tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Wapinzani hawana muda na ccm,meko na genge lake ndio wako busy kununua binadamu karne hii,ccm inalinda makada wake yule aliempiga risasi na kuua singida kesi yake kimya mpka leoMkuu binti siyo 16 ni above 18, anaingiaje Guest??
Labda binti iwe ana matatizo ya akili.
Huyo binti kapangwa na wapinzani wa huyo mkurugenzi..
Binti hana mawasiliano binafsi na babake mpaka apitie kwa mtu mnene kama mkurugenzi??
Kuna mengi ya kujiuliza??
Everyday is Saturday........................... 😎
Kweli kabisa ninavyoiona hii information imekaa kiupambe zaidi binti wa miaka 16 sio kweli na binti wa miaka 16 hawezi kuajiriwa serikalini. Taarifa yenyewe inaonekana imetengenezwa tuu.. kuna kuchafuana kwingi
Mtoto wa miaka 16 anaweza kupewa kibarua cha katika hospital sio kweli. MiakaMkuu mnaposoma habari mtulize akili bc wapi pameandikwa ni muajiriwa huyo binti ni kibarua tu kama hawa wanaokata tiketi kwenye parking za hapa Dar
No huyu kapitilizaDaah! balaa hilo! sasa Mkurugunzi kaiga mambo kama ya Mwenyekiti wa Ufipa kuwala wabunge na wanachama wake,inabidi Kakukuru waingilie kazi kuanzia kwa Mwenyekiti maana anavyoachwa wengine wanaiga.
Daah! balaa hilo! sasa Mkurugunzi kaiga mambo kama ya Mwenyekiti wa Ufipa kuwala wabunge na wanachama wake,inabidi Kakukuru waingilie kazi kuanzia kwa Mwenyekiti maana anavyoachwa wengine wanaiga.
No huyu kapitiliza
Maana Ana jump mpka ze wall
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Halmashauri hiyo wadada mashalah lakiniMiji ya Sodoma na Gomora ilichomwa Moto kwasababu za "jumping ze wall" Huyu Mkurugenzi mbele za Mungu anaonekana Yuko Sodoma na Moto wa Mungu hawezi kuukwepa asilan[emoji1787][emoji1787]
Cha ajabu watu wanamsifia mbakaji na kumtukana mtoto aliyelawitiwa!
Mkuki kwa Mbowe, kwa binadamu uzushi. Haya tusubiri kuona Takukuru na Polisi wakihaha.Mkuu una lako jambo,sio bure,yanini kumchafua kiongozi wako kwa mambo ya ajabu?
Sent using Jamii Forums mobile app
I
Ingekuwa ni kiongozi wa chadema ungesema hivyo mkuu au ni kwavile nimtumishi wa serikali?