Mkurugenzi wa Bandari alikuwa sikio la kufa lisilosikia dawa

Mkurugenzi wa Bandari alikuwa sikio la kufa lisilosikia dawa

Tokea Samia amtoe Commissioner Siang'a kwenye kitengo cha kupambana na madawa ya kulevya siamini tena tumbuatumbua za Samia

Hicho kitengo siku hizi kina kamata misokoto ya Bhangi na Mirungi tu.
 
Rais alipomteua Eric Hamissi April 2021 alimweleza ufisadi wa Bandarini akamuagiza achukue hatua!

Mwezi Disemba 2021 Rais alivunja Bodi ya TPA akatoa nasaha tena za ufisadi pale! Watu wanachezea mfumo, mizigo inaonekana imelipiwa getini kumbe imepita free na nchi inakosa kodi! Akamwambia tena Mkurugenzi awaondoe watendaji wanaofanya hivyo na akitaka list atampatia yeye!

Sasa uvumilivu umemshinda Rais, kamuondoa Mkurugenzi mwenyewe!
Bandarini hata uteuliwe wewe nothing new, tatizo la bandari ni mfumo mbovu kuanzia juu kabisa kwa wanene
 
Tokea Samia amtoe Commissioner Siang'a kwenye kitengo cha kupambana na madawa ya kulevya siamini tena tumbuatumbua za Samia

Hicho kitengo siku hizi kina kamata misokoto ya Bhangi na Mirungi tu.
Wauzaji wakubwa yupo naye kwenye mfumo
 
...Changamoto inaanza ktk mfumo wa kuajiri; mtu anaomba kazi TRA/TPA lengo lake la kwanza ni KUPIGA PESA na siyo kuitumikia nchi. Nashauri sekta nyeti kama ya bandari waajiriwa wote kabla ya kuajiriwa wafanyiwe vetting juu ya uadilifu wao.

KUKOSEKANA KWA UADILIFU ndiyo adui namba moja
Itakuwa ni maajabu ya karne kama DG wa TPA hafanyiwi vetting!!
 
...Changamoto inaanza ktk mfumo wa kuajiri; mtu anaomba kazi TRA/TPA lengo lake la kwanza ni KUPIGA PESA na siyo kuitumikia nchi. Nashauri sekta nyeti kama ya bandari waajiriwa wote kabla ya kuajiriwa wafanyiwe vetting juu ya uadilifu wao.

KUKOSEKANA KWA UADILIFU ndiyo adui namba moja
Wakati wanaajiriwa wanakuwa waadilifu, baada ya kuajiriwa wanafanya kama wale waliowakuta. Sasa vetting ifanyike vipi?
 
Kumtoa mkurugenzi pekee bila kuwatoa wale wanaofanya hivyo ni kujidanganya labda kama anamtoa kafara.
Hata atakae kuja atapata shida badala ya kutafuta mipango mipya yeye atabaki kuwa malinzi iki asiibiwe au asihujumiwe na hao waliobaki
 
Tiss wapo, PCCB wapo kwanini watu wanafeli? Mh. Rais tumia vyombo vyako vizuri kufanya uwekezaji Kuna vyombo vinakurubuni Sana nikushauri Mh. Vunja Tiss na PCCB then baada ya mwaka utaona changes kubwa IGA S.A & others utaona walifanikiwa kwa kufanya changes kwa kuvunja hizi Taasisi na kuunda upya naongea kwa uzoefu
Tiss haivunjwi kinyamela hivo kama unavo taka wewe.
 
Safi sana mama piga kazi tumecheleweshwa mnooo kama taifa. Zaidi ya miaka 6 iliyopita. Kanyaga twende
 
Moja ya ishara za uongozi mbovu ni kubadilisha wafanyakazi sana katika muda mfupi.

Hilo lina maana muajiri anafanya makosa kuajiri, au kuna matatizo mengine ya kimfumo ambayo hayabadilishwi na kuajiri watu.
 
Moja ya ishara za uongozi mbovu ni kubadilisha wafanyakazi sana katika muda mfupi.

Hilo lina maana muajiri anafanya makosa kuajiri, au kuna matatizo mengine ya kimfumo ambayo hayabadilishwi na kuajiri watu.
Utakuja sikia kawekwa kitengo kingine

Ova
 
Niliwahi kusema kuwa wale jamaa wa serikali wanaofanya kazi za tallying wataondoka na mtu, walikuwa wakilamika sana stsff wa TPA kushirikiana na wenye mizigo "kuchepusha mizigo' hasa mizani ndio TPA staff wanafanya wizi wa mizigo vibaya sana kwa "kucheza" na mizani. Bravo Tasac kwa kazi nzuri.
 
Tiss wapo, PCCB wapo kwanini watu wanafeli? Mh. Rais tumia vyombo vyako vizuri kufanya uwekezaji Kuna vyombo vinakurubuni Sana nikushauri Mh. Vunja Tiss na PCCB then baada ya mwaka utaona changes kubwa IGA S.A & others utaona walifanikiwa kwa kufanya changes kwa kuvunja hizi Taasisi na kuunda upya naongea kwa uzoefu
Bila kuunda upya TISS, PCCB, TanPol na TPA yenyewe,kamwe tusitegemee bandari kuinufaisha nchi.
 
...Changamoto inaanza ktk mfumo wa kuajiri; mtu anaomba kazi TRA/TPA lengo lake la kwanza ni KUPIGA PESA na siyo kuitumikia nchi. Nashauri sekta nyeti kama ya bandari waajiriwa wote kabla ya kuajiriwa wafanyiwe vetting juu ya uadilifu wao.

KUKOSEKANA KWA UADILIFU ndiyo adui namba moja
Anayefanya vetting naye anatakiwa afanyiwe vetting.
Nani atamfunga paka kengele!!??
Suluhisho ni kupiga chini vyombo vyote vya vetting kwanza ili tupate wachujaji wazuri.
 
Back
Top Bottom