Mkutano mkubwa injili kutoka kwa Mhubiri Maarufu wa Kenya Nabii Ezekiel Odero uliokuwa ukiendelea wapigwa stop na Serikali

Tatizo mmeshindwa kujenga matundu ya vyoo vya shule, ndio maana Nabii ameamua kutoa msaada, badala ya kumshukuru mnauzuia mkutano wake kwa hila.
 
kwa hiyo hekima na busara ni kuutawanya kwa mabomu ya machozi?8
 
kwa hiyo hekima na busara ni kuutawanya kwa mabomu ya machozi?8
huoni kuwa ni vibaya kuvamia mkutano na kuanza kutoa zuio kiholela? Nimekuambia bora polisi na mabomu yao ya machozi, wale tunajua ni wazee wa kuvamia na kufanya yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…