Uchaguzi 2020 Mkurugenzi wa NEC, Dkt. Mahera apumzishwe haraka, anaweza kutupeleka kwenye matatizo makubwa

Kama raia huru wa kitanzania naomba kutoa ushauri kwa vyama vyote vya siasa nchini hasa upinzani, kwakua huyu mkurugenzi wa NEC anaonesha mahaba ya wazi wazi kwa chama tawala CCM, toeni tamko la pamoja kutoa masaa 72 kwa mamlaka kumuondoa huyu mkurugenzi na lasivyo mchukue hatua stahiki.

Records zinaonesha kua huyu bwana alikua ni mwanachama wa CCM na bado anaendeleza mahaba yake. NEC ni Chombo senstive sana siyo cha kubebwa bebwa tu tusije tukaishia pabaya.

Naomba kuwasilisha!
 
Tatizo ni kipindi hiki cha uchaguzi.
 
Sio kwamba inasemekana, huyo jamaa ni kada kindaki ndaki wa CCM.
Amempigia kampeni Magufuli humohumo: “Watanzania wanahitaji Rais anaejali maisha yao kama ujenzi wa barabara na miundo mbinu si Rais atakaeuza madini yao”.
 
NEC kwa Lissu itazidi kujidhalilisha tu. Lissu ni akili Kubwa.
 
Hajishtukii mwenzake Jaji Kaijage kajikalia kimya tu yeye ndo analopoka hovyo. Keshaingia kwenye records za wenye dunia na saivi wanamfuatilia 24/7. Andelee kujifanya mjinga hajui kinachokuja mbele yake

Ni analopoka au anaropoka?
 
Tume walishampanga mshindi wao wa mfukoni Sasa hili nyomi na muamko mpya nchi nzima wa kumkataa shetani na kazi zake zote inawaumiza Sana vichwa.

Mwaka huu Safari Ni mbili kwenda Chato au The Hague, Lisu sio Lowasa.
 
Msinikumbushe 2012 mambo yaliyoleta vurugu Kenya hadi kuzaa Katiba yao mpya, Mkurungezi anaulizwa nani kashinda URAIS yeye anasema hana uhakika kama ni Raila ama Uhuru Kenyatta!!
 
Mahera kachemka mapema sana,ashapwaya hafai kuendelea kushikilia nafasi hiyo.
 
Ila mkurugenzi kajaaa upepo mno kama vile yeye ni mgombea wa urais
Huenda hayo ni maelekezo aliyopokea kwa sababu amekuwa na pressure sana na ukimwangalia vizuri utagundua kashindwa kubalance maelekezo na nafasi yake katika Tume, ametoka off-road kabisa na kujikuta ameivaa nafasi ya mgombea. Ni hatari sana.
 
Ambaye hamtaki Mkurugenzi Dk. Mahera aache kugombea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…