Mkurugenzi PSSSF kikaangoni kwa kujikopesha fedha ya kujinunulia gari

Mkurugenzi PSSSF kikaangoni kwa kujikopesha fedha ya kujinunulia gari

Hawa jamaa wana roho mbaya sana. Hizo hela wanazojikopesha ni za wazee wetu wastaafu, na pia ni za mirathi! Haiwezekani wanufaika wasotee mafao yao kwa miaka mingi, huku fedha zao zikitumika kununulia magari ya watu binafsi! Huu ni uonevu usio vumilika.

Halafu badala ya kwenda benki kukopa, wanajikopesha wenyewe kwa wenyewe.

Nadhani huu utaratibu wa kujikopesha fedha za wastaafu na wafiwa, ungefutwa haraka iwezekanavyo. Mtu akitaka kukopa, aende benki kama wafanyavyo watumishi wengine wa Serikali.
Hapa napoandika nimecheki statement yangu huko pssf haijawekwa makato kwa mwaka na nusu bila shaka sehemu ya hizo pesa ndio huyo mshenzi amejikopesha.

Akikitwa na hatia afukuzwe Kazi haraka Sana na kufilisiwa.

Kuna Wazee 2 hadi sasa wamestaafu toka June hawajalipwa mafao.
 
Hapa napoandika nimecheki statement yangu huko pssf haijawekwa makato kwa mwaka na nusu bila shaka sehemu ya hizo pesa ndio huyo mshenzi amejikopesha..

Akikitwa na hatia afukuzwe Kazi haraka Sana na kufilisiwa..

Kuna Wazee 2 hadi sasa wamestaafu toka June hawajalipwa mafao..
Unachekije mzee
 
Unachekije mzee
Kuna li apple lao ila kwa mara ya mwisho nimelitumia lilikiwa linazingua by the way nenda kwenye ofisi zao wataku request check namba then wata print statement watakupa na utaona..

Mind you kama kuna missing of Any mchango hautakaa upewe mafao hadi hilo gap lizibwe..
 
Haya mafisi sana, halafu bado yanawabania wastaafu wapewe %33 ya mafao yao,kumbe yenyewe yanacheza michezo michafu ya kukopeshana,kwanini wasiende benki?
 
Huu ndo ujinga ulioko katika nchi hii, fedha ni za watumishi na ni nani aliyeweka kipengele cha kukopesha watumishi wa PSSF fedha za watumishi?

Wastaafu hawalipwi maslahi yao kwa wakati kumbe fedha zao wanakopeshana wao wenyewe.na hayo yote ni madudu yanayopitishwa bungeni na wabunge wa CCM.

Watanzania ni muhimu kufuata nyayo za kenya ule ujinga wa kusema ukichagua upinzani kutakuwa na vita ni upuuzi na ulichochewa na hilo lichama.mbona kenya wamefanya mabadiliko na hakuna vurugu iliyotokea?

Changes is now from the constitution to election. 2025 wananchi tuamke mabadiliko ni muhimu.
Umeandika vizuri ila umeharibu uliposema tufuate nyayo za Kenya. Hao watu pamoja na katiba mpya ila wanaendelea na upigaji kama kawaida. Ukifuatilia kashfa za ufisadi Kenya utaweza sema hawa mafisadi wetu ni walokole.
 
Kula kwa urefu wa kamba yako
 
Huu ndo ujinga ulioko katika nchi hii, fedha ni za watumishi na ni nani aliyeweka kipengele cha kukopesha watumishi wa PSSF fedha za watumishi?

Wastaafu hawalipwi maslahi yao kwa wakati kumbe fedha zao wanakopeshana wao wenyewe.na hayo yote ni madudu yanayopitishwa bungeni na wabunge wa CCM.

Watanzania ni muhimu kufuata nyayo za kenya ule ujinga wa kusema ukichagua upinzani kutakuwa na vita ni upuuzi na ulichochewa na hilo lichama.mbona kenya wamefanya mabadiliko na hakuna vurugu iliyotokea?

Changes is now from the constitution to election. 2025 wananchi tuamke mabadiliko ni muhimu.
Sidhan kama perpespective yako ni sahih.katiba sasa inahusikaje? Hapo ni kusema pssspf wabadili mifumo yao.kukopesha kupitie hazina na si mifuko moja kwa moja hii itasaidia kuto temper na hela.
 
Huu ndo ujinga ulioko katika nchi hii, fedha ni za watumishi na ni nani aliyeweka kipengele cha kukopesha watumishi wa PSSF fedha za watumishi?

Wastaafu hawalipwi maslahi yao kwa wakati kumbe fedha zao wanakopeshana wao wenyewe.na hayo yote ni madudu yanayopitishwa bungeni na wabunge wa CCM.

Watanzania ni muhimu kufuata nyayo za kenya ule ujinga wa kusema ukichagua upinzani kutakuwa na vita ni upuuzi na ulichochewa na hilo lichama.mbona kenya wamefanya mabadiliko na hakuna vurugu iliyotokea?

Changes is now from the constitution to election. 2025 wananchi tuamke mabadiliko ni muhimu.
Shida hakuna chama mbadala
 
Sheria zetu zinasema mtu anyongwe kwa issue kama hii?

Ipo siku yaweza kuwa mwanao
Ni vizuri kuweka adhabu kali ili asitokee kiumbe yeyote kujaribu kukiuka taratibu.

Mwanangu akiwa mwizi mwizi na mkora natoa baraka zote anyongwe maana hana faida yeyote siwezi mtetea mwizi hata kama ni damu yangu.

Hapo vipi😬
 
Ni vizuri kuweka adhabu kali ili asitokee kiumbe yeyote kujaribu kukiuka taratibu.

Mwanangu akiwa mwizi mwizi na mkora natoa baraka zote anyongwe maana hana faida yeyote siwezi mtetea mwizi hata kama ni damu yangu.

Hapo vipi😬
Be careful what u wish for..
 
Itoshe kusema nchi hii imejaa wapumbavu na 95% ya watanznia ni wapumbavu.

Huwa najiuliza ni madudu mangapi yanafanyika ya hatari na hakuna anaeijali hatma ya nchi hii, sisi sote ni wapumbavu tunashindwaje kuifurumusha hii CCM!!

Nyerere sjui alitufanyiaga nn maana watanzania hawajali kabisa kuhusu nchi yao.
 
Back
Top Bottom