Uchaguzi 2020 Mkurugenzi wa Uchaguzi NEC: Watanzania hawataki mtu atakayeuza madini yao kwa wageni nje

Mkurugenzi waTume ya uchaguzi hawezi kutusemea watanzania, eti Watanzania hawamtaki mtu atakayeuza madini yetu nje...... alikutana wapi na hao Watanzania?

Si ndio hapo sasa, kwani mpaka sasa yanauzwa wapi kama sio nje. Amepanick mpaka anajichanganya. Hiki kikao cha hizi siku mbili, naona Magufuli kawatishia ile mbaya, ndio maana Polepole na yeye jana katokea anaongea kwa jazba ile mbaya.
 
[emoji1][emoji1] hata wakati wa ukoloni hatukua na tume ya hovyo kiasi hiki.

Tatizo la mahera ni ushamba..
 
Angejua huu ni ushahidi tosha ICC
 
Hadi hapa wameshanonyesha wanampango wa kuiba.
Mungu wangu sio kwa kujisahau huku ...hii evidence mambo yakienda vibaya itamuweka pabaya mno...
Bila kutaraji kajionesha rangi zake halisi
 
Wameshapoteana.
 
Inaonekana naye aliitwa dodoma akafokewa
Tunaposema Lissu ni hatari ndio muelewe. Mkurugenzi wa uchaguzi kachanganyikiwa na kuanza kunadi sera kama kichaa. Sasa kama kibaraka hofu yake ni dhahiri namna hii ‘bosi’ wake ana hali gani?

Hii sio aibu, ni fedheha!
 
ICC list

1. Bashiru
2. Polepole
3. Mahera
4. ...
 
Mahera Ni kilaza Sana yaani ajui hata Sasa yanauzwa kwa wageni. Apande jukwaani aokoe jahazi. Lisu bado anapiga Kanda ya ziwa ngome yao ndo wamepoteana hivi vipi akishuka huku waliozulumiwa korosho zao je si kibetrii kitakata Moto.
 
Mwenyekiti wa Tume kaonyesha rangi zake mapema.

Hii ni hatari sana kwa mustakabari wa nchi yetu.

Mwenyekiti kashindwa kuficha hisia zake na kujipambanua kuwa yuko upande wa chama chakavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…