Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ina muda nadhani ni renewable.Caveat ina muda gani kuisha?Au haina mda kuisha mda wake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina muda nadhani ni renewable.Caveat ina muda gani kuisha?Au haina mda kuisha mda wake?
Hilo ni tangazo la kifo.naweza kuwa sikupingi
cha mama yangu wameandika ugonjwa sasa pengine n vip wa huko,,...
MkuuWachaga na kugombea urithi mnalitia taifa aibu,nyie mnachowaza ni hela tu,hapo watoto wengine wa marehemu wamekataliwa kisa mali,aibu sana 🤔
Kuna mijitu ni minyama sana vipi unakula mali ya yatima? Naamini sheria itafuata mkondo wakeNdugu Mkurugenzi wa Ritta
Huyu ninayemwongelea ni mmoja wa ndugu zangu aliefariki 2019
Marehemu Edwin Moshi mwenye Kitambulisho cha Nida No 19450805-14115-00001-29
alifariki tar 19-2-2019 Hosptial ya Kinondoni hospital na ugonjwa wa kansa ya kibofu
Marehemu ameacha jumla ya watoto wanne wawilli wa Ndoa na wawili wa nje na wote wana umri zaidi ya miaka 18
Baada ya kufariki alipata tangazo la kifo no BD 0668249(idara ya msajili wa vizazi na vifo)
Tangu afariki msimamizi wa mirathi za marehemu aliwasumbua sana watoto ndani ya miaka mitatu na nusu aligoma kufungua mirathi akiogopa baadhi ya watoto wa ndoa walipingana na e wakati wa matanga hasa upande wa mgao
Marehemu alizikwa makaburi ya Mbweni chini ya Ruhusa ya Serikali za mtaa mbweni
Marehemu aliishi maeneo ya karakata -airport dsm
Baada ya kuona adhma yake haiwezekani akifungua mirathi dar akaenda Moshi Kilimanjaro
Kama tujuavyo kupatikana kwa cheti cha kifo kunahitaji
-Tangazo la kifo
-Barua ya serikali za mtaa anapoishi marehemu na muhtasari......
Kwa kuogopa watoto kutosoma muhtasari alikuja Moshi akaghushi nyaraka pendwa hapo juu zikionyesha marehemu alifia Moshi -Mamba kotela /Na alikuwa akiishi Mamba kotela na huku akijua marehemu hajawahi kuwa na nyumba wala kuishi mmamba kotela wala kufa Moshi mamba kotela
June 16 2022
Msimamizi aliweza kuidanganya ofisi yako tukufu na kufanikiwa kupata cheti cha kifo no 100000293415 Moshi kikionyesha
-Marehemu amefia Mamba kotela
-marehemu alikuwa akiishi mamba kotelaa
-marehemu amekufa na natural death
na sio kansa ya kibofu kama tangazo la kifo la kinondon hospitali linavyosoma
Haitoshi akaenda mahakama ya moshi mamba akaidanganya mahakama kwa kuwaonyesha chti cha kifo cha rita toka moshi huku akijua marehemu amefia dar es salaam ameishi dar na amezikwa dar bila ya kujumuisha watoto wote mahakamani na mirathi ikatolewa bila ya baadhi ya watooto kujumuishwa(hili la mahakama wako nalo ngazi za juu)
Baada ya kuoomba nyaraka alizotumia mahakaman kuidhinisha mirathi anayoijua toka sept2022 alikubali kukabidhi nyaraka za mirathi march mbele ya wanasheria
march 2023
Ndugu Mkurugenzi hawa Yatima wanateseka sana kwa sababu ya mali za baba yao yapo mengi uwezi elza yote hata baadhi ya viwanja vya marehemu amegoma kuviingiza kwenye muhtasari huku akijua n mali ya marehemu(liko mahakaman)na ni kosa mojawapo la kutaka kutpanya mali za marehemu
Tunaomba uchunguzi wako kwa yoote hayo juu na kwa kuwa iko wazi cheti ch kifo kinatoka pale maarehemu alipofia tunaomba baada ya uchunguzi cheti hiki kiidhinishwe ni batili na kutohusika popote mpaka kitakapopatikana cheti halisi cha kifo cha marehemu mpendwa baba yao dar es salaa,m
tumeona kuweeka wazi kwa kuwa swala hili linajulikana sasa pale moshi na msimamizi ameoneakana mara kwa mara ofisi za moshi rita
Kama taasisi ya kusaidia wenye shida za mirathi hasa yatima na wajane tunaimani offisi yako italifanyia kazi kama maombi ya barua yatakayoletwa
ahsante
UnatakajeWachaga na kugombea urithi mnalitia taifa aibu,nyie mnachowaza ni hela tu,hapo watoto wengine wa marehemu wamekataliwa kisa mali,aibu sana 🤔
Ni haki yao kisheria acheni wosiaMkuu
Huku siyo kugombea mirathi. Ni haki ya warithi tena ya kisheria kupata kile wanachostahili kurithi.
Msimamizi wa mirathi anaonekana kukuvutia sana kwa mwenendo wake.
Hii ni kesi ya kugushi na pia jinai
Siku hizi wosia unachakachukiwa.Ni haki yao kisheria acheni wosia
Hakuna kabila lisilogombea urithi au lisilowaza hela.Wachaga na kugombea urithi mnalitia taifa aibu,nyie mnachowaza ni hela tu,hapo watoto wengine wa marehemu wamekataliwa kisa mali,aibu sana 🤔
yaaaaan kwa maombi ya jana nasubiria wakate moto sio kurudi asbh hii kirahisiChako lazima kiwe chako, nadhani kwenye maombi 12 kwenye mkesha na hili umeliweka.
Kwanza kuna wanawake pia wana mali ila hawataki kurithisha.Tuwaridhishe wake zetu na watoto mali mapema
Kuna mambo mengi naona kama unayaficha kwa nia ovu. Nina maswali mengi sana juu ya hili suala lako. Kama uko serious kabisa na Jambo hili na kwa hakika/dhati kabisa unahitaji msaada, uje inbox kwangu endapo kama unaogopa kuweka wazi details zote hapa JfNdugu Mkurugenzi wa Ritta
Huyu ninayemwongelea ni mmoja wa ndugu zangu aliefariki 2019
Marehemu Edwin Moshi mwenye Kitambulisho cha Nida No 19450805-14115-00001-29
alifariki tar 19-2-2019 Hosptial ya Kinondoni hospital na ugonjwa wa kansa ya kibofu
Marehemu ameacha jumla ya watoto wanne wawilli wa Ndoa na wawili wa nje na wote wana umri zaidi ya miaka 18
Baada ya kufariki alipata tangazo la kifo no BD 0668249(idara ya msajili wa vizazi na vifo)
Tangu afariki msimamizi wa mirathi za marehemu aliwasumbua sana watoto ndani ya miaka mitatu na nusu aligoma kufungua mirathi akiogopa baadhi ya watoto wa ndoa walipingana na e wakati wa matanga hasa upande wa mgao
Marehemu alizikwa makaburi ya Mbweni chini ya Ruhusa ya Serikali za mtaa mbweni
Marehemu aliishi maeneo ya karakata -airport dsm
Baada ya kuona adhma yake haiwezekani akifungua mirathi dar akaenda Moshi Kilimanjaro
Kama tujuavyo kupatikana kwa cheti cha kifo kunahitaji
-Tangazo la kifo
-Barua ya serikali za mtaa anapoishi marehemu na muhtasari......
Kwa kuogopa watoto kutosoma muhtasari alikuja Moshi akaghushi nyaraka pendwa hapo juu zikionyesha marehemu alifia Moshi -Mamba kotela /Na alikuwa akiishi Mamba kotela na huku akijua marehemu hajawahi kuwa na nyumba wala kuishi mmamba kotela wala kufa Moshi mamba kotela
June 16 2022
Msimamizi aliweza kuidanganya ofisi yako tukufu na kufanikiwa kupata cheti cha kifo no 100000293415 Moshi kikionyesha
-Marehemu amefia Mamba kotela
-marehemu alikuwa akiishi mamba kotelaa
-marehemu amekufa na natural death
na sio kansa ya kibofu kama tangazo la kifo la kinondon hospitali linavyosoma
Haitoshi akaenda mahakama ya moshi mamba akaidanganya mahakama kwa kuwaonyesha chti cha kifo cha rita toka moshi huku akijua marehemu amefia dar es salaam ameishi dar na amezikwa dar bila ya kujumuisha watoto wote mahakamani na mirathi ikatolewa bila ya baadhi ya watooto kujumuishwa(hili la mahakama wako nalo ngazi za juu)
Baada ya kuoomba nyaraka alizotumia mahakaman kuidhinisha mirathi anayoijua toka sept2022 alikubali kukabidhi nyaraka za mirathi march mbele ya wanasheria
march 2023
Ndugu Mkurugenzi hawa Yatima wanateseka sana kwa sababu ya mali za baba yao yapo mengi uwezi elza yote hata baadhi ya viwanja vya marehemu amegoma kuviingiza kwenye muhtasari huku akijua n mali ya marehemu(liko mahakaman)na ni kosa mojawapo la kutaka kutpanya mali za marehemu
Tunaomba uchunguzi wako kwa yoote hayo juu na kwa kuwa iko wazi cheti ch kifo kinatoka pale maarehemu alipofia tunaomba baada ya uchunguzi cheti hiki kiidhinishwe ni batili na kutohusika popote mpaka kitakapopatikana cheti halisi cha kifo cha marehemu mpendwa baba yao dar es salaa,m
tumeona kuweeka wazi kwa kuwa swala hili linajulikana sasa pale moshi na msimamizi ameoneakana mara kwa mara ofisi za moshi rita
Kama taasisi ya kusaidia wenye shida za mirathi hasa yatima na wajane tunaimani offisi yako italifanyia kazi kama maombi ya barua yatakayoletwa
ahsante
Nani alimchagua awe msimamizi ilihali watoto ni zaidi ya miaka 18? Au mwaka 2019 hawakuwa of age?kaka mkubwa na mdogo shida awakuwa na mahusiano mazuri pia
Kwanza kuna wanawake pia wana mali ila hawataki kurithisha.
La pili ukirithisha mapema unaweza kutangulizwa kwa Bwana kabla ya muda halali.
🤣🤣🤣🤣🤣Wachaga na kugombea urithi mnalitia taifa aibu,nyie mnachowaza ni hela tu,hapo watoto wengine wa marehemu wamekataliwa kisa mali,aibu sana 🤔