TANZIA Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomoni Mwalabhila afariki dunia

TANZIA Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomoni Mwalabhila afariki dunia

Hakika mkuu, konga alikuaga anaweza sana kutembea na baja.

Nakumbuka ashawahi sema napita hapa soon then mtanambia nimevaa nguo gan?

Mwamba alipita cha ajabu aliporudi akauliza watu kuwa alivaa nini kila mtu alitaja kivyake then mwamba akasema nimepita hapa nikiwa mtupu na hakuna alogundua.
😀😀😀mkuu sio chai hizi?,unamaana aliendesha baja akiwa mtupu road au sijaelewa
 
Defensive driving kwenye barabara zetu jambo la msingi sana, mengine muachie Mwenyezi Mungu.

Barabara zetu nyingi sio rafiki kukimbia, kuovertake na hata kupishana, muendeshaji wa chombo binafsi ndio unapaswa kujilinda ili uwe salama.

Madereva wengi pia huko barabarani akili zao haziko sawa na driving ni ya kihuni sana, wengi hawajali Sana hasa madereva wa mabasi na malori wengi hatari sana.
Uelewa mdogo na kutoheshimu kazi yao hupelekea kutojali sana, vitu kama ulevi, umalaya, uchovu nk ni vitu vya kawaida sana kwao wawapo barabarani.

Magari mabovu, Kwa kiasi kikubwa magari mengi huko barabarani ni mabovu japo yanatembea, kuanzia malori, mabus, gari ndogo binafsi na hata hizi za serikali mengi ni mabovu.

Madereva wa serikali, hili ni tatizo lingine huko barabarani, hawa watu hawajali kabisa madereva wengine, huovertake hovyohovyo, hulazimisha kupishwa hata sehemu ambayo sio salama, ilimradi yuko nyuma yako basi yeye anataka tu wewe umpishe hata kama kuna bonde upande mwingine.
Misafara huko kwenye highways bila kujali watumiaji wengine wa Barabara
 
Hakika mkuu, konga alikuaga anaweza sana kutembea na baja.

Nakumbuka ashawahi sema napita hapa soon then mtanambia nimevaa nguo gan?

Mwamba alipita cha ajabu aliporudi akauliza watu kuwa alivaa nini kila mtu alitaja kivyake then mwamba akasema nimepita hapa nikiwa mtupu na hakuna alogundua.
Kwani huyu Solomon naye ni Mkinga?
 
Hakika mkuu, konga alikuaga anaweza sana kutembea na baja.

Nakumbuka ashawahi sema napita hapa soon then mtanambia nimevaa nguo gan?

Mwamba alipita cha ajabu aliporudi akauliza watu kuwa alivaa nini kila mtu alitaja kivyake then mwamba akasema nimepita hapa nikiwa mtupu na hakuna alogundua.
Konga alikuwa ni mzee wa ma dirt bikes tena yake yenye tank kubwa.
 
Mwendo ameumaliza
Apumzike kwa amani mwamba
Tutamkumbuka kwa Buz zake enzi zipo kwenye peak

Jadda
 
Tumepokea taarifa ya ajali ya gari ndogo ambapo mmiliki wa Mabasi ya kampuni ya Sauli Luxury Solomoni Mwalabhila amefariki dunia kwenye ajali hiyo. Tunatoa pole sana kwa Kampuni ya Sauli Luxury.

Ajari ya barabarani imeondoka na roho ya mmiliki wa mabasi ya Sauli Luxury siyo mbali sana na ilipopata ajari basi yake mapema mwaka huu Kibaha na kuwaka moto na yeye pia mmiliki ajari imemwondoa maeneo ya Mlandizi leo hii asubuhi akiwa na gari binafsi

Atakumbukwa kwa kuleta upinzani wa huduma na kufikisha abiria kwa haraka kampuni zake kwa wasafri wa nyanda za juu kusini.

Hasa kwa sisi wanazi wa Scania tutamkumbuka sana mwamba kwa kuziheshimisha Scania road.

Rest in peace Mwilabila Sauli

======

Mmiliki wa mabasi ya Sauli, Solomon Sauli Mwalabila amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Miwaleni, Mlandizi mkoani Pwani majira ya saa kumi na mbili na nusu alfajiri.

Mwandishi wetu wa Pwani ameeleza kuwa ajali hiyo ilihusisha magari mawili yaliyokuwa katika sehemu moja gari namba T213 DQD aina ya Fuso.

Imeelezwa kuwa gari hilo lilipata hitilafu ya kiufundi na kuligonga gari aina ya Jeep lenye namba za usajili T466EGW alilokuwemo mmiliki wa Sauli ambapo liligonga gari jingine aina ya Howo la kubebea kokoto.

Marehemu Sauli mkazi wa Mbeya alikuwa na mtoto wake mwenye umri wa miaka minne ambaye alipata michubuko na alipelekwa hospitali kabla ya kuruhusiwa.
Mwili wa marehemu umehifadhiwa kwenye chumba cha maiti kituo cha afya Mlandizi.

Sauli alikuwa mmiliki mabasi ya Sauli yaliyowahi kufanya safari za Dar Es Salaam - Mbeya.

Kamanda wa Polisi Mkoa Pwani Pius Lutumo amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.

Azam TV

Huyu jamaa nimemkumbuka......kitambo sana....ila sikujua kama ndiye mwenye hayo mabasi...RIP
 
Hakika mkuu, konga alikuaga anaweza sana kutembea na baja.

Nakumbuka ashawahi sema napita hapa soon then mtanambia nimevaa nguo gan?

Mwamba alipita cha ajabu aliporudi akauliza watu kuwa alivaa nini kila mtu alitaja kivyake then mwamba akasema nimepita hapa nikiwa mtupu na hakuna alogundua.
Duh
 
Pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki na wote walioguswa na msiba huo

Hawa matajiri na vijana wa Chunya wakija Dar au miji yenye magari mengi waache sifa zao za kukimbiza magari mpaka kukosa umakini kama wanavyofanya huko kwao
Chanzo wala sio mwendo kasi wa marehemu ,ni vizuri kabla ya kuhukumu uulize kwanza Man.
 
Hakika mkuu, konga alikuaga anaweza sana kutembea na baja.

Nakumbuka ashawahi sema napita hapa soon then mtanambia nimevaa nguo gan?

Mwamba alipita cha ajabu aliporudi akauliza watu kuwa alivaa nini kila mtu alitaja kivyake then mwamba akasema nimepita hapa nikiwa mtupu na hakuna alogundua.
Daaah 😂😂,,,ni uzi wa huzuni ila hii comment
 
Umekariri vibaya,we unadhani wakinga tu ndo wanafanya aya mambo?
Sahvi watu wote wenye tamaa ya utajiri wa haraka wanaingia kwenye haya mambo bila kujali kabila,wengine wanaiga kulingana na kampani anayoshinda nayo na kushirikiana katika mishe za hapa na pale,anajikuta kazama kwenye haya mambo

Kwani huyu Solomon naye ni Mkinga?
 
Back
Top Bottom