ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
NEC wanajikaanga kwa mafuta ya ushetani wao wenyewe. Tunao mwaka huu.Mkuu siyo mkurugenzi tu tume nzima inahitaji kuvunjwa ile hamna kitu pale.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NEC wanajikaanga kwa mafuta ya ushetani wao wenyewe. Tunao mwaka huu.Mkuu siyo mkurugenzi tu tume nzima inahitaji kuvunjwa ile hamna kitu pale.
Tatizo ni kipindi hiki cha uchaguzi.Mkuu leo Magufuli asingekuwa rais.. tulishaahidiwa IST zile za makinikia, achilia mbali laptop.. lakin tupo tunafanya kazi. Kuna 50m kila kijiji lakini kwenye mikutano yetu wala yake hatujawahi kumuuliza. Maana alichomekea tu.
Tusiwe ni mihemko hemko tu ya mambo madogo, wakurugenzi kuitwa dodoma hata kama ni kweli wale si waajiriwa wa serikali,kama rais anaongea na wafanya kazi wake tatizo ni nini?
Amempigia kampeni Magufuli humohumo: “Watanzania wanahitaji Rais anaejali maisha yao kama ujenzi wa barabara na miundo mbinu si Rais atakaeuza madini yao”.Sio kwamba inasemekana, huyo jamaa ni kada kindaki ndaki wa CCM.
Tume inapiga kampeni.Amempigia kampeni Magufuli humohumo: “Watanzania wanahitaji Rais anaejali maisha yao kama ujenzi wa barabara na miundo mbinu si Rais atakaeuza madini yao”.
Kafokewa na Muro hadi akatolewa sembuse Lissu. Atanyoka tu. Lissu ni mtu wa kanuni.Kumbe tulipomtetea alipofokewa na Muro tulikosea sana, Muro alimjua vilivyo huyu mtu. Wacha akakutane na Lisu
Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
Wanatapa tapa. Hii ni inshara kuwa Lissu kawanasa wote.
NEC kwa Lissu itazidi kujidhalilisha tu. Lissu ni akili Kubwa.Hii tume ambayo msingi wake mkubwa ni double standards...Tundu Lissu asiende tuone kitakochofanyika. Hii tume ambayo yenyewe haina maadili...ninewupe kama pamba. Wametoa hukumu gani kwa wagombea ubunge na udiwani wa chadema kwa muda huu wote. There are all working in tandem with all the deds to ensure that winner is Magufuli...
Hajishtukii mwenzake Jaji Kaijage kajikalia kimya tu yeye ndo analopoka hovyo. Keshaingia kwenye records za wenye dunia na saivi wanamfuatilia 24/7. Andelee kujifanya mjinga hajui kinachokuja mbele yake
AbsolutelyHii tume ambayo msingi wake mkubwa ni double standards...Tundu Lissu asiende tuone kitakochofanyika...
WanawewesekaWanatapa tapa. Hii ni inshara kuwa Lissu kawanasa wote.
Vyovyote mkuu. Kikubwa ujumbe unafikaNi analopoka au anaropoka?
Huenda hayo ni maelekezo aliyopokea kwa sababu amekuwa na pressure sana na ukimwangalia vizuri utagundua kashindwa kubalance maelekezo na nafasi yake katika Tume, ametoka off-road kabisa na kujikuta ameivaa nafasi ya mgombea. Ni hatari sana.Ila mkurugenzi kajaaa upepo mno kama vile yeye ni mgombea wa urais
Ambaye hamtaki Mkurugenzi Dk. Mahera aache kugombea.Kila ninapomsikiliza huyu Mkurugenzi napata wasiwasi kabisa na uwezo wake wa kuifanya tume ya uchaguzi ikafanya haki. Kwanini isichukuliwe kuwa yeye ndiye chanzo cha hizi engua engua?
Huyu si watu wengi wanamtuhumu kuwa ni kada wa CCM? Si ndio kuna tuhuma kuwa alikua kwenye list ya Wakurugenzi Makada wa CCM iliyoandaliwa na Bibi Chacha Wangwe na Fatma Karume?
Kwani wagombea kutunishiana misuli na kukejeliana majukwaani nyakati za kampeni si kawaida?
Kwenye uchaguzi huwezi kupanga kusikiliza unayoyataka wewe, hakuna kitu cha namna hiyo labda ugombee wewe pekee yako.
Huyu bwana ajifunze kwenye tume za kina nani Damian Lubuva. Alitukanwa sana mzee Lowassa lakini hatukuona mtu akiitwa kwenye kamati za maadili.
Nimemsikiliza mara nyingi mwenye vikao vyake na vyombo vya habari inaonekana ni mtu asiyekipenda kabisa CHADEMA na mgombea wake.
Huyu tusipoangalia anàweza kuleta matatizo makubwa nchini siku za usoni. Awe makini sana NEC ni chombo kinachotazamwa na Jumuiya zote za kimataifa, asiongee kama bado yupo Arusha DC.
Amesikika akisema kila kila wakati kuwa tume haishinikizwi kutoka nje, hii kauli inalenga nini hasa? Ni nje ya wapi inataka kuishinikiza tume na kupitia nani?
Nasikitishwa na upinzani wa nchi yetu kwanini wasingeshinikza huyu bwana aondolewe kwenye tume kabla ya uchaguzi? Wanamuamini kwa kiasi gani kutokana na kauli zake hizi?