Mkutano Mkuu Simba

Mkutano Mkuu Simba

Hizi timu zetu zina uongo uongo mwingi.
Simba walitangaza kuwa watapokea 4.5bil kwa mwaka kutoka M-BET kama main sponsor, ajabu kwenye kusoma Mapato ya Mwaka 22/23 M-BET anatoa 2.5bil
Kwa hiyo mwaka umeisha tangia M Bet waingie mkataba na Simba?.

Au unadhani pesa zinatolewa tu kama unatoa pesa ya kununua maandazi?

Kuna kanuni za kihasibu zinazosimamia ulipaji wa pesa na pia mkataba wenyewe. Hizo hizo zinasimamia utoaji taarifa za kihasibu. Hizi kanuni rafiki hautakiwi kucheza nazo unakula miaka na ni kosa kisheria. Mpaka hapo taarifa ya Simba ipo sahihi kuhusu pesa ya M Bet

Mkataba ni kuwa kwa Mwaka watapokea 4.5B kwa mujibu wa ulichoandika. Mpaka hapo sina hakika muda wa mkataba ulioisha, lakini nahisi itakuwa imepita miezi 6. Hiyo 4.5B imegawanyika kulingana na mkataba kwamba Simba watapokea pesa kila mwezi au vinginevyo mpaka mwaka uishe itakuwa imelipwa yote.

Usitegemee mwanzoni tu au katikati ya mkataba M Bet atachota 4.5B na kwenda kuwapa Simba. Hauoni ataathiri financial position yake hasa upande wa liquidity au working capital.
 
Kitu ambacho hamjui ni kwamba Manzoki ana mkataba na Simba hata kabla hajaenda China. Dirisha hili dogo waliacha kumsajili kwa kuwa angekaa tu akitibiwa maana ni majeruhi atakayekaa nje kwa miezi kadhaa. Kwa hiyo Manzoki yupo pale akiutumikia mkataba wake, sio kwamba walishindwa kumsajili
Wewe ndio zaidi ya Mbumbumbu ata hujui una andika Nini. Manzoki hawezi kutumikia Mikataba miwili Kwa wakati mmoja.
Manzoki amesajiliwa China, kwasasa anajiuguza majeraha yake, Simba atakama walikua na pre contract imekufa Kwa kifo Cha Asili baada ya kusajiliwa China.
Mki mtaka Manzoki inabidi mvunje mkataba wake wasasa au msubilili uishe awe free agent.
 
Kwa hiyo mwaka umeisha tangia M Bet waingie mkataba na Simba?.

Au unadhani pesa zinatolewa tu kama unatoa pesa ya kununua maandazi?

Kuna kanuni za kihasibu zinazosimamia ulipaji wa pesa na pia mkataba wenyewe. Hizo hizo zinasimamia utoaji taarifa za kihasibu. Hizi kanuni rafiki hautakiwi kucheza nazo unakula miaka na ni kosa kisheria. Mpaka hapo taarifa ya Simba ipo sahihi kuhusu pesa ya M Bet

Mkataba ni kuwa kwa Mwaka watapokea 4.5B kwa mujibu wa ulichoandika. Mpaka hapo sina hakika muda wa mkataba ulioisha, lakini nahisi itakuwa imepita miezi 6. Hiyo 4.5B imegawanyika kulingana na mkataba kwamba Simba watapokea pesa kila mwezi au vinginevyo mpaka mwaka uishe itakuwa imelipwa yote.

Usitegemee mwanzoni tu au katikati ya mkataba M Bet atachota 4.5B na kwenda kuwapa Simba. Hauoni ataathiri financial position yake hasa upande wa liquidity au working capital.
Bill nakuonea huruma.Huwezi na rudia huwezi kumfundisha "fisi" kupanda mti.Ukimkuta juu ya mti basi kapandishwa. Unapoteza muda hao hawako kwenye wale wawili wenye akili timamu.Kuwaelewesha na wakaelewa ni kutaraji miujiza.
 
Ni makubaliano tu. Kambole na Yacouba kwa zaidi ya miezi mitatu wamekaa kambini Kigamboni wakiwa wana mkataba na Yanga ila hawachezi. Namna walivyokuwawanalipwa ni makubaliano na klabu yao
Hujajibu swali.
 
Hizi timu zetu zina uongo uongo mwingi.
Simba walitangaza kuwa watapokea 4.5bil kwa mwaka kutoka M-BET kama main sponsor, ajabu kwenye kusoma Mapato ya Mwaka 22/23 M-BET anatoa 2.5bil

Ilitamkwa kuwa Vunjabei kama Main KIT sponsor atatoa 1bil kwa Mwaka ila leo imesomwa kuwa Vunjabei atatoa 750Mil.

A One Bottlers, watengenezaji wa Mo Xtra wanatoa 150mil.

Emirate Aluminium 100

Iweje MO Xtra awekwe kifuani afu atoe hela ndogo?
Kwanini Asiwekwe Begani kama Emirates?

Wachezaji wanalipwa mishahara ila wameandikiwa Bonus ya 800mil, kuwa wanalipwa kila mechi wanayocheza, kuna umuhimu gani wa bonus wakati wachezaji wanajua majukumu yao?
Kwamba kila mechi 20mil

Kuwa Maji ya Kunywa kwa ajili ya Kambi zote ni 150mil

Azam TV wanalipa 2.5bil kwa ajili ya haki za Matangazo

Bodi ya Ligi itawalipa 400mil


Bajeti haijatimia sababu mapato ni machache hivyo MO ameahidi kuwapa 3.9bil

Servicebya gari 26mil


Maswali yangu

1. Kwanini Club iwalipe wachezaji kwa kufanya kazi wanayopaswa ifanya? Kwanini bonus isiwe kwenye kutimiza lengo fulani? Mf Kuchukua Ligi kuu, Bonus iwe 200mil, Kufika Robo Final 300mil, Kufika Nusu 400mil, Kufika Final 500mil, kuchukua Kombe 800mil.

Ukiangalia hapo Club itakuwa yatoa Bonus kwa mafinikio fulani na hata ikitokea Wamechukua kombe bado Club itatumia 1bil kama Bonus

2. Hiyo service ya 26mil ni service gani? Maana bus lafanyiwa service na Mdhamini wa bus.

3. Hayo maji ya zaidi ya 100mil ni maji gani?

4.Kwanini Simba isijenge hostel ili ikwepe kulipa hizo milioni 400 kila mwaka?

5. Allowance ya 100mil kwa wachezaji wanapo safiri, hii ni sawa ila audit yahitajika.

6. Usajili wa 2bil+ Huu usajili ndo huu huu au kuna mwingine?
Nakupata vyema bro ila kwenye suala la bonus hiyo ni muhimu sana wachezaji ni wafanya kazi kama wafanyakazi wengine bonus inawapa motisha kufanya vizuri zaidi hata makampuni ya kawaida huwapa employees bonus/ motisha hicho ni kitu Cha kawaida na 800M kwa idadi ya watu wale ni sawa na ukumbuke hii ni bajeti (expection not real consumption) huenda ikapungua pia.

Swala 2; kwenye bus service naungana na wewe otherwise labda mtu wa magari atupe clarification zaidi iwapo inaweza kufika 26M per year
 
Nimefuatilia kwa makini huu mkutano nikiwa kama mpenzi na mshabiki wa Simba nimeamini tunasafari ndefu sana kama nchi katika kila sekta mfano Taarifa ya mapato na Matumizi imesomwa lakini hamna hata mmja aliyeuliza swali..wagombea wote wamesema sera zao hamna ata 1 aliyezungumzia Bil 20 za Muwekezaji..Mo alionyesha Mfano wa Hundi na kusema ametoa na ziko Bank na Kuweka kama Tresury Bond..swali langu kama izo pesa ziko bank je zime mature mara ngap na Interest ya iyo pesa iko wapi? Na ni Bei gn kwa Mwezi Tunalipwa? Mbona hatujaskia katika taarifa ya Mapato na Matumizi juu ya faida ya Iyo pesa kuwekwa Bank?
Wewe ulikuwa wapi hadi hukuuliza swali hilo?
 
Nimefuatilia kwa makini huu mkutano nikiwa kama mpenzi na mshabiki wa Simba nimeamini tunasafari ndefu sana kama nchi katika kila sekta mfano Taarifa ya mapato na Matumizi imesomwa lakini hamna hata mmja aliyeuliza swali..wagombea wote wamesema sera zao hamna ata 1 aliyezungumzia Bil 20 za Muwekezaji..Mo alionyesha Mfano wa Hundi na kusema ametoa na ziko Bank na Kuweka kama Tresury Bond..swali langu kama izo pesa ziko bank je zime mature mara ngap na Interest ya iyo pesa iko wapi? Na ni Bei gn kwa Mwezi Tunalipwa? Mbona hatujaskia katika taarifa ya Mapato na Matumizi juu ya faida ya Iyo pesa kuwekwa Bank?
Hizi mambo ungeenda na sera hii unapunguza idadi ya kura hasa kutoka kwa chawa wanaomkubali mo
 
Wewe ndio zaidi ya Mbumbumbu ata hujui una andika Nini. Manzoki hawezi kutumikia Mikataba miwili Kwa wakati mmoja.
Manzoki amesajiliwa China, kwasasa anajiuguza majeraha yake, Simba atakama walikua na pre contract imekufa Kwa kifo Cha Asili baada ya kusajiliwa China.
Mki mtaka Manzoki inabidi mvunje mkataba wake wasasa au msubilili uishe awe free agent.
Daah kumuelewesha mbu3 ni kazi ngumu sana Mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ni zaidi ya mbu3
 
Bill nakuonea huruma.Huwezi na rudia huwezi kumfundisha "fisi" kupanda mti.Ukimkuta juu ya mti basi kapandishwa. Unapoteza muda hao hawako kwenye wale wawili wenye akili timamu.Kuwaelewesha na wakaelewa ni kutaraji miujiza.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😤😤😁😁😁😂😂 kweli hawa ni mafisi.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hizi timu zetu zina uongo uongo mwingi.
Simba walitangaza kuwa watapokea 4.5bil kwa mwaka kutoka M-BET kama main sponsor, ajabu kwenye kusoma Mapato ya Mwaka 22/23 M-BET anatoa 2.5bil

Ilitamkwa kuwa Vunjabei kama Main KIT sponsor atatoa 1bil kwa Mwaka ila leo imesomwa kuwa Vunjabei atatoa 750Mil.

A One Bottlers, watengenezaji wa Mo Xtra wanatoa 150mil.

Emirate Aluminium 100

Iweje MO Xtra awekwe kifuani afu atoe hela ndogo?
Kwanini Asiwekwe Begani kama Emirates?

Wachezaji wanalipwa mishahara ila wameandikiwa Bonus ya 800mil, kuwa wanalipwa kila mechi wanayocheza, kuna umuhimu gani wa bonus wakati wachezaji wanajua majukumu yao?
Kwamba kila mechi 20mil

Kuwa Maji ya Kunywa kwa ajili ya Kambi zote ni 150mil

Azam TV wanalipa 2.5bil kwa ajili ya haki za Matangazo

Bodi ya Ligi itawalipa 400mil


Bajeti haijatimia sababu mapato ni machache hivyo MO ameahidi kuwapa 3.9bil

Servicebya gari 26mil


Maswali yangu

1. Kwanini Club iwalipe wachezaji kwa kufanya kazi wanayopaswa ifanya? Kwanini bonus isiwe kwenye kutimiza lengo fulani? Mf Kuchukua Ligi kuu, Bonus iwe 200mil, Kufika Robo Final 300mil, Kufika Nusu 400mil, Kufika Final 500mil, kuchukua Kombe 800mil.

Ukiangalia hapo Club itakuwa yatoa Bonus kwa mafinikio fulani na hata ikitokea Wamechukua kombe bado Club itatumia 1bil kama Bonus

2. Hiyo service ya 26mil ni service gani? Maana bus lafanyiwa service na Mdhamini wa bus.

3. Hayo maji ya zaidi ya 100mil ni maji gani?

4.Kwanini Simba isijenge hostel ili ikwepe kulipa hizo milioni 400 kila mwaka?

5. Allowance ya 100mil kwa wachezaji wanapo safiri, hii ni sawa ila audit yahitajika.

6. Usajili wa 2bil+ Huu usajili ndo huu huu au kuna mwingine?
Haya yote umeandika sababu ya wivu tu!
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Nimesikiliza wagombea wakijinadi...hamna kitu pale wote hovyo kabisa.......kama sera ni kumfunga YANGA , basi Simba inapitia kipindi kibovu sana cha leadership.

Huenda kuna sababu ya Barbrah kujiweka kando.
Hamna vision za kisayansi kabisa...
 
Kitu ambacho hamjui ni kwamba Manzoki ana mkataba na Simba hata kabla hajaenda China. Dirisha hili dogo waliacha kumsajili kwa kuwa angekaa tu akitibiwa maana ni majeruhi atakayekaa nje kwa miezi kadhaa. Kwa hiyo Manzoki yupo pale akiutumikia mkataba wake, sio kwamba walishindwa kumsajili
Ila makolo kweli hamnazo

Kwahiyo Manzoki kaingia mkataba na Simba alafu kapangiwa kituo cha kazi China?

Mtu mmoja awe na mikataba miwili msimu mmoja?

Wakati mwingine hata kama hatujuani hebu ficheni ujuha basi
 
Kitu ambacho hamjui ni kwamba Manzoki ana mkataba na Simba hata kabla hajaenda China. Dirisha hili dogo waliacha kumsajili kwa kuwa angekaa tu akitibiwa maana ni majeruhi atakayekaa nje kwa miezi kadhaa. Kwa hiyo Manzoki yupo pale akiutumikia mkataba wake, sio kwamba walishindwa kumsajili
Duh! Rage aliona mbali sana, yaani timu inahitaji huduma ya mchezaji, inaingia naye mkataba kisha anaenda kusajiliwa china?
 
Msimamizi wa uchunguzi Manzoki bado tu hajatangaza matokeo?
 
Kitu ambacho hamjui ni kwamba Manzoki ana mkataba na Simba hata kabla hajaenda China. Dirisha hili dogo waliacha kumsajili kwa kuwa angekaa tu akitibiwa maana ni majeruhi atakayekaa nje kwa miezi kadhaa. Kwa hiyo Manzoki yupo pale akiutumikia mkataba wake, sio kwamba walishindwa kumsajili
umeandikika kimbumbumbu sAnA
 
Huyu mwenzetu anahitaji wahasibu waje wamweleweshe vizuri maana ya Financial Year 2022/2023.Inampa tabu kujua kuwa nusu ya hiyo Financial Year itacover July to December ya 2022.
Wee ushaambiwa kule utopolo wenye akili ni JK na Mzee manara tu
 
Leta matumizi na mapato ya Utopolo tokea GSM waichukue?Mapato ya jezi,wadhamini, bonasi,usajili na matumizi mengine.
Ndio utajua hujui.Timu imepokwa na GSM. Hersi yupo pale kulinda maslahi ya GSM. Amekuwa mwanachama wa Yanga miaka mingapi mpaka akateuliwa kuwa Rais wa Yanga bila mpinzani?Toa boriti kwenye jicho lako kabla ya kuona ubanzi kwenye jicho la mwenzako.
Ulisoma shule gani wewe? hii ni zaidi ya aibu
 
Back
Top Bottom