Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Kamanda Mulilo amezungumza kuthibitisha hili kuwa kijana amepatikana kigamboni.
Alionekana hayuko vizuri wakampeleka hospitali, vipimo vikaonesha yuko vizuri, hana madhara yoyote.
Amesema alikuwa na watu anaofahamiana nao wakiwa na mazungumzo ya kibiashara, alipewa kinywaji, baadaye akapoteza fahamu, alivyozinduka walimzungusha kwa muda na baadaye kumuacha sehemu.
Haya maelezo yanatolewa hata hayaeleweki, kama vile yameungwaungwa. Nyie mnaonaje Wakuu?
Pia soma: Mkurugenzi wa Dar24 Media Maclean Mwaijonga apotea, hajulikani alipo
Kamanda Mulilo amezungumza kuthibitisha hili kuwa kijana amepatikana kigamboni.
Alionekana hayuko vizuri wakampeleka hospitali, vipimo vikaonesha yuko vizuri, hana madhara yoyote.
Amesema alikuwa na watu anaofahamiana nao wakiwa na mazungumzo ya kibiashara, alipewa kinywaji, baadaye akapoteza fahamu, alivyozinduka walimzungusha kwa muda na baadaye kumuacha sehemu.
Haya maelezo yanatolewa hata hayaeleweki, kama vile yameungwaungwa. Nyie mnaonaje Wakuu?
Pia soma: Mkurugenzi wa Dar24 Media Maclean Mwaijonga apotea, hajulikani alipo