rushanju
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 3,238
- 5,106
Huyu dogo hajitambui kabisa. Hata wananchi wa Temeke hawawezi kufanya appointment kuonana nae. Makalani wake wanamlinda sana amekuwa Mungu mtu. Ana majivuno na kudharau wengine. Nadhani hata DC wa Temeke hamtaki aendelee pale. Gondwe ni mstaraabu na ni muelewa sana. Anaharibiwa na Risubilo Mwakabibi