LGE2024 Mkurugenzi wa Wilaya ya Serengeti, Dkt. Maulid Madeni: Wagombea wa CHADEMA walioenguliwa hawakujiandikisha kupiga kura

LGE2024 Mkurugenzi wa Wilaya ya Serengeti, Dkt. Maulid Madeni: Wagombea wa CHADEMA walioenguliwa hawakujiandikisha kupiga kura

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kweli kabisa au kama kipindi kile watu awajuii kusaini au kuandika majina
 
Yaani mtu apange kugombea bila kujiandikisha Ina make sense kweli.

Kuwaengua wagombea ni mbinu za kizamani, kikoloni ,kishamba,

Sasa kama mnataka watu wote wa CcM wake viongozi uchaguzi mnaitaga wa nini. Mna akili kweli nyie.

Mambo ya kipumbavu

Nchi Ina Vituko hii!!!
nikama Lissu makamu mwenyekiti na mwanasheria wa chama hajajiandikisha sembuse wanachama wa huko uswekeni, nilishasema hawa jamaa wapuuzi mno
 
Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia kwa Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na mambo ya nje hapo jana, kudai kuwa baadhi ya wagombea wa Chama hicho kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wameenguliwa bila sababu za Msingi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi huo.

Moja ya eneo ambalo Chadema walidai wagombea wao kuenguliwa bila ya sababu za Msingi, ni Wilaya ya Serengeti Mkoani Mara na baadhi ya Wilaya za Mkoa wa Simiyu.

Mkurugenzi wa Wilaya ya Serengeti Dkt. Maulid Seleiman Madeni Leo amejitokeza mbele ya waandishi wa Habari na kutolea ufafanunuzi Masai ya Chadema.

Moja ya sababu ambayo Mkurugenzi huyo ametaja, ni baadhi ya wagombea wa Chama hicho ambao walienguliwa walishindwa kukidhi vigezo ikiwemo kutojiandikisha katika Daftari la mkazi la wapiga kura.

" Moja ya sababu ya baadhi ya wagombea wa Chadema kuenguliwa, ni kwamba hawakujiandikisha kwenye Daftari la mkazi la wapiga kura, Chadema lazima wajue sababu za kwa nini watu wao wameenguliwa, wanatakiwa kuwa wanawafundisha kabla ya kuchukua fomu ili wasiharibu"
View attachment 3147968
Huyu DED angebaki kimya aache kuchefua watu kwa kuonhea utumbo, kwani hizo fomu ni mtihani wa mchujo au ni kwa ajili ya kupata particulars za mgombea!

Hao ccm walisomea shule IPI hadi nchi nzima 100% hakuna aliye enguliwa!?

Hao chadema au vyama vya upinzani walishindwa kusomea wapi ambako ccm walisomea ujazaji wa fomu za kugombea!?

Busara ilikua DED abaki kimya yeye kama MTU msomi wa ngazi ya PhD maana naona anaitwa Dr alipaswa abaki na masikitiko kwa kushiriki katika udhalimu kwa njia za kihuni na za kitoto. Kwanza kama msimamizi wa uchaguzi alitakiwa awaelekeze wasimamizi chini yake wawasaidie wagombea kujaza vizuri fomu zao, hao watendaji wa vijiji kazi yao sio kusahihisha mitihani ,fomu sio mitihani ya kidato cha NNE hiyo, ni fomu kuonyesha utambulisho wa mgombea basi.

Ccm na serikali yenu MNA laana ninyi, halafu watu wana leta mapingizi Ofisi za umma mmefunga mko kunywa pombe inasikitisha zana
 
" Moja ya sababu ya baadhi ya wagombea wa Chadema kuenguliwa, ni kwamba hawakujiandikisha kwenye Daftari la mkazi la wapiga kura, Chadema lazima wajue sababu za kwa nini watu wao wameenguliwa, wanatakiwa kuwa wanawafundisha kabla ya kuchukua fomu ili wasiharibu"
Chadema wanatoa taarifa za kuchanganya mno kuhusu ushiriki wao kwenye uchaguzi. Mara waseme wanasusia, mara wanasema wanashiri; hivi kwa nini wasiwe na na kauli moja iliyo straight forward? Inawezekana wanawachanga watu wao.
 
Wakati sehemu zingine kuna majina ya marehemu au wanainchi ambao hawapo kabisa eneo husika.
 
Wakati sehemu zingine kuna majina ya marehemu au wanainchi ambao hawapo kabisa eneo husika.
 
Njaa mbaya. Huyu alikuwa mkurugenzi wa maendeleo wa mkoa wa Arusha akatifuana na Mrisho Gumbo akatemwa. Kumbe amekubali kuwa mkurugenzi wa wilaya. Kama angekuwa daktari wa kweli, angeachana na demotion hii. Hata hivyo simshangai kwa vile ni chawa kama Makonda na wengine wanamuabudu Mungu mama.
 
Chadema wanatoa taarifa za kuchanganya mno kuhusu ushiriki wao kwenye uchaguzi. Mara waseme wanasusia, mara wanasema wanashiri; hivi kwa nini wasiwe na na kauli moja iliyo straight forward? Inawezekana wanawachanga watu wao.
Utakuwa hovyo kichwani mwako!
 
Soma la ujazaji wa fomu za kugombea linafundishwa chuo Gani.
Mbona CCM wao, wanafaulu 100%
 
Refa wao, mpira wao, uwanja wao...
Ni mtu mpumbavu pekee anae weza ingiza timu uwanjani.
 
Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia kwa Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na mambo ya nje hapo jana, kudai kuwa baadhi ya wagombea wa Chama hicho kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wameenguliwa bila sababu za Msingi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi huo.

Moja ya eneo ambalo Chadema walidai wagombea wao kuenguliwa bila ya sababu za Msingi, ni Wilaya ya Serengeti Mkoani Mara na baadhi ya Wilaya za Mkoa wa Simiyu.

Mkurugenzi wa Wilaya ya Serengeti Dkt. Maulid Seleiman Madeni Leo amejitokeza mbele ya waandishi wa Habari na kutolea ufafanunuzi Masai ya Chadema.

Moja ya sababu ambayo Mkurugenzi huyo ametaja, ni baadhi ya wagombea wa Chama hicho ambao walienguliwa walishindwa kukidhi vigezo ikiwemo kutojiandikisha katika Daftari la mkazi la wapiga kura.

" Moja ya sababu ya baadhi ya wagombea wa Chadema kuenguliwa, ni kwamba hawakujiandikisha kwenye Daftari la mkazi la wapiga kura, Chadema lazima wajue sababu za kwa nini watu wao wameenguliwa, wanatakiwa kuwa wanawafundisha kabla ya kuchukua fomu ili wasiharibu"
View attachment 3147968
Mkuu, wasimamizi, kwa maana ya kusimamia uchaguzi, wengi wao wahajui maana na wajibu wao katika shughuli hiyo. Wasimamizi, pamoja na shughuli zingine wanapaswa kuwa elimisha wagombea kujua na kufuata taratibu za kushiriki kugombea nafasi kwenye chaguzi husika kwa mujibu wa taratibu. Ni jukumu la Msimamizi kumsaidia mshiriki wa uchaguzi kurekebisha mapungufu madogomadogo ambayo haya athiri utaratibu wa uchaguzi husika na hivyo kupelekea mshiriki kuto shiriki uchaguzi.
Tafiti zinaonyesha kuwa wengi wa wagombea walio ondolewa kwenye kinyang'anyiro ni wale wanao kubalika kwenye eneo husika;
 
Pul
Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia kwa Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na mambo ya nje hapo jana, kudai kuwa baadhi ya wagombea wa Chama hicho kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wameenguliwa bila sababu za Msingi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi huo.

Moja ya eneo ambalo Chadema walidai wagombea wao kuenguliwa bila ya sababu za Msingi, ni Wilaya ya Serengeti Mkoani Mara na baadhi ya Wilaya za Mkoa wa Simiyu.

Mkurugenzi wa Wilaya ya Serengeti Dkt. Maulid Seleiman Madeni Leo amejitokeza mbele ya waandishi wa Habari na kutolea ufafanunuzi Masai ya Chadema.

Moja ya sababu ambayo Mkurugenzi huyo ametaja, ni baadhi ya wagombea wa Chama hicho ambao walienguliwa walishindwa kukidhi vigezo ikiwemo kutojiandikisha katika Daftari la mkazi la wapiga kura.

" Moja ya sababu ya baadhi ya wagombea wa Chadema kuenguliwa, ni kwamba hawakujiandikisha kwenye Daftari la mkazi la wapiga kura, Chadema lazima wajue sababu za kwa nini watu wao wameenguliwa, wanatakiwa kuwa wanawafundisha kabla ya kuchukua fomu ili wasiharibu"
View attachment 3147968
Pumbavuuu! Maelezo meeengi huku yanaona aibu hata kuangalia watu! Shenzi type kabisa!
 
Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia kwa Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na mambo ya nje hapo jana, kudai kuwa baadhi ya wagombea wa Chama hicho kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wameenguliwa bila sababu za Msingi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi huo.

Moja ya eneo ambalo Chadema walidai wagombea wao kuenguliwa bila ya sababu za Msingi, ni Wilaya ya Serengeti Mkoani Mara na baadhi ya Wilaya za Mkoa wa Simiyu.

Mkurugenzi wa Wilaya ya Serengeti Dkt. Maulid Seleiman Madeni Leo amejitokeza mbele ya waandishi wa Habari na kutolea ufafanunuzi Masai ya Chadema.

Moja ya sababu ambayo Mkurugenzi huyo ametaja, ni baadhi ya wagombea wa Chama hicho ambao walienguliwa walishindwa kukidhi vigezo ikiwemo kutojiandikisha katika Daftari la mkazi la wapiga kura.

" Moja ya sababu ya baadhi ya wagombea wa Chadema kuenguliwa, ni kwamba hawakujiandikisha kwenye Daftari la mkazi la wapiga kura, Chadema lazima wajue sababu za kwa nini watu wao wameenguliwa, wanatakiwa kuwa wanawafundisha kabla ya kuchukua fomu ili wasiharibu"
View attachment 3147968
Pumbavuuu! Maelezo meeengi huku yanaona aibu hata kuangalia watu! Shenzi type kabisa!
 
Back
Top Bottom