Kwani huyo Mkurugenzi alitaja jina?.Unajuaje kama alimaanisha Lissu au Hashimu Rungwe!Wakuu, huyu Mkurugenzi wa tume Ya Uchaguzi nilimsikiliza Lakini nikasikitika alipowashawishi wananchi wamchague rais ambae anatetea maslahi Ya nchi nikashangaa Sana kuwa huyu anatumia nini kufikiri? Haya majitu yamepora hii nchi, ulisikia wapi Mkurugenzi wa Uchaguzi anapiga kampeni?...
Mtu aliyeahidi uongo wa sh 50m/- kila kijiji nae aitwe maana akiulizwa wanasema anatukanwaMkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC, amesema watanzania wanataka Afya iliyoimarika, barabara nzuri, miradi ya umeme, elimu bora hawataki blah! Blah!
Amesema watanzania hawataki viongozi watakaochukua madini yao na kwenda kuyauza kwa wageni nje, watanzania wanataka viongozi watakaotetea madini yao...
Nyie tunaenda kuwarudisheni huko Burundi mtarud tu subirini, mmekuja kuharibu nchi hiii subiriniKwani huyo Mkurugenzi alitaja jina?.Unajuaje kama alimaanisha Lissu au Hashimu Rungwe!
Hilo lijitu hapo kushoto ni la kudhibiti haswa lione tu.tumeCCM, mwaka huu hapatatosha!View attachment 1583177
Robert Amsterdam kusanya details mzee, Mungu anawachapa mmoja mmoja sasa wanaanza kuropoka maneno pasipo takiwa - Refa anapogeuka kocha!!Kwani huyo mkurugenzi anagombea urais kupitia chama gani? Watanzania tuna masikio, hayo matusi ya Lissu anasikia peke yake tu?
Mfamaji haishi kutapatapaKwani wakina mwigulu, Nape, Wasira na wakina Mwakyembe wakati wakimtukana na kumpaka matope Lowassa 2015 tume ilikuwa haijui wanatakaiwa kuomba kura na sio matusi jukwaani
Hizi story zakizamani sana Mkuu,mwaka fulani ndio mwaka gani? leta habari inayojitosheleza tuitafute hiyo mechi,hizo ni story za enzi zile Dunia ilikua haijapiga hatua kubwa kwenye teknolijia ya mawasiliano.Hii inanikumbusha mwaka flan simba ilipoenda kucheza misri na Zamaleki,baada ya warabu kubanwa,hatimae wakapata goli,refa akaruka kuonyesha ishara ya kufurahia simba kufungwa.
NEC CCM ktk ubora wakeMkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC, amesema watanzania wanataka Afya iliyoimarika, barabara nzuri, miradi ya umeme, elimu bora hawataki blah! Blah!...
Tatizo ni kuwa hata watakayemtangaza ni huyo aliyewachagua. Ndio maana anaimba mashairi yake.Mimi nasema mtu neutral anatakiwa azungumzie kanuni na taratibu za uchaguzi Kuhusu sera na madini. Barabara n.k sio jambo la busaara kulizungumzia Yeye abakie kua ni refa au muamuzi...
Ameamua kuanza Kumsaidia yule aliyemteua .................!!Kwani huyo mkurugenzi anagombea urais kupitia chama gani? Watanzania tuna masikio, hayo matusi ya Lissu anasikia peke yake tu?