Sahvi ndipo watu walipofikiaHata kama ni Biashara lakini ni kosa kubwa kumteka mtu na kumforce atoe taarifa zake finances
Ahh mbona mfumo wao wanateka Acha na wao watekemi nadhani kufakamia mapombe bila mipangilio ni hatari kwa afya ya mfakamiaji.
kunyweni chai na kahawa ndrugu zango wananchi, msimskilize sana Janabi π
Na huyu ashukuru kapatikana maana ana kaback up fulani ya watu wazito....so called baba yake mwenyewe anajitambuaHata kama ni Biashara lakini ni kosa kubwa kumteka mtu na kumforce atoe taarifa zake finances
ππ€£ππ€£ππππ Si hatuna mwamuzi kama wewe
Huyo hajatekwa
Kaongia tu I8 za watoto wa mjini
Ma deal haramu hayo! Biashara za halali zinafanyika kwa office na siyo kwa bar!!
Wala huyu alikuwa sehemu anafurahia maisha watu wakaamua kumlipua kwa staili hiyo ya Kusema Amepotea.Mtu mzima Hapotei kirahisi hivo.Ila tusiache kupiga kelele kuhusu kina SOKA na Wengine wengi
Kumbe jamaa alipiga vyombo (tungi)
Spinning propagandaHuyu ni tapeli maarufu mjini mlio mbwinde ndio mtakulupuka ila uyu ana misala kibao ya kukimbia na hela za watu alafu wanamtambulisha km media person wataje na mengine anayofanya tufunguke vizuri
Serious namaanishaππ€£ππ€£
unaendeleaje ushimen?Another day same drama....π
Hii inafaa tuiweke kwenye uzi wa vituko mitandaoni..π€£
We jamaa, unaendeleaje jaman?Another day same drama....π
Hii inafaa tuiweke kwenye uzi wa vituko mitandaoni..π€£
Miss you much aiseeπAnother day same drama....π
Hii inafaa tuiweke kwenye uzi wa vituko mitandaoni..π€£
Hii ni kama ya Lwakatale wa Kawe Ukwamani aliyetekwa na Ashura wa Tabata ππTulishasema humu watu sahivi wanapita Na upepo wa kutekana
ova
Mimi pia niko serious kuwataarifu umma kuwa Mungu kanifanya kuwa mwamuzi wa Taifa hili.Serious namaanisha
Absolutely!Another version of mo dewji saga
πππππ Nyie tukiwakamata huku mtaani kwetu tunawapiga mpka basiMimi pia niko serious kuwataarifu umma kuwa Mungu kanifanya kuwa mwamuzi wa Taifa hili.
Kama kuna mtu hamumpendi na analiharibu Taifa mnijuze