Hana nia hiyo, hata kama angekuwa na uwezo wa "kuvunja" kama unavyomshauri.Tiss wapo, PCCB wapo kwanini watu wanafeli? Mh. Rais tumia vyombo vyako vizuri kufanya uwekezaji Kuna vyombo vinakurubuni Sana nikushauri Mh. Vunja Tiss na PCCB then baada ya mwaka utaona changes kubwa IGA S.A & others utaona walifanikiwa kwa kufanya changes kwa kuvunja hizi Taasisi na kuunda upya naongea kwa uzoefu
Vyombo hivyo, kama ilivyo kwa vyombo vingine vyote, kama polisi, uhamiaji, n.k., wapo hivyo kwa sababu vinatimiza matakwa yake.
Sasa yeye atavivunja kwa sababu gani, kama vinatimiza anayoyataka yeye?
Vyombo hivyo viko hivyo, kwa sababu vinaelewa matakwa wa anayevimiliki. Hivyo vyombo vingekuwa ni mali ya wananchi, vingekuwa na utendaji tofauti na vinavyofanya sasa hivi.