BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Usilete ubishi wa kitoto! Kitaa Watanzania wanaishi maisha yanayothibitisha tuna uchumi wa kati?
"Methodologies – World Bank Data Help Desk" Methodologies – World Bank Data Help Desk
Kupitia hiyo Link utaona kuwa World Bank (WB) hawatumii Central Banks pekee kukusanya Taarifa pia Wana Official Sources Zao Hivyo Swala La Tanzania kuingia Uchumi wa Kati (Lower Middle) it's 100% True achilia Mbali AFDB
Nazichanganya mkuu
Binafsi Ni Mchunguzi Sana kwa Kipindi kirefu usajiri wa Magari umekua ukienda kasi Sana Namanisha Plate Numbers Mfano Hivi karibuni Tuu Usajiri Ulianza DU Yani T XXX DUA within a Month Namba zimefika DUJ Almost 8000Cars Maana Single Letter ina hold gari 898
So hao wanapata wapi hela ? Kwani Sio watanzania wa kawaida
Siku hizi nimeona Vijana wengi tukifungua Biashara ya Nguo Hivi kama ingekua hailipi kungekua na ongezeko hilo ?? Na Kama inalipa Means Watu si Wana hela Mpaka kufikia hatua ya kununua Luxury things
Pengine Ni kasumba tuu ndio iliyobaki ya kwamba Jiwe kabana Jiwe kabana