Mkurugenzi PSSSF kikaangoni kwa kujikopesha fedha ya kujinunulia gari

Kwa nini wasiende kukopa bank kama wafanyakazi wengine? Nchi hii Kuna watu wanaishi ilhali wahusika wa kuchangia wanapigika.
Wafute hizo kanuni za kukopeshana waende bank.
 
Kwani hawarudishi?
Hio ndio ingekua shida

Revolving Fund zipo hata huku Sekta binafsi
Shida ni Kwamba lazima watatemoper na pesa za watu kama hivi.
Na pia utakuta pia riba ni ndogo sana.
Sasa ili kuondoa migobgano kama hii waende wakakope bank wasiheze na pesa za watu.
Kwani wao Wana usoecial gani mpk wapate mikopo tofauti na watumishi wengine?
 
Hizi hela kweli wastaafu na waliokufa huwa wanapata kweli au ndio zinapigwa tu na mabaki ni namba?
 
Upinzani wa akina Zitto na Mbowe ?hawana tofauti na hawa hawa waliopo.kama ilivyo kwa Ruto labda mpinzani wa kweli atoke CCM na kuunda chama chake
 
nahisi huwa ni scheme za Staff retention katika Taasisi zenye mahela mengi sana ili walau waridhike wasifanye ufisadi ambao hamtaujua

Mtu anapitisha mamilioni afu apewe gari IST kweli?

Imagine kama mawaziri mtu kama Awesso anasimamia miradi ya Billions of money afu aendeshwe na gari haieleweki?
Yanawasaidia kuwapoza nahisi
 
Hebu ngoja kwanza, hawa watu kumbe kuna sheria inawapa haki ya kulipiwa kodi ya gari hadi milioni mia[emoji24] KULIPIWA, siyo kukopeshwa. Halaf mwalimu wanamnyima exemption ya ki IST cha milioni 10 maskini wa Mungu. Africa bara la kiza lililolaaniwa.
 
Mtu amekopa, sasa kosa lipo wapi ?hizi hela zitarudishwa na riba. Tuache wivu.
 
Yaani hela za mafao watu wamedunduliza miaka hadi 40 wewe unajikopesha kununua ndinga ya mamilioni huku wastaafu wakiminywa kwa kikokotoo na kusotea mafao yao hadi wengine miaka mitatu, halafu wachangiaji kwenye hiyo mifuko wakiomba kukopeshwa sehemu ya michango yao hawapewi haki hiyo, wanaishia kupigwa riba kubwa kwenye mabenki, hii si haki hata kidogo..
 
Marejesho anafanya?
 
Nchi hii hela za mafao za watu wanazitumbua sana

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…