibu uliotumika kwa yeye kujikopesha haukuzingatia sera yao na maadili ya utumishi, lakini kitendo cha kulipiwa kodi kwa gari ambalo limetembea kilomita nyingi haikuwa sahihi, alipaswa kulipiwa kwenye gari ambalo halijatembelea hata kilomita moja,” alisema Mafwili akinukuu sera ya mikopo ya PSSSF ya mwaka 2018.
Kingine kilichowatia hofu ni mfanano wa chesesi za magari yake kati ya lililolipiwa kodi lenye namba T884 DWP likiwa na chesesi TRJ1500096060 na jingine la zamani analolimiki.
Wakili Mayunga alihoji iweje mkopo huo uidhinishwe na kupitishwa haraka bila kufuata utaratibu na mhusika kushiriki vikao vya kuupitisha mkopo huo.
Baada ya maelezo ya ushahidi, Khisombi alikana tuhuma alizosomewa. Akiongozwa na wakili wake Daniel Weluwelu, alisema utaratibu wa yeye kukopa na kununua gari ulifuatwa na hakuna mahali alipovunja sheria.
Alisema ni haki yake kwa ngazi aliyofikia kulipiwa kodi ya gari analonunua na si jambo geni.
Kuhusu kulipiwa kodi kwa gari lililotumika, alisema sera ya PSSSF ilibadilishwa Mei 2021 na kuruhusu hata kwa magari yaliyotumika ingawa tayari yeye alishachukua mkopo huo kipindi hicho.
Warudishe wapi banaKwani hawarudishi?
Hio ndio ingekua shida
Revolving Fund zipo hata huku Sekta binafsi
Inasikitish sana, kuna watu wanastaafu wanakaa zaid ya miaka miwili bila mafao ambayo hayazidi hata 100m wakati kuna walamba asali wanakopeshana mpaka 100m na ushehe na kodi za mamilioni wanalipiwa. shameHawa jamaa wana roho mbaya sana. Hizo hela wanazojikopesha ni za wazee wetu wastaafu, na pia ni za mirathi! Haiwezekani wanufaika wasotee mafao yao kwa miaka mingi, huku fedha zao zikitumika kununulia magari ya watu binafsi! Huu ni uonevu usio vumilika...
Usipoweka sawa, watu wanaweza kujenga chuki Kali mpaka kwa watendaji wa vijiji wakidhani ndio wanufaika.
Hawa watu ni wasumbufu sana wakati wa kufuatilia mafao, na pia mirathi. Unajaza fomu zote kwa ukamilifu!ver
Inasikitish sana, kuna watu wanastaafu wanakaa zaid ya miaka miwili bila mafao ambayo hayazidi hata 100m wakati kuna walamba asali wanakopeshana mpaka 100m na ushehe na kodi za mamilioni wanalipiwa. shame