Masi Lambo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2020
- 532
- 360
Kwanini mnaficha vifo vya korona, imekuwa siasa sasa.Wakuu aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu KIA Eng Mukoma kafariki leo asubuhi.
Eng Mukoma alitotokea Dodoma kwa I majukumu alisumbuliwa na homa ,kikohozi na mafuta ya hapa na pale
RIP Eng uliupaisha uwanja wa ndege KIA uongozi wako utakumbukwa na kuenziwa