Dodoma inaipiku Dsm kwa kasi........Watige Pandemiki Senta!Hongera wabunge wa Chadema kuji lockdown. Huyu kashba corona amelamba Engineer this time. RIP Engineer Mukoma.
Inaipiku kwa nini bwashehDodoma inaipiku Dsm kwa kasi........Watige Pandemiki Senta!
Ndg zako waoga sn wakijigungia ss madaktari tufanyeje ss wapumbavu sana hawa chadema wakaongoze maiti si binadamu tenaHongera wabunge wa Chadema kuji lockdown. Huyu kashba corona amelamba Engineer this time. RIP Engineer Mukoma.
Kwa " kutangulia"
Bwashee wewe uko kwenye viunga vya bunge?Ndg zako waoga sn wakijigungia ss madaktari tufanyeje ss wapumbavu sana hawa chadema wakaongoze maiti si binadamu tena
Akili ni nywele!bora yake aliekimbilia kijijini
Rip Eng. Mukoma. Pole sana kwa familia na jamii ya KIA kwa ujumla.Wakuu aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu KIA Eng Mukoma kafariki leo asubuhi.
Eng Mukoma alitotokea Dodoma kwa I majukumu alisumbuliwa na homa ,kikohozi na mafuta ya hapa na pale
RIP Eng uliupaisha uwanja wa ndege KIA uongozi wako utakumbukwa na kuenziwa
Makaazi yake rasmi ni Jijini Arusha.Wafanyakazi wa KADCO muda huu ni vilio,kuzimia hovyo,kutapika yaani ni shida juu ya shida.Huyu mkoma alikuwa akiishi Kongwa mlali? au ni mwingine mkuu
Hali ni tete!Makaazi yake rasmi ni Jijini Arusha.Wafanyakazi wa KADCO muda huu ni vilio,kuzimia hovyo,kutapika yaani ni shida juu ya shida.
Tangu arejee kutoka Dodoma kama siku nne au tano zilizopita hakuwa katika hali nzuri mafua na kikohozi vilimwandama sana.Fikiria kuanzia secretary,Wakurugenzi wenzake finance technical ... Wahasibu,maafisa ugavi security ........ Wote kwa nyakati tofauti tofauti walikaribiana na Mkuu 😷.