Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa hawajali kelele hawa mashetani. Kna Soka wako wapi wakati kelele zimepigwa sana?Kumekucha. Ameachiwa baada ya kelele nyingi mtandaoni.
mi nadhani kufakamia mapombe bila mipangilio ni hatari kwa afya ya mfakamiaji.Wakuu,
Kamanda Mulilo amezungumza kuthibitisha hili kuwa kijana amepatikana kigamboni.
Alionekana hayuko vizuri wakampeleka hospitali, vipimo vikaonesha yuko vizuri, hana madhara yoyote.
Amesema alikuwa na watu anaofahamiana nao wakiwa na mazungumzo ya kibiashara, alipewa kinywaji, baadaye akapoteza fahamu, alivyozinduka walimzungusha kwa muda na baadaye kumuacha sehemu.
Haya maelezo yanatolewa hata hayaeleweki, kama vile yameungwaungwa. Nyie mnaonaje Wakuu?
View attachment 3141814
Pia soma: Mkurugenzi wa Dar24 Media Maclean Mwaijonga apotea, hajulikani alipo
Gari lake analo?Wakuu,
Kamanda Mulilo amezungumza kuthibitisha hili kuwa kijana amepatikana kigamboni.
Alionekana hayuko vizuri wakampeleka hospitali, vipimo vikaonesha yuko vizuri, hana madhara yoyote.
Amesema alikuwa na watu anaofahamiana nao wakiwa na mazungumzo ya kibiashara, alipewa kinywaji, baadaye akapoteza fahamu, alivyozinduka walimzungusha kwa muda na baadaye kumuacha sehemu.
Haya maelezo yanatolewa hata hayaeleweki, kama vile yameungwaungwa. Nyie mnaonaje Wakuu?
View attachment 3141814
Pia soma: Mkurugenzi wa Dar24 Media Maclean Mwaijonga apotea, hajulikani alipo
Wakuu,
Kamanda Mulilo amezungumza kuthibitisha hili kuwa kijana amepatikana kigamboni.
Alionekana hayuko vizuri wakampeleka hospitali, vipimo vikaonesha yuko vizuri, hana madhara yoyote.
Amesema alikuwa na watu anaofahamiana nao wakiwa na mazungumzo ya kibiashara, alipewa kinywaji, baadaye akapoteza fahamu, alivyozinduka walimzungusha kwa muda na baadaye kumuacha sehemu.
Haya maelezo yanatolewa hata hayaeleweki, kama vile yameungwaungwa. Nyie mnaonaje Wakuu?
View attachment 3141814
Pia soma: Mkurugenzi wa Dar24 Media Maclean Mwaijonga apotea, hajulikani alipo
Kumekucha. Ameachiwa baada ya kelele nyingi mtandaoni.
!
Wapunguze au waache kabisa ?!
Kuteka ni kosa, ni kinyume na sheria.
Kuteka ni dhuruma ya haki za binadamu.
Hata kwa wenye hatia wanazo haki za kufikishwa kwenye vyombo vya dola mahakamani kwa kujibu wa Katiba waloapa kuifuata kwa kushika vitabu vitakatifu.
Na mahakama ndio inayoweza kumtia mtu hatiani baada ya kujiridhisha kwa ushahidi usio shaka.
Huyu Polisi Wala hata hajaeleweka kabisa taarifa yake hii, yaani ni kama ile taarifa ya IGP Simon Sirro kuhusu kupatikana kwa Mo Dewji baada ya kutekwa na 'watu wasiojulikana.'Mbona dingi anajiuma uma sana. 😁
Ha ha ha .......wee fala umenchekesha sanaJeshi la polisi liache kuchanganya watu View attachment 3141833
Kabisa. Tuna tatizo; vyombo vya usalama vikifanikidha jambo bado tunalaumu na wasipofanikisha tunalaumu. Si sawa. Tuvipongeze na kuviamini vyombo vyetuTunawashukuru ndugu zetu wa vyombo vya usalama
😂😂😂😂 Si hatuna mwamuzi kama weweNahisi jamaa wana kitengo cha kula tigo za watekwa huku unarekodiwa
Ukiropoka tu video inaachiwa.
Ahahahahh 🤣 🤣
Hizi ni drama za mulilo to create an environment kuwa utekaji say wa akina Soka et al ni kama huo and therefore to exculpate the samia rule from these atrocities1Wakuu,
Kamanda Mulilo amezungumza kuthibitisha hili kuwa kijana amepatikana kigamboni.
Alionekana hayuko vizuri wakampeleka hospitali, vipimo vikaonesha yuko vizuri, hana madhara yoyote.
Amesema alikuwa na watu anaofahamiana nao wakiwa na mazungumzo ya kibiashara, alipewa kinywaji, baadaye akapoteza fahamu, alivyozinduka walimzungusha kwa muda na baadaye kumuacha sehemu.
Haya maelezo yanatolewa hata hayaeleweki, kama vile yameungwaungwa. Nyie mnaonaje Wakuu?
View attachment 3142181
Pia soma: Mkurugenzi wa Dar24 Media Maclean Mwaijonga apotea, hajulikani alipo
Alionekana hayuko vizuri wakampeleka hospitali, vipimo vikaonesha yuko vizuri, hana madhara yoyote.Wakuu,
Kamanda Mulilo amezungumza kuthibitisha hili kuwa kijana amepatikana kigamboni.
Alionekana hayuko vizuri wakampeleka hospitali, vipimo vikaonesha yuko vizuri, hana madhara yoyote.
Amesema alikuwa na watu anaofahamiana nao wakiwa na mazungumzo ya kibiashara, alipewa kinywaji, baadaye akapoteza fahamu, alivyozinduka walimzungusha kwa muda na baadaye kumuacha sehemu.
Haya maelezo yanatolewa hata hayaeleweki, kama vile yameungwaungwa. Nyie mnaonaje Wakuu?
View attachment 3142181
Pia soma: Mkurugenzi wa Dar24 Media Maclean Mwaijonga apotea, hajulikani alipo