Mkurugenzi wa Barrick Gold adai Makinikia yaliyozuiwa Bandarini Dar yana thamani ya $280 Milioni

Thanks!
 
Subiri wanasaccos waje uone wanavyotoa mapovu!
 
Muuuh
Muuuuuh kumbe mbumbu bado ni wengi saaana nchi hii, jamani!!!!.Hivi ni kwanini inakuwa hivi???.
 
Usikute ni 1trillion
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usd 280 milion contena za mwezi 1 Mara miezi 12 sawa na milion $ 3360 × miaka 7 sawa na milion $23,520 milion tulipigwa kweli kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na kushangilia, turejee data za akina professor. Nakumbuka zilikuwa juu sana ya hizo zilizotajwa na Barrick. Mwenye data please?????
 
 
Hakuna cha sijui Nyerere, Mwinyi,Mkapa wala Kikwete...huyu ndiyo wa kwanza tangu Uhuru

Sent using Jamii Forums mobile app
Umebugi kwanyerere hapo...nyerere aligoma kuazia kudisturb maliasili ,alidai watazitumia nakuchimba watanzania wenyewe ,utakuta hatamikataba hiyo imesainiwa 1998..sijui nyerere alikua wapi ,madarakani? ...punguza kidogo mihemuko nyumbu mkubwa we

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…