Mkurugenzi TRC Kadogosa njoo JamiiForums ujibu tuhuma za kinachoendelea kwenye treni ya SGR

Wapi watendaji wa chura kiziwi wakafanya vizuri?
 
Kwani treni ndiyo ndege, mtanzania ukimwambia avue viatu anapoingia ndani ya ndege atakuelewa kwa sababu ya mazoea ya uswazi.
 
Hata kuweka pombe ndani ya chupa ya maji si tatizo, unywaji wa pombe ndani ya treni ni halali vinginevyo wasingeweka baa ndani ya treni.
 
Athari za kuteua watu wasiokua compitent kusimamia taasisi compitent.
 
Dah, sasa mkuu kuingia na Konyagi ni kosa tena. Huo ni usafiri wa kawaida tu sema tuna ulimbukeni tu. Niliona treni moja huko Japan (SGR), kuna route yake moja wakulima na wafugaji wanaingia na mbuzi, kondoo, maparachichi, kuku nk.
Mule ndani konyagi si zipo

Ova
 
Hata kuweka pombe ndani ya chupa ya maji si tatizo, unywaji wa pombe ndani ya treni ni halali vinginevyo wasingeweka baa ndani ya treni.
Sasa kila mtu akija na kinywaji chake vile vya kwenye treni nani atanunua?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…