TANZIA Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomoni Mwalabhila afariki dunia

TANZIA Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomoni Mwalabhila afariki dunia

Nakumbuka kuna siku Sauli aliweka challenge ya mtu kula mayai ya kuchemsha trei moja.

Kuna mwamba alikuwa anaitwa Jose tulikuwa tunamuita jina la utani Coliver.

Huyu jamaa alipita na mayai 30, wakati Sauli anashangaa jamaa kawezaje. Jamaa akaomba apewe na Coca ashushie.

Vijana wa Chunya wakawa wanamtania Coliver, wakasema "daah hapo mwanangu usiku hauna haja ya kuchoma dawa ya mbu kwasababu mbu utakuwa unawaua tu kwa ushuzi"
😂😂😂😂
WanaChunya tupo kwenye majonzi
Usitutoe kwenye reli
 
Yani mi sauli nilikuwa nazipenda sana hizo bus
Basi nkamu tutahamia kwa ABC
Mi sikuwa shabiki wa hizo bus
Lakini nilipenda tu namna alivyotikisa barabarani
Shabiki kindakindaki Jadda ,gari zake pendwa
Ngoja tuone nani atabadili rekodi yake.

Watu wa Mbeya sijajua ni ushamba ama ni kufuata mkumbo
ABC na uzuri wake ila gari halina abiria kabisa.

Sasahivi wote wamejazana kwenye Achimwene
Tajiri wetu mpya wanaChunya..naye kwa mbwembwe ametupia hadi route ya Chunya.
 
Mi sikuwa shabiki wa hizo bus
Lakini nilipenda tu namna alivyotikisa barabarani
Shabiki kindakindaki Jadda ,gari zake pendwa
Ngoja tuone nani atabadili rekodi yake.

Watu wa Mbeya sijajua ni ushamba ama ni kufuata mkumbo
ABC na uzuri wake ila gari halina abiria kabisa.

Sasahivi wote wamejazana kwenye Achimwene
Tajiri wetu mpya wanaChunya..naye kwa mbwembwe ametupia hadi route ya Chunya.
Mimi mwenyewe naipenda na zile ligi zao na New force nikipandisha Green city ndio bus zangu huniambii kitu.!!
Halafu umkute dereva wa sauli Tito, New force linyama awwww hilo battle lake hapo road lazima ukubali.!!
Km ulivaa bra mikanda mibovu nyonyo utalikuta limechomoka lipo nje 🤣🤣🤣🤣
 
Mimi mwenyewe naipenda na zile ligi zao na New force nikipandisha Green city ndio bus zangu huniambii kitu.!!
Halafu umkute dereva wa sauli Tito, New force linyama awwww hilo battle lake hapo road lazima ukubali.!!
Km ulivaa bra mikanda mibovu nyonyo utalikuta limechomoka lipo nje 🤣🤣🤣🤣
Mara linapepea pale kitonga korongoni,mkanda unakatika😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌
Mie mambo ya kufukuzana ,labda nishabikie nikiwa nje.

Gari yangu pendwa ni ABC ,no population at all

New force sijawahi kupanda na sitakuja kupanda.

Sauli nilipanda zikiwa zimeshachoka..
Jamaa alikuwa na nafasi ya kurudi tena kivingine maana watu wa Mbeya walikuwa wameamua kufuata mkumbo kumpenda.
 
Mara linapepea pale kitonga korongoni,mkanda unakatika😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌
Mie mambo ya kufukuzana ,labda nishabikie nikiwa nje.

Gari yangu pendwa ni ABC ,no population at all

New force sijawahi kupanda na sitakuja kupanda.

Sauli nilipanda zikiwa zimeshachoka..
Jamaa alikuwa na nafasi ya kurudi tena kivingine maana watu wa Mbeya walikuwa wameamua kufuata mkumbo kumpenda.
😹😹😹 wale wajinga wana overtake mpk kitonga hawaogopi!!
Nkamu hutaki kukaa roho juu juu 🤣
 
Yote ni mapenzi ya Mungu, duniani tunapita; unachoweza kufanya hapa duniani fanya, baada ya kifo hakuna sehemu nyingine utaweza fanya.
 
Back
Top Bottom