Mkurugenzi wa shule ya UWCEA Moshi na viongozi wa mkoa wakanusha taarifa za kufungwa kwa shule hiyo

Wewe haupo Tanzania lakini ni kimbelembele tu na Covid-19 yako. Kwani watz hawajui kuwa kuna corona. Sisi tulishakubali kuishi nayo kama ilivyo kwa HIV na magonjwa mengine. Wewe endelea kubeba mabox huko Ulaya.
Wewe ndio nimekuelewa sio wale wanaosema haipo
 

huo ndio udikteta sasa jiwe amefika at a climax , kule congo waliamini Mobutu ameiloga nchi nzima kwa kuweka dawa kwenye ziwa, lakini hawakujua kwamba alikuwa mjanja anacheza na akili za watu tu nchi nzima inajaa majuha wanasema cha kumpendeza hata kama hakipo sawa
jiwe ameiga kila kitu kuanzia kutumbua, kuwafanya watu wantukuze, kupiga pesa peke yake , kujenga kwa nk role model wake ni Mobutu, hata wakati nchi ilikumbwa na ugonjwa yasemekana Mobutu alikimbilia kwenye boti jiwe naye anakimbilia kwao
 
Maelezo yanaonesha wanafunzi wa kutwa hawapo shuleni ni wanafunzi wa bweni ndio waliopo, isingewezekana kuwarudisha nyumbani siku hiyohiyo.

Kutueleza wanafunzi wako mesi wanakula pamoja na hakuna aliyevaa barakoa! Kuna mtu anaweza kula huku kavaa barakoa! Naona rojorojo zimejaa kwenye utetezi.
 
Wazee wa kujenga TAHARUKI.
sasa huyo mpwa wako kurudi nyumbani ndo Corona ipo kweli?
Ukweli ni kuwa Corona ipo hapo Moshi International School, na shule imefungwa. Kuna mpwa wangu anasoma kwenye hiyo shule na jana jioni amerejea Dar akitokea moshi.

Kilichofanyika ni funika Kombe ili mwanaharamu apite.
 
Wapumbavu kama wewe ni tatizo sana Nchini bora tu ndom ingetumika.



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…