Mkurugenzi wa JKCI, Prof. Janabi asema magonjwa ya moyo yataongezeka kutokana na ukuaji wa uchumi

Mkurugenzi wa JKCI, Prof. Janabi asema magonjwa ya moyo yataongezeka kutokana na ukuaji wa uchumi

Usilete ubishi wa kitoto! Kitaa Watanzania wanaishi maisha yanayothibitisha tuna uchumi wa kati?

"Methodologies – World Bank Data Help Desk" Methodologies – World Bank Data Help Desk


Kupitia hiyo Link utaona kuwa World Bank (WB) hawatumii Central Banks pekee kukusanya Taarifa pia Wana Official Sources Zao Hivyo Swala La Tanzania kuingia Uchumi wa Kati (Lower Middle) it's 100% True achilia Mbali AFDB

Nazichanganya mkuu
Binafsi Ni Mchunguzi Sana kwa Kipindi kirefu usajiri wa Magari umekua ukienda kasi Sana Namanisha Plate Numbers Mfano Hivi karibuni Tuu Usajiri Ulianza DU Yani T XXX DUA within a Month Namba zimefika DUJ Almost 8000Cars Maana Single Letter ina hold gari 898
So hao wanapata wapi hela ? Kwani Sio watanzania wa kawaida

Siku hizi nimeona Vijana wengi tukifungua Biashara ya Nguo Hivi kama ingekua hailipi kungekua na ongezeko hilo ?? Na Kama inalipa Means Watu si Wana hela Mpaka kufikia hatua ya kununua Luxury things

Pengine Ni kasumba tuu ndio iliyobaki ya kwamba Jiwe kabana Jiwe kabana
 
Usilete ubishi wa kitoto! Kitaa Watanzania wanaishi maisha yanayothibitisha tuna uchumi wa kati?
Ndio yanathibitisha
Baadhi ya Sababu Zangu Ndio hizo

Wewe Sababu Zako za Kukataa Ziko Wapi !?
[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Mkuu hivi husikii vilio vya Watanzania kuhusu uchumi kuanguka? Unaishi chini ya jiwe hadi vilio vya Watanzania usivisikie? Fungua macho na akili yako Mkuu!

1600886806713.png


Ndio yanathibitisha
Baadhi ya Sababu Zangu Ndio hizo

Wewe Sababu Zako za Kukataa Ziko Wapi !?
[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi amesema magonjwa ya moyo yataongezeka zaidi kutokana na uchumi kukua kwa sababu maisha yanakuwa rahisi.

Prof Janabi ametoa kauli hiyo leo jijini Dar es salaam, wakati wa utoaji wa huduma za kijamii One stop Jawabu katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke.

Prof. Janabi amesema kuwa ukuaji wa uchumi unafanya maisha kuwa rahisi kwa watu kuwa na uwezo wa kununua vyakula vya aina tofauti lakini pia utumiaji wa usafiri wa mara kwa mara yote ni sababu ya ukuaji wa magonjwa ya moyo.

“Kadri uchumi unavyokua na watu wanakuwa kwenye hatari kubwa ya kupata magonjwa hayo kwa sababu watu wanakuwa na fedha za kununua vyakula vingi sambamba na matumizi ya usafiri binafsi” amesema Prof Janabi.

Chanzo: EATV
Kadri uchumi unavyokua na watu wanakuwa kwenye hatari kubwa ya kupata magonjwa hayo kwa sababu watu wanakuwa na fedha za kununua vyakula vingi sambamba na matumizi ya usafiri binafsi” amesema Prof Janabi.
[emoji818][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
 
Prof Janabi kaongea vizuri sana.

Ni either watu hawajamuelewa ama wameamua kupinga kwa makusudi.

Chukua mfano mdogo tu wewe kwanini kabla ya kupata kazi nzuri na marupurupu mbona ulikuwa mwembamba sana na sasa umekuwa bonge tena na kitambi juu.
Ukitafakari haya utamuelewa Prof kwa urahisi sana.

Uchumi unapokuwa(hajamaanisha kwamba uchumi umekua yeye kaongelea general rule) kwamba kwa kadiri uchumi wa nchi ama familia hata wa mtu mmoja mmoja unapokuwa watu wana switch kwenda kwenye

1.Vyakula hasa junk foods
2.Hawatotembea tena watatumia usafiri binafsi na hata wa jumuiya na wakati ule pengine angelitumia baiskeli ama kutembea kwa miguu.
3.watu hawatofanya mazoezi tena kwa kuwa wana nyenzo rahisishi.

Hii ni sawa na teknolojia inavyokuwa ndio
1.Maradhi ya kuambukiza yanapungua na kuzaliwa maradhi sugu kama kansa, presha, sukari na magonjwa ya moyo.
2.Watu kuacha kutembea na kupanda baiskeli na wanahamia kwenye magari, ofisini wanakaa kwenye viti vya kuzunguka siku nzima, majengo yamewekwa lift badala ya ngazi nk

Ukiwa unasoma maelezo ya Prof kishabiki ama kimrengo hutomuelewa ila kazungumza jambo la ukweli kabisa.
 
Yule ni prof mzee tena wa medical anaongelea kwenye uwanja wake

Sasa kwa sababu watu kama ninyi mpo wacha tukusaidie kitu iko hivi

Ukiwa na pesa na mambo yako mazuri utakuwa na gari kwahiyo mizunguko yako yote utatembelea matako tofauti na njaa kali amabaye anapuyanga tu kwa jua pia ni wachache wenye commitment ya mazoezi

Kingine ukiwa na pesa vyakula vya hovyo hovyo kama KFC ni rahisi zaidi kuvipata na ndo maeneo wanayotembelea wenye pesa nafikiri unajua vizuri kabisa vyakula madhara yake ni nini baada ya muda
Asilimia zaidi ya 80 ya watanzania wako vijijini wanalima kwa jembe la mkono daily, sasa hebu nisaidie hayo maisha mazuri kutokana na uchumi kukua yako wapi? Hivi hao wati wa mijini ambao ni asilimia 20 au less Wana magari wote, mishahara mikubwa etc?
 
Ni sahahi, nahii inatokana na life style, sababu suala la Balance Diet TZ halipo kabisa, watu watazidi kubugia misosi inayohatarisha kupata Presha ya kupanda, Kisukari, kansa nk
.,.Kuna ukweli wa namna Fulani katika. Hili. Angalia Kasi ya Watu kula Chipsi Kuku wa Kisasa, ambavyo vinapikwa kwenye Mafuta matupu ambayo unapovila yanaishia mwilini mwako, angalia Kasi ya watu kula Baba, kitimoto, mkate kwenye Blue and na Kadhalika.

Jiulize we we mwenyewe binafsi...Mara ya mwisho ni lini ulikunywa chain kwa mihogo ama viazi vitamu vya kuchemsha???

Mara ya mwisho ni link ambapo ulifanya Nazi ndogo tu ya kukitoa jasho, kama kupanda ngazi had I ghorofa LA Tatu tu ilipo Ofisi yako na ukaacha Lifti??
Jiulize.....
 
.,.Kuna ukweli wa namna Fulani katika. Hili. Angalia Kasi ya Watu kula Chipsi Kuku wa Kisasa, ambavyo vinapikwa kwenye Mafuta matupu ambayo unapovila yanaishia mwilini mwako, angalia Kasi ya watu kula Baga, kitimoto, mkate wenye Blue and na Kadhalika.

Jiulize wewe mwenyewe binafsi...Mara ya mwisho ni lini ulikunywa chai kwa mihogo ama viazi vitamu vya kuchemsha???

Mara ya mwisho ni lini ambapo ulifanya kazi ndogo tu ya kukutoa jasho, kama kupanda ngazi had I ghorofa LA Tatu tu ilipo Ofisi yako na ukaacha Lifti??
Jiulize.....
 
Asilimia zaidi ya 80 ya watanzania wako vijijini wanalima kwa jembe la mkono daily, sasa hebu nisaidie hayo maisha mazuri kutokana na uchumi kukua yako wapi? Hivi hao wati wa mijini ambao ni asilimia 20 au less Wana magari wote, mishahara mikubwa etc?

Kwa maelezo ya prof kasema magonjwa ya moya yanaongezeka

Hata kama ni wa 20 tu wapo mjini kama mwanzo watu watano tu ndo walikuwa wanaugua magonjwa ya moyo na sasa wanaugua Watu 9 huoni kama kuna ongezeko hapo?
 
Miprofesa uchwara yenye miphd holders uchwara. Sasa kuna uchumi gani unakua?
Kashindwa kuelezea vizuri mbona uchumi ukikua ndo watu wanakua na uwezo wa kua na uwezo wa kununua vyakula vizuri kutokua na msongo wa mawazo kufanya mazoezi .
Angesema labda life style ingeeleweka vizuri

Naona kauli imetoka ili kufurahisha awamu
 
Watu wasio elewa watapinga hoja hii.

Kadri ya uchumi unavyoongezeka ndivyo watu hula junk foods kama za KFC na kuacha kula dona na bamia. Soda zitanywewa sana na energy drinks, flavoured foods, preserved foods kama nyama na samaki za kopo.
Unene utaongezeka.

Watu hawatatumia miguu kusafiri, mwendo mdogo tu ni gari au toyo kwa vile pesa ipo.
Kazi za nguvu zitapungua kwa vile watu wana pesa ya kutumia mashine na kuzifanyia automation. Wataweza afford kulipia kirikuu, bajaj, etc kubeba mizigo ambayo ingeamwishwa na njemba. Watanunua vyombo vya moto na kuvitumia popote.
Mazoezi yatapungua.

Na mengineyo.
Angesema life style maana kuna wenye hela na wanazingatia sana balance diet...matunda kwa sana mbogamboga na mazoezi sana
 
Kashindwa kuelezea vizuri mbona uchumi ukikua ndo watu wanakua na uwezo wa kua na uwezo wa kununua vyakula vizuri kutokua na msongo wa mawazo kufanya mazoezi .
Angesema labda life style ingeeleweka vizuri

Naona kauli imetoka ili kufurahisha awamu

Awamu ipi tena? Si tulishamshukuru Mungu kwa kutusikia na kutuondolea!
 
Angesema life style maana kuna wenye hela na wanazingatia sana balance diet...matunda kwa sana mbogamboga na mazoezi sana
Wewe mwenyewe ushasema "kuna wenye hela wanazingatia" kumbe ni kundi fulani la wenye hela ndio linazingatia. Tunarudi palepale maana mwenyewe hakusema wote
 
Back
Top Bottom