Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,265
- 4,735
Suma ndo naniSuma perished na vilivyo vyake aisee!!
Everyday is Saturday................................😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Suma ndo naniSuma perished na vilivyo vyake aisee!!
Everyday is Saturday................................😎
Typo. Nimesoma tatizo sijaitumia katika maisha yangu ya mtaani tangu nimemaliza chuo. To add, it was an elective course so i never gave a $#!+ about it.Agricultural Economics au Agriculture Economics? Sidhani kama ulisoma hiyo course
Mkuu marehemu alikua class mate wako.... Duh unaweza kumtukana baba yako humu kumbeRIP class mate Prof Poncian Damian Gabagambi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah! Kuna watu wametuzidi age humu , kumbe wazazi wetu .Mkuu marehemu alikua class mate wako.... Duh unaweza kumtukana baba yako humu kumbe
Muulize Mzee wako!Hilo shirika linahusu nini
Yani waliomfahamu marehemu wamemuongelea positively,Naona umeng'ang'ana na 'jamaa yako' ukidhani labda itakuwa ni code.
Sina uhakika wa mtu yeyote kuwa na ubongo.
Mkuu Mimi sikuwahi kumuona ila kumsikia tu.Yani waliomfahamu marehemu wamemuongelea positively,
ila wewe tu na hiyo stori yako ya kusikia(?)
Wewe na huyo jamaa yako,walewale tu!
Rest in peace waalimu wangu. Dr. Ashimogo mzee wa agricultural marketing, Mwaitulo na horticulture yake now Gabagambi mzee wa macro economics! Duh [emoji24][emoji24][emoji24]The late Ashimogo, Suma Mwaitulo, Gabagambi, Mafu, etc makes me cry
Yap, na ni mojawapo ya wahaya waliosoma lakini hawakuwa wanajisikia wala kupenda sifa!poleni sana familia ya gabagambi nilifahamina nao tokea alivyo kua sua moja ya wahaya clasic and educated
hahahaha eti vilaza. Yaani mpaka rahaYaani wewe kijana wa magufuli hujui NDC inashunghulika na nn daaa magufuli ana hasara sana kumbe mnaomzunguka ni vilaza kiasi hiki
Yaani usinikumbushe. Inauma sanaest in peace waalimu wangu. Dr. Ashimogo mzee wa agricultural marketing, Mwaitulo na horticulture yake now Gabagambi mzee wa macro economics! Duh [emoji24][emoji24][emoji24]
RIP prof ,mwalimu wangu wa Tumaini University, mstaarabu ,very social, humble, intelligent.MKURUGENZI wa Shirika la
Maendeleo la Taifa (NDC), Profesa
Damian Gabagambi amefariki dunia hospitali ya Taifa ya Muhimbili leo.
Awali kabla ya kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa NDC alikua Muadhiri,Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine(SUA).
Msiba upo nyumbani kwake Masaki
Mkuu ni vilaza sana hawa watuhahahaha eti vilaza. Yaani mpaka raha
Duniani tunapita!Yaani usinikumbushe. Inauma sana
Alikuwa amestaafu serikalini au alikuwa analecture hapo kituoni kwake SUA?RIP prof ,mwalimu wangu wa Tumaini University, mstaarabu ,very social, humble, intelligent.
Mkuu, Tumaini ya wapi? Isijekuwa ulikuwa class mate wangu kule kwa Wanyalu.RIP prof ,mwalimu wangu wa Tumaini University, mstaarabu ,very social, humble, intelligent.