Mkurugenzi wa Bandari alikuwa sikio la kufa lisilosikia dawa

Mkurugenzi wa Bandari alikuwa sikio la kufa lisilosikia dawa

...Changamoto inaanza ktk mfumo wa kuajiri; mtu anaomba kazi TRA/TPA lengo lake la kwanza ni KUPIGA PESA na siyo kuitumikia nchi. Nashauri sekta nyeti kama ya bandari waajiriwa wote kabla ya kuajiriwa wafanyiwe vetting juu ya uadilifu wao.

KUKOSEKANA KWA UADILIFU ndiyo adui namba moja
 
...Changamoto inaanza ktk mfumo wa kuajiri; mtu anaomba kazi TRA/TPA lengo lake la kwanza ni KUPIGA PESA na siyo kuitumikia nchi. Nashauri sekta nyeti kama ya bandari waajiriwa wote kabla ya kuajiriwa wafanyiwe vetting juu ya uadilifu wao.

KUKOSEKANA KWA UADILIFU ndiyo adui namba moja

Lakini si ndio tunaambiwa vijana wanaenda jkt kufunzwa uzalendo kwa taifa lao au inakua ni maigizo hakuna uzalendo wowote wanapata kule
 
...Changamoto inaanza ktk mfumo wa kuajiri; mtu anaomba kazi TRA/TPA lengo lake la kwanza ni KUPIGA PESA na siyo kuitumikia nchi. Nashauri sekta nyeti kama ya bandari waajiriwa wote kabla ya kuajiriwa wafanyiwe vetting juu ya uadilifu wao.

KUKOSEKANA KWA UADILIFU ndiyo adui namba moja
Naona hauelewi kitu mkuu iko hivi unapoanza kazi unakua na uadilifu wako ila unapokua unaendelea na kazi unaanza kua corrupt mambo mengi haswa yanachangiwa na serikali yenyewe

1. Kimsingi mishahara ya serikali sio mikubwa kivile..na watu wanakutegemea wa kutosha lakini mwisho wa siku unakuja dhulumiwa mwishoni na serikali hio hio

2. Sera mbovu za serikali kuhusu kustaafu i.e umefanya kazi miaka 30 tuseme una akiba ya 100m huko kwenye pension utapewa 33m halafu hio 67m utakua unagaiwa kidogo kidogo kama pension ukifariki hio pension watoto wako au wategemezi hawaji kupewa inakua imeisha sasa niambie wewe umeona kuna fursa ya kupiga i.e 2m kila siku mzee utaiacha hio ulete huo uadilifu wako? Upo sehemu labda umekaimu tu nafasi i.e kwa miezi 5 au 6 hapo unapiga huo mpunga mambo mengine Mungu atasaidia...

3. Pia unapofanya kazi serikalini kimsingi hakuna tuzo wala recognition wala acknowledgement yoyote utapata kwa jambo lolote lile kufika hatua za mbali inategemea na "technical know who" kwaio unaweza ukafanya mambo kwa nia njema tu ila ukikosea sehemu ndogo tu mzee utasimamishwa kazi. TAKUKURU watakuja kwako kupindua pindua nyumbani kwako kukuharass na maswala kadha wa kadha baadae ukibahatika i.e miaka 2 unarudi kazini ushapotea kwenye ramani unapelekwa huko Namanyere...😀😀😀😀
 
Tiss wapo, PCCB wapo kwanini watu wanafeli? Mh. Rais tumia vyombo vyako vizuri kufanya uwekezaji Kuna vyombo vinakurubuni Sana nikushauri Mh. Vunja Tiss na PCCB then baada ya mwaka utaona changes kubwa IGA S.A & others utaona walifanikiwa kwa kufanya changes kwa kuvunja hizi Taasisi na kuunda upya naongea kwa uzoefu
Hii ndio dawa..Hongera Mkuu!
 
Tiss wapo, PCCB wapo kwanini watu wanafeli? Mh. Rais tumia vyombo vyako vizuri kufanya uwekezaji Kuna vyombo vinakurubuni Sana nikushauri Mh. Vunja Tiss na PCCB then baada ya mwaka utaona changes kubwa IGA S.A & others utaona walifanikiwa kwa kufanya changes kwa kuvunja hizi Taasisi na kuunda upya naongea kwa uzoefu
Aisee . . . hii ndio wanaita ngumu kumeza. Kuna jamaa nimekaa naye anashauri hivyo pia coz vi vyombo muhimu sana a.k.a ndio macho yetu kama taifa
 
Naona hauelewi kitu mkuu iko hivi unapoanza kazi unakua na uadilifu wako ila unapokua unaendelea na kazi unaanza kua corrupt mambo mengi haswa yanachangiwa na serikali yenyewe
1. kimsingi mishahara ya serikali sio mikubwa kivile..na watu wanakutegemea wa kutosha lakini mwisho wa siku unakuja dhulumiwa mwishoni na serikali hio hio
2. Sera mbovu za serikali kuhusu kustaafu i.e umefanya kazi miaka 30 tuseme una akiba ya 100m huko kwenye pension utapewa 33m halafu hio 67m utakua unagaiwa kidogo kidogo kama pension ukifariki hio pension watoto wako au wategemezi hawaji kupewa inakua imeisha sasa niambie wewe umeona kuna fursa ya kupiga i.e 2m kila siku mzee utaiacha hio ulete huo uadilifu wako ? Upo sehemu labda umekaimu tu nafasi i.e kwa miezi 5 au 6 hapo unapiga huo mpunga mambo mengine Mungu atasaidia...
3.Pia unapofanya kazi serikalini kimsingi hakuna tuzo wala recognition wala acknowledgement yoyote utapata kwa jambo lolote lile kufika hatua za mbali inategemea na "technical know who" kwaio unaweza ukafanya mambo kwa nia njema tu ila ukikosea sehemu ndogo tu mzee utasimamishwa kazi..takukuru watakuja kwako kupindua pindua nyumbani kwako kukuharass na maswala kadha wa kadha baadae ukibahatika i.e miaka 2 unarudi kazini ushapotea kwenye ramani unapelekwa huko namanyere...😀😀😀😀
Namanyere🙆🙆🙆🙆🙆🙆
 
Bandarini kuna taasisi nyingi Kama TRA,TASAC, clearing Agents,na Mamlaka ya Bandari yenye dhamana ya kusimamia upakuaji na upakiaji wa mizigo , utunzaji wa mizigo nk.Manejiment ya bandari wanakwama wapi?

Hizi huduma zinatolewa bila kulipia wharfage na storage charges,au mizigo iliyohifadhiwa inatolewa kabla TRA hawajatoza ushuru wa forodha.

Miaka mitano iliyopita Serikali ilijenga jengo la ghorofa kumi hivi,ili kuwezesha taasisi zote ziwe kwenye jengo moja na wawe na mifumo iliyosomana,kwa madhumuni ya kuleta ufanisi, Bandari wanakwama wapi?

Serikali ifanye mabadiliko makubwa Mamlaka ya Bandari,ili kuleta ufanisi, vinginevyo ni Kama tunajaza maji kwenye gunia
 
sababu kuu ya ufanisi mdogo bandarini ni uwezo wa watendaji bandarini kuwa mdogo na ubunifu mdogo .

Muhimu ni ubia wa umiliki serikali ikamate majority au ubia wa kiushauri na bandari kubwa Duniani zenye uzoefu.
 
Rais alipomteua Erick Hamis April 2021 alimweleza ufisadi wa Bandarini akamuagiza achukue hatua!

Mwezi Disemba 2021 Rais Alivunja bodi ya TPA akatoa nasaha tena za ufisadi pale! Watu wanachezea mfumo, mizigo inaonekana imelipiwa getini kumbe imepita free na nchi inakosa kodi! Akamwambia tena Mkurugenzi awaondoe watendaji wanaofanya hivyo na akitaka list atampatia yeye!

Sasa uvumilivu umemshinda Rais, kamuondoa Mkurugenzi mwenyewe!
Kwani majukumu ya Mkurugenzi Mkuu wa bandari ni kukusanya kodi? Tuanzie hapo
 
Naona hauelewi kitu mkuu iko hivi unapoanza kazi unakua na uadilifu wako ila unapokua unaendelea na kazi unaanza kua corrupt mambo mengi haswa yanachangiwa na serikali yenyewe
1. kimsingi mishahara ya serikali sio mikubwa kivile..na watu wanakutegemea wa kutosha lakini mwisho wa siku unakuja dhulumiwa mwishoni na serikali hio hio
2. Sera mbovu za serikali kuhusu kustaafu i.e umefanya kazi miaka 30 tuseme una akiba ya 100m huko kwenye pension utapewa 33m halafu hio 67m utakua unagaiwa kidogo kidogo kama pension ukifariki hio pension watoto wako au wategemezi hawaji kupewa inakua imeisha sasa niambie wewe umeona kuna fursa ya kupiga i.e 2m kila siku mzee utaiacha hio ulete huo uadilifu wako ? Upo sehemu labda umekaimu tu nafasi i.e kwa miezi 5 au 6 hapo unapiga huo mpunga mambo mengine Mungu atasaidia...
3.Pia unapofanya kazi serikalini kimsingi hakuna tuzo wala recognition wala acknowledgement yoyote utapata kwa jambo lolote lile kufika hatua za mbali inategemea na "technical know who" kwaio unaweza ukafanya mambo kwa nia njema tu ila ukikosea sehemu ndogo tu mzee utasimamishwa kazi..takukuru watakuja kwako kupindua pindua nyumbani kwako kukuharass na maswala kadha wa kadha baadae ukibahatika i.e miaka 2 unarudi kazini ushapotea kwenye ramani unapelekwa huko namanyere...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Namanyere mbona pako safi tu
 
Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari inatakiwa ifumuliwe kuanzia chini, Kati Hadi juu. Hii approach ya kutumbua boss kubwa ilihali viwavi Jeshi wanaacha haijawahi na haitakuja kusaidia hata kama Rais akiihamishia Mamlaka hiyo ofisini kwake. Safisheni from the ground.
Kuna kitu kinaitwa Impact Assessment, anakuja Consultant na dodoso haliwekwi jina mnapewa ofisi nzima mpaka mfagiaji na muosha vyombo na mgambo wa getini siri zote za ofisi unazipata uozo wote unaanikwa kisha unaita mmoja mmoja ofisi nzima na kuwahoji in private hapo utabaki mdomo wazi maana unaweza kujua mfagiaji ni mchepuko wa waziri na mgambo ni shemeji yake na mkuu wa Mkoa!!

Hapo kwenye impact assessment siri zote hupatikana na janja janja zote huanikwa na majina ya wezi wote tangu ukoloni utayapata. utaoneshwa hadi picha na video za siri za ofisi kutoka kwa wanafki na wambea wa ofisi na wenye wivu na uchungu wa ofisi kuibiwa

Njia ingine ni suggestion box inawekwa nje ya ofisi huwa nayo inaibua mabalaa japo hasara yake ni kuchongeana na uzushi nyingi
 
Watu hawataacha kupga maana ukikaa hata miez 5 unapga ela ya maisha yako yote halafu adhabu ni kusimamishwa jla mpunga unasepa nao.
Wangekuwa wanafirisiwa na kuwajibishwa wangeacha
unafanya kazi miaka 30 unakuja kuambulia pensheni ya laki 3 kwa mwezi unakufa mapema sababu ya msogo wa mawazo- pale Mzee unapiga dili lako moja tu la uhakika unamaliza mambo yako yote na unakuwa na uhakika hadi unaingia kaburini upo swafi na watoto wako ni neema tupu.
 
Rais alipomteua Erick Hamis April 2021 alimweleza ufisadi wa Bandarini akamuagiza achukue hatua!

Mwezi Disemba 2021 Rais Alivunja bodi ya TPA akatoa nasaha tena za ufisadi pale! Watu wanachezea mfumo, mizigo inaonekana imelipiwa getini kumbe imepita free na nchi inakosa kodi! Akamwambia tena Mkurugenzi awaondoe watendaji wanaofanya hivyo na akitaka list atampatia yeye!

Sasa uvumilivu umemshinda Rais, kamuondoa Mkurugenzi mwenyewe!
Mama Hana MenonManeno yake hayamshtui mtu Yeyote
 
Kama hicho kitengo mtu anaweza kupiga mpaka Bil.2 au 3,hivi unafikiri anaweza kuogopa kutumbuliwa wakati ana uhakika hata akitumbuliwa hakuna uchunguzi wowote na pesa atakuwa kabaki nayo...!
 
Back
Top Bottom