Atakuwa alisoma sayansi au hesabu kule kunahitaji kukariri ameshindwa hata kuedit hio barua aliyiandikiwa na polepoleYule mahela, unaona kabisa, hata ile akili ya kawaida hana. Ni wale wanaosoma kwa kukariri lakini wanamaliza masomo bila ya kuwa na maarifa yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kejeli nadhani kuna matusi mf. Polepole kumuita mtu “msukule”Kuna ugumu gani kufanya kampeni za kistaarabu bila kukejeliana?
Wewe na genge lenu ndio mnatuharibia Nchi, hamuwezi kutulazimisha tufate mtakavyo nyie tu!
Uchaguzi utapita na Tanzania itabaki salama which is against your wishes!
Umekuwa ni utamaduni kwao yaniTika 95 hamjaacha kuilalamikia Tume
Kwa muundo wa tume ulivyo mwenyekiti wa NEC ni Magufuli!Tume huru ni nzuri, lakini ccm hawaitaki! Tutawatoa na litume Lao, alafu tuijenge nchi yetu! Mahera na Polepole wana ujinga unaofanana, sijui ni kwa kuwa wote ni vibaraka wa Mtu mmoja?!
Sheria ndo utaka awapangie upinzani Cha kuongeaPale haongozi kwa ukada, anaongoza kwa Sheria zinzotokana na Katiba yetu ya JMT
Huyo jaji kibaraka na wewe mbona hamuoni makosa makubwa ya magu kila mkutano kuanzia kutisha watu, kutoa amri miradi ifanywe, kulugha, nkHumjui Jaji wewe!
Ile team iko very smart!
Shida ni nyie na ulevi wa wagombea, maana hamuoni wanapokosea
CHADEMA, jiandaeni kuishi bila ruzukuKila ninapomsikiliza huyu mkurugenzi napata wasi wasi kabisa na uwezo wake wa kuifanya tume ya uchaguzi ikafanya haki. Kwanini isichukuliwe kua yeye ndiye chanzo cha hizi engua engua?...
Kila ninapomsikiliza huyu Mkurugenzi napata wasiwasi kabisa na uwezo wake wa kuifanya tume ya uchaguzi ikafanya haki. Kwanini isichukuliwe kua yeye ndiye chanzo cha hizi engua engua?
Huyu si watu wengi wanamtuhumu kua ni kada wa CCM? Si ndio kuna tuhuma kua alikua kwenye list ya Wakurugenzi Makada wa CCM iliyoandaliwa na Bibi Chacha Wangwe na Fatma Karume?
Kwani wagombea kutunishiana misuli na kukejeliana majukwaani nyakati za kampeni si kawaida?
Kwenye uchaguzi huwezi kupanga kusikiliza unayoyataka wewe, hakuna kitu cha namna hiyo labda ugombee wewe pekee yako.
Huyu bwana ajifunze kwenye tume za kina nani Damian Lubuva. Alitukanwa sana mzee Lowassa lakini hatukuona mtu akiitwa kwenye kamati za maadili.
Nimemsikiliza mara nyingi mwenye vikao vyake na vyombo vya habari inaonekana ni mtu asiyekipenda kabisa CHADEMA na mgombea wake.
Huyu tusipoangalia anàweza kuleta matatizo makubwa nchini siku za usoni. Awe makini sana NEC ni chombo kinachotazamwa na Jumuiya zote za kimataifa, asiongee kama bado yupo Arusha DC.
Amesikika akisema kila kila wakati kua tume haishinikizwi kutoka nje, hii kauli inalenga nini hasa? Ni nje ya wapi inataka kuishinikiza tume na kupitia nani?
Nasikitishwa na upinzani wa nchi yetu kwanini wasingeshinikza huyu bwana aondolewe kwenye tume kabla ya uchaguzi? Wanamuamini kwa kiasi gani kutokana na kauli zake hizi?
Hii tume ambayo msingi wake mkubwa ni double standards...Tundu Lissu asiende tuone kitakochofanyika. Hii tume ambayo yenyewe haina maadili...ninewupe kama pamba. Wametoa hukumu gani kwa wagombea ubunge na udiwani wa chadema kwa muda huu wote. There are all working in tandem with all the deds to ensure that winner is Magufuli.Kila ninapomsikiliza huyu Mkurugenzi napata wasiwasi kabisa na uwezo wake wa kuifanya tume ya uchaguzi ikafanya haki. Kwanini isichukuliwe kua yeye ndiye chanzo cha hizi engua engua?...
Kwenye matatizo hatupeleki ataenda Yeye. Hivi Mungu ameumba watu kama hawa kweli au wemginr wameumbwa na shetaniKila ninapomsikiliza huyu Mkurugenzi napata wasiwasi kabisa na uwezo wake wa kuifanya tume ya uchaguzi ikafanya haki. Kwanini isichukuliwe kua yeye ndiye chanzo cha hizi engua engua?...
Kwahiyo nikisema umepora ardhi ya wananchi ni kejeli ??Kuna ugumu gani kufanya kampeni za kistaarabu bila kukejeliana?
Wewe na genge lenu ndio mnatuharibia Nchi, hamuwezi kutulazimisha tufate mtakavyo nyie tu!
Uchaguzi utapita na Tanzania itabaki salama which is against your wishes!
Kama NEC inaongozwa na watu kama akina wilson mahera basi TL anashinda asubuhi mapema. Wanazidi kuonesha Lissu ni Hero.Yule Bwana kama ni kubalance mchezo kapambana sana, Tatizo CDM!
Wanavyozidi kuachiwa wao wanazidi kukosea, kulikuwa na haja gani Mgombea urais kudanganya Umma?
Si ana kundi la watu 50 wao ndio wangesema hayo?
Lengo kuu la TL ni kuvuruga, sio kushinda kiti
Wa hivyo ndio Magufuli anapenda na amemuweka hapo kwa makusudi na usishangae yeye ndio anamuagiza ayaseme hayo na huyo mkurugenzi akawa anatumika kama kipaza sauti tu.Kila ninapomsikiliza huyu Mkurugenzi napata wasiwasi kabisa na uwezo wake wa kuifanya tume ya uchaguzi ikafanya haki. Kwanini isichukuliwe kuwa yeye ndiye chanzo cha hizi engua engua?...
Huyu mkurugenzi si ndo yule akiwa mkurugenzi arusha alikoromewa na Jerry Muro.atamweza Mwamba kweli.Mahera anashikilia nafasi nyeti ya kitaifa. Na alitakiwa aonyeshe yupo 'neutral' wakati anatoa tangazo la kumuita Tundu ajieleze. Naona ametoa tangazo kwenye vyombo vya habari kwa papara na hasira na hiyo imeleteleza kujianika wazi kuwa ana upande. Mbona hakukasirishwa na mgombea kujinadi kwa lugha za kikabila? Mbona hakukasirishwa na mgombea kutisha wapiga kura wasipomchagua?
Heheheheee.......naye kumbe alitolewa jalalani kama.Palamagamba.
Ndiyo yeye alitumwa akapambane na kina Lema akashimdwa wakamtoa.Huyu mkurugenzi si ndo yule akiwa mkurugenzi arusha alikoromewa na Jerry Muro.atamweza Mwamba kweli.
Hii tume ambayo msingi wake mkubwa ni double standards...Tundu Lissu asiende tuone kitakochofanyika. Hii tume ambayo yenyewe haina maadili...ninewupe kama pamba. Wametoa hukumu gani kwa wagombea ubunge na udiwani wa chadema kwa muda huu wote. There are all working in tandem with all the deds to ensure that winner is Magufuli.Sio kwamba inasemekana, huyo jamaa ni kada kindaki ndaki wa CCM.
Kumbe tulipomtetea alipofokewa na Muro tulikosea sana, Muro alimjua vilivyo huyu mtu. Wacha akakutane na LisuHeheheheee.......naye kumbe alitolewa jalalani kama.Palamagamba.