Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafikiri kila mtu anafuata mihemuko. Mkurugenzi yupo sahihi, anazingatia sheria.Tume haisindikizwi kutoka nje akiwa na maana inasindikizwa kutoka ndani. Huyu ni wa kupigwa travel ban na account zake kuwa frozen na familia yake yote kama DAB
Tataizo NEC huwa wanawekwa watu ambao hawakuwa na matumaini yoyote, Mahera alikuwa Mkurugenzi wa Halmashauri lakini hajitambui mpaka DC wake Muro alikuwa anamtukana hadharani kwasababu ya Umbumbumbu
Wanampaisha Lissu bila kupendaMimi naona TUME kumwita TAL ni kumuongezea umaarufu. Wana muhujumu Magufuli. JPM anatakiwa awe makini na hatua hizi. Kwa sababu kimsingi JPM amevunja kanuni nyingi za uchaguzi kuliko TAL. Hivyo alitakiwa aitwe kwanza. TAL ataenda kuwatoa jasho wabaki na aibu
Wanashindana na aliyemshindi tayarWanampaisha Lissu bila kupenda
Ila mkurugenzi kajaaa upepo mno kama vile yeye ni mgombea wa uraisWanashindana na aliyemshindi tayar
Yule mahela, unaona kabisa, Ni wale wanaosoma kwa kukariri lakini wanamaliza masomo bila ya kuwa na maarifa yoyote.Tataizo NEC huwa wanawekwa watu ambao hawakuwa na matumaini yoyote, Mahera alikuwa Mkurugenzi wa Halmashauri lakini hajitambui mpaka DC wake Muro alikuwa anamtukana hadharani kwasababu ya Umbumbumbu
Kila ninapomsikiliza huyu mkurugenzi napata wasi wasi kabisa na uwezo wake wa kuifanya tume ya uchaguzi ikafanya haki. Kwanini isichukuliwe kua yeye ndiye chanzo cha hizi engua engua?...
Hofu ya kukosa ajira si unamchek kujiajiri haweziIla mkurugenzi kajaaa upepo mno kama vile yeye ni mgombea wa urais
Yule hawezi hata ya kutafsiri sgeria.Tumia akili. Unafikiri kila mtu anafuata mihemuko. Mkurugenzi yupo sahihi, anazingatia sheria.
Tume huru ni nzuri, lakini ccm hawaitaki! Tutawatoa na litume Lao, alafu tuijenge nchi yetu! Mahera na Polepole wana ujinga unaofanana, sijui ni kwa kuwa wote ni vibaraka wa Mtu mmoja?!Mkuu usiwe mbumbumbu kama walivyo MATAGA.Tatizo siyo mkurugenzi,tatizo ni maelekezo yanatoka kwa Magufuli.Wewe unaweza kumgomea mtu anaekulisha wewe pamoja na Familia yako?Mkurugenzi wa NEC anapitia wakati mgumu sana ndiyo maana mwarubaini ni tume huru.
Kamwambie mgombea wako afanye kampeni za kistaarabu. Maana hakuna anayemzidi kwa kuvunja kanuni na sheria.Kuna ugumu gani kufanya kampeni za kistaarabu bila kukejeliana?
Wewe na genge lenu ndio mnatuharibia Nchi, hamuwezi kutulazimisha tufate mtakavyo nyie tu!
Uchaguzi utapita na Tanzania itabaki salama which is against your wishes!
Mahera anashikilia nafasi nyeti ya kitaifa. Na alitakiwa aonyeshe yupo 'neutral' wakati anatoa tangazo la kumuita Tundu ajieleze. Naona ametoa tangazo kwenye vyombo vya habari kwa papara na hasira na hiyo imeleteleza kujianika wazi kuwa ana upande. Mbona hakukasirishwa na mgombea kujinadi kwa lugha za kikabila? Mbona hakukasirishwa na mgombea kutisha wapiga kura wasipomchagua?
Pale haongozi kwa ukada, anaongoza kwa Sheria zinzotokana na Katiba yetu ya JMTYule mahera ni kada mtiifu sana wa chama, ccm.mwenye ile clip yake akizungumza na wanaccm atuwekee humu.
Humjui Jaji wewe!Huyo jini hapo tume ataleta vurugu nchii hii mimi nimemwona tangu zamani sana. Huwa kuna watu wenye roho fulani wasio na utu ndio wanawekwa maeneo kama hayo. Watu hawa hawana utu wala aibu. Huwezi kumweka pale tume mtu mwaninifu na mwenye akili zake timamu hataweza kufanya ushenzi unaotakiwa pake. Na huyu ana nguvu kuliko hata Jaji Semistocles.