Mkurugenzi wa Barrick Gold adai Makinikia yaliyozuiwa Bandarini Dar yana thamani ya $280 Milioni

Na wapiga zumari wake
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka pia kufanya kosa ni sehemu ya kujifunza!

Tumejifunza kama Taifa na kinachofanyika kwa sasa ni kurekebisha makosa!
 
Tanzania sio moja. You can take that to the bank
Ipo Tanzania ya mtu mmoja. Yeye nu Bunge na Mahakama. Ni Sultan anayefanya atakalo akishangiliwa na praise singers na walamba miguu.
Tanzania nyingine ni wengine wote waliobaki kati yao anawaita Wanyonge kama kitu cha sifa hivi.
 
mitale na midimu
Inawezekana unachokisema ni kweli!
 
Waliambiwa mapema lakini ujuaji mwingi kumbe ujinga mtupu.
 
Karibu Wilayani Misungwi Mkuu.. hiyo ID isikutishe
Sasa kama uko misungi kwa nini usilime hata bustani ya mbogamboga ili kuondokana na ugumu wa maisha!

Acha kupoteza muda wako kwenya mitandao ya kijamii kama kweli una maisha magumu!
 
Sijui kama unajibu kulingana na hoja au unajibu kulingana na hisia?
Hatutaweza kufanya mjadala na wewe, tufanye hivi wewe upo sahihi mimi na tunaosifia jitihada za serikali kwenye sakata la madini hatupo sahihi.
Mwisho wa mjadala.
Kuna baadhi ya watu ni kuachana nao kwa sababu watakupotezea muda wako! Hawajui kama ni wajinga lakini kikubwa zaidi hata kuelewa unachokiandika kwao ni mtihani!
 
Hapa sioni jipya ila kwakuwa huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu basi kampeni ndiyo hizo zimeshaanza kwa namna ya kuwapamba watu fulani na wengine kuwachafua.

Mikataba mibovu toka mwanzo ni nani walioingia ni akina Mh Zitto, Mh Lissu na watu wao? Au ni ccm na serikali yake kupitia kwa wagonga meza wao?? Tutakutana kwenye majukwaa wakati wa kampeni ukifika na siyo humu jamvini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dollar milioni 280?
Si tuliambiwa thamani yake ni dollar bilioni 108? Iliko kokotolewa gari aina ya Noah kwa kila mtanzania?
Kweli kushangaa ruksa ila usisahau kuchanganya na yakwako ukiyaacha ya mbayuwayu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1) Usijenge hoja kijumla jumla! Ni viongozi gani na chama gani? Nisaidie kunitajia!
2) Kwani Katiba ya sasa sio ya wananchi?
3) Haki zinatafutwa mahakamani na ukifanya kisasi unapelekwa mahakamani kupewa haki yako!
4) Hakuna nchi isiyokuwa na ubaguzi hapa duniani labda nchi inayoitwa ''cloud cuckoo-land''.
 
Watoe basi kiasi fulani kijenge barabara ya geita- kahama kupitia kakola kwa kiwango cha lami nitawashukuru sana sana
Nadhani hiyo barabara Barrick wamesema watajenga na kuboresha zingine ili kujenga uhusiano wa karibu na jamii/watu wanaozunguka migodi!
 
Kuna jamaa mmoja aliwaita kina Mruma rubbish, wana muambia huu sio mchanga kama mchanga wetu wa Baharini, nyuso zenu mnazificha wapi mkisikia taarifa kama hizi? sasa hivi hao Wamekimbilia nje kupigania human rights,from politicians to human rights,hayo ni madhara ya kushindwa kukubali ukweli.
 
Yapo makontena mangapi? Si tuliambiwa kule kuna dhahabu tupu tena ya US dola bilioni 108
 
Hela ndogo sana hiyo kwa nchi we dogo, usidanganyike na hizo figure, sisi tunaofanya analysis tuona tumepigwa tayari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…