Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ndiyo mkuuNigger, I thought we closed this discussion by my appeal to keeping the order. Did you catch my drift?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo mkuuNigger, I thought we closed this discussion by my appeal to keeping the order. Did you catch my drift?
Kuna restaurant mkuuUnauhakika kuwa ndani ya treni watakuwemo wamachinga wanaouza maji!
Unajua kuwa pamoja na kasi inayotembea sijakuta mikanda ya usalama! Unaweza ukafafanua faida ya hili.I travel alot na hiyo train. Nimepanda among the first three trips. Hapa nilipo nna ticket ya go and return nishajikatia online.
Kwahiyo hiyo ndiyo inahalalisha mimi kukamatwa kwa kosa la kusafirisha maji! Hauoni ni kumvunjia mtu heshima.Kuna restaurant mkuu
Umeshasema ya zamani.Mbona kwenye treni ya zamani hawakatazi vitu hivyo.





Kwenye kuzuia maji wamedhihirisha ujinga wa kiwango cha lami. Ipo siku watazuia hata vidonge kwa wagonjwa.
Hukamatwi unazuiwa mkuuKwahiyo hiyo ndiyo inahalalisha mimi kukamatwa kwa kosa la kusafirisha maji! Hauoni ni kumvunjia mtu heshima.
Kwa ufupi mkuu serikali ina majitu ya hovyo hovyo sana!Kinachoendelea kwenye makatazo kwa abiria wanaopanda treni ya SGR ni kuonesha ushamba na ulimbukeni.
Hili la kukataza mifuko yenye zipu maarufu kama shangazikaja na maji ya kunywa chupa moja! Na vitu vingine visivyokuwa na athari kwa abiria wengine.
Tanzania Railways Corp
Nadhani waliounda wanajua zaidi. Train haisimami ghafla kama gari. Wala haina mtikisiko wa kukutoa kitini kama ndege. Train ni tulivu sana.Unajua kuwa pamoja na kasi inayotembea sijakuta mikanda ya usalama! Unaweza ukafafanua faida ya hili.
Nakushauri kaipande kati ya Dar na Moro kisha uje hapa utueleze mwendo uko vipi. Hata hivyo kianda ni ya lazima kwenye gari linachokwenda kasi.Nadhani waliounda wanajua zaidi. Train haisimami ghafla kama gari. Wala haina mtikisiko wa kukutoa kitini kama ndege. Train ni tulivu sana.
Unanishauri?Nakushauri kaipande kati ya Dar na Moro kisha uje hapa utueleze mwendo uko vipi. Hata hivyo kianda ni ya lazima kwenye gari linachokwenda kasi.
Uwe mkweli, treni itakapoondoka fuatilia sana mwenendo wa behewa na sauti za magurudumu kwenye baadhi ya maeneo ukianzia Morogoro.Unanishauri?
Huko juu nimekwambia I travel alot na hiyo train.
Haya ticket hiyo hapo nipo kwenye train sasa hivi.
Nimegundua kitu kipya katika train. Siku hizi inapiga kelele sana kwichi kwichi utasema scania bovu.Uwe mkweli, treni itakapoondoka fuatilia sana mwenendo wa behewa na sauti za magurudumu kwenye baadhi ya maeneo ukianzia Morogoro.
Nilipokuambia uisikilize kwa makini nilitaka usikie msuguano wa vyuma unaotokea kwenye baadhi ya maeneo ambayo behewa huinama kidogo. Hilo la mikanda si muhimu kwenye treni na haitumiki.Nimegundua kitu kipya katika train. Siku hizi inapiga kelele sana kwichi kwichi utasema scania bovu.
Kuhusu mkanda bado sioni haja sana. Sababu train haitarajiwi kusimama ghafla ambapo inaweza kuleta madhara. Unajua hata kwenye ndege abiria hushauriwa kufunga mkanda ndege inapotaka kupaa na inapotaka kutua tu. Ukishakuwa angani unaweza hata kucheza mpira bila shida.
That is my take.
Ni kweli mkuu.Nilipokuambia uisikilize kwa makini nilitaka usikie msuguano wa vyuma unaotokea kwenye baadhi ya maeneo ambayo behewa huinama kidogo. Hilo la mikanda si muhimu kwenye treni na haitumiki.
Hakuna kipimo cha sensi na kujua haya sio maji pombe?Shida watu wanaingia na konyagi badala ya maji