Wewe mjinga wa mwisho hata Magu akiona comment yako hii atakudharau sanaWe mjinga nn corona imeletwa na Magu....
mtangoja sana na mtakufa kwa husuda aliyepewa kapewa....
Tuache sifa za kijinga jamani..Wakuu aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu KIA Eng Mukoma kafariki leo asubuhi.
Eng Mukoma alitotokea Dodoma kwa I majukumu alisumbuliwa na homa ,kikohozi na mafuta ya hapa na pale
RIP Eng uliupaisha uwanja wa ndege KIA uongozi wako utakumbukwa na kuenziwa
Unapenda sana habari hizi wewebora yake aliekimbilia kijijini
Tuache sifa za kijinga jamani..
Ha haa umechanganyikiwa!!?Wewe mjinga wa mwisho hata Magu akiona comment yako hii atakudharau sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi simjui huyu jamaa kwa sasa alikuwa na cheo gani but kama alikufa akiwa na mawe 3 basi tunamwita ASP (Mrakibu Msaidizi wa Polisi)
Hhahahaahah
Magufuli ana dawa ila kaficha si ndio?Magufuli anatupeleka wapi jamani ?Kwa akili ya kawaida tu huyu Magufuli hatufai. Jamani October 2020 tusikubali. Kura ziwe against Magufuli no matter what. CCM mcheze karata yenu pale akijivua urais na uenyekiti na mchague mwenyekiti mwingine. It is possible bwana. R.I.P marehemu.
its hectic! Apumzike kwa AmaniMakaazi yake rasmi ni Jijini Arusha.Wafanyakazi wa KADCO muda huu ni vilio,kuzimia hovyo,kutapika yaani ni shida juu ya shida.
Tangu arejee kutoka Dodoma kama siku nne au tano zilizopita hakuwa katika hali nzuri mafua na kikohozi vilimwandama sana.Fikiria kuanzia secretary,Wakurugenzi wenzake finance technical ... Wahasibu,maafisa ugavi security ........ Wote kwa nyakati tofauti tofauti walikaribiana na Mkuu [emoji40].
Total confusionNilisema,baada ya hotuba ya mwisho ya Rais tutaambukizana sana!Kwanza hakuna anayekubali kwenda kupimwa akiona dalili za Covid maana anajua majibu si ya uhakika kulingana na JPM alivyosema!
Nasilitika sana kuona mtu anacheza na maisha yetu hivi hivi!
😀😀Huyu ndio alikuwa aanawaruhusu wachina anasema ni ndugu zetu
ripKaimu Mkurugenzi wa kampuni inayoshughulikia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KADCO) Mhandisi Christopher Ande Mukoma amefariki dunia mapema asubuhi ya leo.
Taarifa kutoka kwa Uongozi wa uwanja wa ndege wa KIA zimeeleza Mhandisi Mukoma amefariki dunia kutokana na ugonjwa wa shinikizo la damu akiwa nyumbani kwake mkoani Arusha.
RIP Eng uliupaisha uwanja wa ndege KIA uongozi wako utakumbukwa na kuenziwa
Ata wewe hujuwi kesho yako tuombe Mungu atunusuru jambo Mambo yame shakuwa out of control !Jamaa wanachomoka sana.
Wale wadada utamu wa usiku bado wapo Dodoma? Kila mara bunge likiwa in session huwa wanaongezeka hebu niangalizieni kama bado wapo ili kesho nikienda Mwanza nilale hapo. Je zile bar pendwa zipo?DODOMA ni mahali hatari sana kwa sasa, bora hata DAR.
Tangu nipate akili sijawahi kusikia misiba ya viongozi ikiongozana kwa namna hii, may be social media huko nyuma hazikuwepo kwa upana zaidi