Mkurugenzi wa Dar 24 apatikana Kigamboni

Mkurugenzi wa Dar 24 apatikana Kigamboni

Hata kama ni Biashara lakini ni kosa kubwa kumteka mtu na kumforce atoe taarifa zake finances
Sahvi ndipo watu walipofikia
Wakidhulumiana wanamalizana kwa style hyo,hivi yule mussa mziba sjui mzaba wa mikocheni
Alipataikana maana na yeyw tangu atekwe muda San

Ova
 
mi nadhani kufakamia mapombe bila mipangilio ni hatari kwa afya ya mfakamiaji.

kunyweni chai na kahawa ndrugu zango wananchi, msimskilize sana Janabi 🐒
Ahh mbona mfumo wao wanateka Acha na wao wateke
Wanapita mule mule nao

Ova
 
Hata kama ni Biashara lakini ni kosa kubwa kumteka mtu na kumforce atoe taarifa zake finances
Na huyu ashukuru kapatikana maana ana kaback up fulani ya watu wazito....so called baba yake mwenyewe anajitambua

Ova
 
Huyo hajatekwa

Kaongia tu I8 za watoto wa mjini
Ma deal haramu hayo! Biashara za halali zinafanyika kwa office na siyo kwa bar!!
Wala huyu alikuwa sehemu anafurahia maisha watu wakaamua kumlipua kwa staili hiyo ya Kusema Amepotea.Mtu mzima Hapotei kirahisi hivo.Ila tusiache kupiga kelele kuhusu kina SOKA na Wengine wengi
Kumbe jamaa alipiga vyombo (tungi)
Huyu ni tapeli maarufu mjini mlio mbwinde ndio mtakulupuka ila uyu ana misala kibao ya kukimbia na hela za watu alafu wanamtambulisha km media person wataje na mengine anayofanya tufunguke vizuri
Spinning propaganda
 
Policcm ndiyo watekaji wakubwa kwa kushirikiana na ccm ili wasikosolewe.
 
Taarifa kweye huu uzi inaonyesha aliondoka na gari lakini baada ya kuonekana hata simu alikuwa hana je gari alilondoka nalo aliliacha wapi?
 
Back
Top Bottom