TANZIA Mkurugenzi wa Uwanja wa Ndege Kilimanjaro, Mhandisi Christopher Mukoma afariki dunia

nafikiri comments zangu nilizoandika kwamba walioruhusu ndege kuingiza wageni kutoka maeneo hatarishi inaeleweka sasa

😎 😎 😎 😷 😷 😷
 
Wakuu aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu KIA Eng Mukoma kafariki leo asubuhi.

Eng Mukoma alitotokea Dodoma kwa I majukumu alisumbuliwa na homa ,kikohozi na mafuta ya hapa na pale

RIP Eng uliupaisha uwanja wa ndege KIA uongozi wako utakumbukwa na kuenziwa
Tuache sifa za kijinga jamani..
 
Magufuli ana dawa ila kaficha si ndio?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
its hectic! Apumzike kwa Amani
 
Total confusion
 
rip
 
DODOMA ni mahali hatari sana kwa sasa, bora hata DAR.
Wale wadada utamu wa usiku bado wapo Dodoma? Kila mara bunge likiwa in session huwa wanaongezeka hebu niangalizieni kama bado wapo ili kesho nikienda Mwanza nilale hapo. Je zile bar pendwa zipo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…