Mkurugenzi wa Temeke, Mwakabibi awasweka ndani waandishi wa habari ili wasihudhurie kikao chake na wafanyabiashara

Huyu dogo hajitambui kabisa. Hata wananchi wa Temeke hawawezi kufanya appointment kuonana nae. Makalani wake wanamlinda sana amekuwa Mungu mtu. Ana majivuno na kudharau wengine. Nadhani hata DC wa Temeke hamtaki aendelee pale. Gondwe ni mstaraabu na ni muelewa sana. Anaharibiwa na Risubilo Mwakabibi
 
Kwamba utawala wa mwendazake ilikua ni sawa kuwaweka watu ndani bila sababu?
 
Mama akishangaa atapandwa kichwani hyu huku tmk tunamwita kajimungu ndan ya muhimili uliojificha
 
Haya mabaki ya mwendazake ndio yatamuharibia Samia
Haya Ni Magugu Yaliyomea Na Ngano Sasa Ni Muda Wa Kuyang'oa Haraka Sana.
DC Asifumbie Macho Hilo Akumbuke Hilo Ni Bango Moja
😆😃😂😁😀😅🚮
 
Dr. Magufuli kaondoka nchi ishaanza kuchezewa na akina 'Unanijua Mimi Nani Nitakuweka Ndani'
 
Binadamu wa ajabu huyu anageuza ofisi ya uma kuwa mali yake binafsi,kulikuwa na haja gani ya kuwafukuza wanahabari wakati umetuhumiwa kutoa stakabadhi bandia?Haukuwa wakati muafaka kutoa ufafanuzi ili hata hao wanahabari unaowatuhumu kuandika uongo na kukusingizia waujue ukweli?Kuna jambo haliko sawa.Ama hujitambui,umeshindwa kusoma alama za nyakati au ulimbukeni cheo umekuzonga
 
waandishi wa Tanzania wanaongoza kwa habari za uongo
 
hawa ni wale remnants wa late president. watakiwa kuondolewa kabisa. SSH asipokuwa makin watamchafulia uongozi wake.
 
Huyu udaktari kaupata wapi? Tanzania kila mtu ni daktari?
 
Huyu mkurugenzi bado zile akili za kiburigi-burigi zimemganda kichwani.
 
Kama ni kweli na huyu jamaa akiendelea hivi, atarudishwa “field” aendelee na kazi yake ile nyingine. Zama zimebadilika.
Huyu ndugu sijui kama atatoboa, kama kumbukumbu zangu zipo sawa kama siyo mwaka huu ni last year mwishoni alimjibu vibaya mwandishi wa aitivi
Ukiona wanakuwa na uadui na vyombo vya Habari basi ujue kuna uozo wanaouficha na ni Wezi wa Mali za Umma
Dr. Magufuli kaondoka nchi ishaanza kuchezewa na akina 'Unanijua Mimi Nani Nitakuweka Ndani'
Huyu mkurugenzi alishawahi sababisha kifo cha mkuu wa shule,he is not a good person at all,hayo anayofanya ndo kariba yake huyo.Hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yake,by the way he is walking at the edge of thim.
 
Mwite Mtukufu Mwakabibi , alinunua gari kwa zaidi ya mil 470 Jiwe akaufyata kudadeki !
 
Aisee kumbe anamajanga mengi
 
Nataka kujua nini yule dk uchwara abbas atafanya
 
Tusubiri Mjazake atafanyaje
 
Kumekucha ..unanijua mimi nani imerudi tena?subiri mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya mwenye mamlaka amweke naye ndani.mkurugenzi anapata wapi mmlaka hiyo?
 
Lusubilo Mwakabibi kafanya haya kweliii !! My former boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…