Mkurugenzi TRC Kadogosa njoo JamiiForums ujibu tuhuma za kinachoendelea kwenye treni ya SGR

Mkurugenzi TRC Kadogosa njoo JamiiForums ujibu tuhuma za kinachoendelea kwenye treni ya SGR

Kama shida ni pombe hadi wasiluhusu chupa1 ya maji, najiuliza kwahiyo h treni haina bar? Na kama haina bar Sasa ikiloga kama inavologaga ile mida yake abilia tutapunguz vp ukal wa safar?
 
Kinachoendelea kwenye makatazo kwa abiria wanaopanda treni ya SGR ni kuonesha ushamba na ulimbukeni.

Hili la kukataza mifuko yenye zipu maarufu kama shangazikaja na maji ya kunywa chupa moja! Na vitu vingine visivyokuwa na athari kwa abiria wengine.

Tanzania Railways Corp
Naona kitendo cha kuziwa kuingia na kopo la maji la mil. 500 kimekukera mpka leo kipo kichwani 😊😊😂
 
Kinachoendelea kwenye makatazo kwa abiria wanaopanda treni ya SGR ni kuonesha ushamba na ulimbukeni.

Hili la kukataza mifuko yenye zipu maarufu kama shangazikaja na maji ya kunywa chupa moja! Na vitu vingine visivyokuwa na athari kwa abiria wengine.

Tanzania Railways Corp
Kuna watu wapo sensitive sana na maji pamoja na chakula kwa ujumla. Najiuliza, hayo maji yanayouzwa ndani hakuna namna wahuni wakawa wanauza maji feki mwisho wa siku watu wakaugua matumbo? Wabongo tunajuana! Pesa mbele kwanza!
 
Back
Top Bottom