Mkurugenzi wa Dar 24 apatikana Kigamboni

Taarifa kweye huu uzi inaonyesha aliondoka na gari lakini baada ya kuonekana hata simu alikuwa hana je gari alilondoka nalo aliliacha wapi?
Anamedai anadhani litakuwa alipokuwa mara ya mwisho kbl ya kupoteza fahamu.
 
Umewakilisha mawazo ya makada wenzio....bora hicho kichwa kingekuwa bakuli la makande.
Gentleman,
na nadhani ni muhimu zaidi kusema ukweli na pole pole mrazoea tu πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…