Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Kaimu Mkurugenzi wa kampuni inayoshughulikia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KADCO) Mhandisi Christopher Ande Mukoma amefariki dunia mapema asubuhi ya leo.
Taarifa kutoka kwa Uongozi wa uwanja wa ndege wa KIA zimeeleza Mhandisi Mukoma amefariki dunia kutokana na ugonjwa wa shinikizo la damu akiwa nyumbani kwake mkoani Arusha.
RIP Eng uliupaisha uwanja wa ndege KIA uongozi wako utakumbukwa na kuenziwa
Taarifa kutoka kwa Uongozi wa uwanja wa ndege wa KIA zimeeleza Mhandisi Mukoma amefariki dunia kutokana na ugonjwa wa shinikizo la damu akiwa nyumbani kwake mkoani Arusha.
RIP Eng uliupaisha uwanja wa ndege KIA uongozi wako utakumbukwa na kuenziwa