ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kwa hizi akili mtaendelea kupigwa sana, mchezaji anaweza ku sign mikataba miwili at once? au una maanisha alienda China kwa mkopo?Kitu ambacho hamjui ni kwamba Manzoki ana mkataba na Simba hata kabla hajaenda China. Dirisha hili dogo waliacha kumsajili kwa kuwa angekaa tu akitibiwa maana ni majeruhi atakayekaa nje kwa miezi kadhaa. Kwa hiyo Manzoki yupo pale akiutumikia mkataba wake, sio kwamba walishindwa kumsajili
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana, hapa tunajadili mambo ya Simba na si ya Utopollo.Leta matumizi na mapato ya Utopolo tokea GSM waichukue?Mapato ya jezi,wadhamini, bonasi,usajili na matumizi mengine.
Ndio utajua hujui.Timu imepokwa na GSM. Hersi yupo pale kulinda maslahi ya GSM. Amekuwa mwanachama wa Yanga miaka mingapi mpaka akateuliwa kuwa Rais wa Yanga bila mpinzani?Toa boriti kwenye jicho lako kabla ya kuona ubanzi kwenye jicho la mwenzako.
Na kibaya zaidi ndo ameshinda kuwa mwenyekiti wa klabu kwa kura za Mauanai
Ni Bajeti vs Actual, sasa actual unadhani watareport ya mwaka mzima? Hizo Actual za Jan-June 2023 wanazitoa wapi
Elimu Elimu Elimu😋😋Ni Bajeti vs Actual, sasa actual unadhani watareport ya mwaka mzima? Hizo Actual za Jan-June 2023 wanazitoa wapi?
Wewe unajadili mambo ya Simba kama nani?Mwanachama hai, mpenzi au nani?Mbona imekuuma nilipotaja Utopolo?Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana, hapa tunajadili mambo ya Simba na si ya Utopollo.
Mangungu unakiburi sana wewe mzeeWewe unajadili mambo ya Simba kama nani?Mwanachama hai, mpenzi au nani?Mbona imekuuma nilipotaja Utopolo?
Sasa inakuwaje? Tumwamini Mangungu?
Aisee.... Motivation hufanyika wakati wa kazi au hata baada. Pia kuna positive motivation na negative motivation. Kwa mfano zawadi ya mchezaji au kocha bora wa mwaka inatolewa kila mwezi kama positive motivation. Mchezaji kupewa adhabu kama kufungiwa au faini ni negative mitivation ambayo lengo lake ni kuzuia tabia kuenea au kujirudia.Motivation kwenye kazi yako?
Motivation huja baada ya Mafanikio