Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
The station has a story to tellWale vijana wengine walishaonekana?Yule kijana alipigiwa simu sijui akachukue pikipiki yake.Au walishabRIP jamani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The station has a story to tellWale vijana wengine walishaonekana?Yule kijana alipigiwa simu sijui akachukue pikipiki yake.Au walishabRIP jamani.
Huyo hajatekwaWapunguze kuteka raia wasio na hatia
Huyu ni tapeli maarufu mjini mlio mbwinde ndio mtakulupuka ila uyu ana misala kibao ya kukimbia na hela za watu alafu wanamtambulisha km media person wataje na mengine anayofanya tufunguke vizuriWakuu,
Kamanda Mulilo amezungumza kuthibitisha hili kuwa kijana amepatikana kigamboni.
Alionekana hayuko vizuri wakampeleka hospitali, vipimo vikaonesha yuko vizuri, hana madhara yoyote.
Amesema alikuwa na watu anaofahamiana nao wakiwa na mazungumzo ya kibiashara, alipewa kinywaji, baadaye akapoteza fahamu, alivyozinduka walimzungusha kwa muda na baadaye kumuacha sehemu.
Haya maelezo yanatolewa hata hayaeleweki, kama vile yameungwaungwa. Nyie mnaonaje Wakuu?
View attachment 3142181
Pia soma: Mkurugenzi wa Dar24 Media Maclean Mwaijonga apotea, hajulikani alipo
Wala huyu alikuwa sehemu anafurahia maisha watu wakaamua kumlipua kwa staili hiyo ya Kusema Amepotea.Mtu mzima Hapotei kirahisi hivo.Ila tusiache kupiga kelele kuhusu kina SOKA na Wengine wengiHuyo hajatekwa
Kaongia tu I8 za watoto wa mjini
Waache kabisa huo uhuniWapunguze kuteka raia wasio na hatia
Hii mambo ya kukutana sijui mambo ya biashara ndio maana Tundu Lissu anakwambia Njoo tuongee Nyumbani kwangu.Wakuu,
Kamanda Mulilo amezungumza kuthibitisha hili kuwa kijana amepatikana kigamboni.
Alionekana hayuko vizuri wakampeleka hospitali, vipimo vikaonesha yuko vizuri, hana madhara yoyote.
Amesema alikuwa na watu anaofahamiana nao wakiwa na mazungumzo ya kibiashara, alipewa kinywaji, baadaye akapoteza fahamu, alivyozinduka walimzungusha kwa muda na baadaye kumuacha sehemu.
Haya maelezo yanatolewa hata hayaeleweki, kama vile yameungwaungwa. Nyie mnaonaje Wakuu?
View attachment 3142181
Pia soma: Mkurugenzi wa Dar24 Media Maclean Mwaijonga apotea, hajulikani alipo
Ni biashara....ni biashara.......then wana kuteka.Inasikitisha sana, kasema anawajuwa na wakati wanamzungusha anawaona sasa shida iko wapi? wangekuwa serious hao jamaa angeshawataja wakamatwe ndio uchunguzi ufuate kwa maana story upande wa pili. Kuwataja hawa ni kusaidia watu wengine kuepuka hawa watu ilisiwakute kama huyu jamaa. Inawezekana wote wamehusika kwenye script hii kwa malengo tofauti. Kwenye mitandao watu fake sasa mpaka kwenye kazi tuko fake. Siamini tena mtu.
Hata kama ni Biashara lakini ni kosa kubwa kumteka mtu na kumforce atoe taarifa zake financesTulishasema humu watu sahivi wanapita Na upepo wa kutekana
ova
HahahaaAnother day same drama....😛
Hii inafaa tuiweke kwenye uzi wa vituko mitandaoni..🤣
Kupatikana kwake kumenifurahisha bila kujali amepitia magumu gani. Atleast kwa hilo.Hii nchi ina vituko sana, muhimu kapatikana basi.
Inasikitisha sanaHiyo spirit ya utekaji inapelekea kushuka chini uraini na watu ambao maisha yamewatenda wanaweza kuiga huo ukatili wa kuteka na kuua.
Ni hatari mno.
Halafu inaleta simanzi na huzuni kwenye jamii miongoni mwa wananchi.
Issue ya Alina soka ni mbayaWala huyu alikuwa sehemu anafurahia maisha watu wakaamua kumlipua kwa staili hiyo ya Kusema Amepotea.Mtu mzima Hapotei kirahisi hivo.Ila tusiache kupiga kelele kuhusu kina SOKA na Wengine wengi
Kwanini hajawataja hao watu wa businessWakuu,
Kamanda Mulilo amezungumza kuthibitisha hili kuwa kijana amepatikana kigamboni.
Alionekana hayuko vizuri wakampeleka hospitali, vipimo vikaonesha yuko vizuri, hana madhara yoyote.
Amesema alikuwa na watu anaofahamiana nao wakiwa na mazungumzo ya kibiashara, alipewa kinywaji, baadaye akapoteza fahamu, alivyozinduka walimzungusha kwa muda na baadaye kumuacha sehemu.
Haya maelezo yanatolewa hata hayaeleweki, kama vile yameungwaungwa. Nyie mnaonaje Wakuu?
View attachment 3142181
Pia soma: Mkurugenzi wa Dar24 Media Maclean Mwaijonga apotea, hajulikani alipo