Mkurugenzi wa shule ya UWCEA Moshi na viongozi wa mkoa wakanusha taarifa za kufungwa kwa shule hiyo

Mkurugenzi wa shule ya UWCEA Moshi na viongozi wa mkoa wakanusha taarifa za kufungwa kwa shule hiyo

Wewe haupo Tanzania lakini ni kimbelembele tu na Covid-19 yako. Kwani watz hawajui kuwa kuna corona. Sisi tulishakubali kuishi nayo kama ilivyo kwa HIV na magonjwa mengine. Wewe endelea kubeba mabox huko Ulaya.
Wewe ndio nimekuelewa sio wale wanaosema haipo
 
Nanukuu:"Kwenye chakula wamekaa pamoja na hakuna tuliyemuona amevaa barakoa"

Nashangaa sana,hivi inawezekana vipi kiongozi mmoja mwendawazimu na Juha ambae ameingia madarakani kwa kuiba kura afanye watu wote kuwa wajinga na wapumbavu?!Tanzania kuna kitu hakiko sawa!

huo ndio udikteta sasa jiwe amefika at a climax , kule congo waliamini Mobutu ameiloga nchi nzima kwa kuweka dawa kwenye ziwa, lakini hawakujua kwamba alikuwa mjanja anacheza na akili za watu tu nchi nzima inajaa majuha wanasema cha kumpendeza hata kama hakipo sawa
jiwe ameiga kila kitu kuanzia kutumbua, kuwafanya watu wantukuze, kupiga pesa peke yake , kujenga kwa nk role model wake ni Mobutu, hata wakati nchi ilikumbwa na ugonjwa yasemekana Mobutu alikimbilia kwenye boti jiwe naye anakimbilia kwao
 
Chukua tahadhari COVID19 ipo Tanzania na inaua haraka sana.

Askofu Amani awataka mapadri, watawa kuchukua tahadhari ya corona​

Thursday January 21 2021​

Askofu wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha, Isaac Amani ametoa waraka akiwataka waumini kuendelea kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa Covid-19 ikiwa ni pamoja na kunawa mikono kwa maelezo kuwa ugonjwa huo bado upo na unayasumbua mataifa mbalimbali duniani...
Maelezo yanaonesha wanafunzi wa kutwa hawapo shuleni ni wanafunzi wa bweni ndio waliopo, isingewezekana kuwarudisha nyumbani siku hiyohiyo.

Kutueleza wanafunzi wako mesi wanakula pamoja na hakuna aliyevaa barakoa! Kuna mtu anaweza kula huku kavaa barakoa! Naona rojorojo zimejaa kwenye utetezi.
 
Wazee wa kujenga TAHARUKI.
sasa huyo mpwa wako kurudi nyumbani ndo Corona ipo kweli?
Ukweli ni kuwa Corona ipo hapo Moshi International School, na shule imefungwa. Kuna mpwa wangu anasoma kwenye hiyo shule na jana jioni amerejea Dar akitokea moshi.

Kilichofanyika ni funika Kombe ili mwanaharamu apite.
 
Wapumbavu kama wewe ni tatizo sana Nchini bora tu ndom ingetumika.



Acha upumbavu wako

 
Back
Top Bottom