Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
DED mjinga sn anachezea amani ya nchi kipumbavu haswa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafanya makusudi ni UVCCMMwenye contact za huyo MADENI amtumie hii, maana kwenye clip anataja vigezo feki
Anawachukulia wanasiringiti kuwa mazombiee amaa?Mwenye contact za huyo MADENI amtumie hii, maana kwenye clip anataja vigezo feki
Atoe vitabu hadharani tuone akishindwa ni mambo yaleyale ya ushindi wa bila ushindani.Wagombea wanasemaje kuhusu kutojiandikisha? Je ni kweli?
Wagombea wenyewe SI wanajua kama wamejihandisja ama laah watuambie.Atoe vitabu hadharani tuone akishindwa ni mambo yaleyale ya ushindi wa bila ushindani.
Soma hiyooo[]】】Wagombea wenyewe SI wanajua kama wamejihandisja ama laah watuambie.
Mm nataka niwasikie kuhusu hilo la kujiandishaSoma hiyooo[]】】View attachment 3147944
Walete vitabu vya vituo ambavyo walioenguliwa ni wakaazi.Mm nataka niwasikie kuhusu hilo la kujiandisha
Tena ya kizamani sana.marehemu waliandikishwa musoma na kwa tume hawakuona Kama ni shidaYaani mtu apange kugombea bila kujiandikisha Ina make sense kweli.
Kuwaengua wagombea ni mbinu za kizamani, kikoloni ,kishamba,
Sasa kama mnataka watu wote wa CcM wake viongozi uchaguzi mnaitaga wa nini. Mna akili kweli nyie.
Mambo ya kipumbavu
Nchi Ina Vituko hii!!!
Utosikia kuojiwa kamwe. Na hakuna mgombea asiyejiandikisha mbinu za kufilisika kifikra ndiyo wanazotumia tumeccmWagombea wanasemaje kuhusu kutojiandikisha? Je ni kweli?
Fear of unknown.Kwani kwenye kanuni kuna kipengele kinacho sema ili uwanie nafasi ya uongozi ni lazima uwe ume jiandikisha kupiga kura?
Huwa najiuliza kwanini Ccm wana itisha uchaguzi wakati hawako tayari kushindana. Huu ni uhujumu uchumi.
Waambie waendelee kufurahia ushindi wa aina hizo kila uchao na kamwe wasikumbuke hii dunia ni ya Mungu.CCM Na Figisu Kila Uchaguzi
Kujiandikisha siyo sifa ya mgombea kikubwa awe mkazi wa hilo eneo, kujiandikisha ni sifa ya mpiga kura.Hivi kwenye kanuni za uchaguzi Kuna ulazima wa mgombea kujiandokisha? Yaani lazima awe amejiandikisha kupiga kura?
Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia kwa Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na mambo ya nje hapo jana, kudai kuwa baadhi ya wagombea wa Chama hicho kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wameenguliwa bila sababu za Msingi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi huo.
Moja ya eneo ambalo Chadema walidai wagombea wao kuenguliwa bila ya sababu za Msingi, ni Wilaya ya Serengeti Mkoani Mara na baadhi ya Wilaya za Mkoa wa Simiyu.
Mkurugenzi wa Wilaya ya Serengeti Dkt. Maulid Seleiman Madeni Leo amejitokeza mbele ya waandishi wa Habari na kutolea ufafanunuzi Masai ya Chadema.
Moja ya sababu ambayo Mkurugenzi huyo ametaja, ni baadhi ya wagombea wa Chama hicho ambao walienguliwa walishindwa kukidhi vigezo ikiwemo kutojiandikisha katika Daftari la mkazi la wapiga kura.
" Moja ya sababu ya baadhi ya wagombea wa Chadema kuenguliwa, ni kwamba hawakujiandikisha kwenye Daftari la mkazi la wapiga kura, Chadema lazima wajue sababu za kwa nini watu wao wameenguliwa, wanatakiwa kuwa wanawafundisha kabla ya kuchukua fomu ili wasiharibu"
Msikilize DED Serengeti kupitia Global tv.👇👇
View: https://youtu.be/afXE40-8t00?si=INPNDO5CVF-Vqdxh
Nchi haingozwi kwa sense wewe mpambavuHivi ht logic tu we si mpiga kura ugombee? Haimake sense
Hakuna hiyo sifa kabisa mkurugenzi msenge sana huyoWagombea wenyewe SI wanajua kama wamejihandisja ama laah watuambie.
Naunga mkono hojaHakuna hiyo sifa kabisa mkurugenzi msenge sana huyo
Ametaja ni sheria namba ngapi inayolazimisha mgombea kujiandikisha?Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia kwa Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na mambo ya nje hapo jana, kudai kuwa baadhi ya wagombea wa Chama hicho kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wameenguliwa bila sababu za Msingi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi huo.
Moja ya eneo ambalo Chadema walidai wagombea wao kuenguliwa bila ya sababu za Msingi, ni Wilaya ya Serengeti Mkoani Mara na baadhi ya Wilaya za Mkoa wa Simiyu.
Mkurugenzi wa Wilaya ya Serengeti Dkt. Maulid Seleiman Madeni Leo amejitokeza mbele ya waandishi wa Habari na kutolea ufafanunuzi Masai ya Chadema.
Moja ya sababu ambayo Mkurugenzi huyo ametaja, ni baadhi ya wagombea wa Chama hicho ambao walienguliwa walishindwa kukidhi vigezo ikiwemo kutojiandikisha katika Daftari la mkazi la wapiga kura.
" Moja ya sababu ya baadhi ya wagombea wa Chadema kuenguliwa, ni kwamba hawakujiandikisha kwenye Daftari la mkazi la wapiga kura, Chadema lazima wajue sababu za kwa nini watu wao wameenguliwa, wanatakiwa kuwa wanawafundisha kabla ya kuchukua fomu ili wasiharibu"
View attachment 3147968