Uchaguzi 2020 Mkutano Mkuu wa CCM 2020 wamchagua John Magufuli kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Amteua Samia Suluhu kuwa Mgombea Mwenza

Uchaguzi 2020 Mkutano Mkuu wa CCM 2020 wamchagua John Magufuli kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Amteua Samia Suluhu kuwa Mgombea Mwenza

Anataja Sekta mbalimbali na mafanikio yake

Kuna jamaa anasema eti wajumbe wa Zanzibar walikuwa 35, na wa bara walikuwa 129, huku Mwinyi akipata 129. Je hiyo ni kuwa wazanzibari wanachaguliwa kiongozi na Tanganyika?
 
Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa unaofanyika kwa siku mbili kuanzia leo Jumamosi, Julai 11, 2020 jijini Dodoma, Wajumbe 1,846 wanatarajiwa kushiriki. Mkutano huo unongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli.

AJENDA:
1. Kufungua Mkutano

2. Marekebisho ya Katiba ya CCM ya Mwaka 1977, Toleo la 2017

3. Taarifa za Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2015-2020 za SMZ, SMT na CCM

4. Uteuzi wa Mgombea wa CCM wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

5. Kufunga Mkutano.

View attachment 1503538


UPDATES;

Mkutano Mkuu wa CCM unafanyika leo tarehe 11 Julai 2020 ukiwa na lengo kuu la kumpitisha mgombea wa Urais wa JMT.

Mkutano umehudhuriwa na wanachama 1,822 huku wanachama waliokosekana wakiwa 23 sawa na 1% hivyo uko sahihi kikatiba na ajenda zinaweza kujadiliwa.

View attachment 1503539
Namuona Dogo Janjaro hapo
 
Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa unaofanyika kwa siku mbili kuanzia leo Jumamosi, Julai 11, 2020 jijini Dodoma, Wajumbe 1,846 wanatarajiwa kushiriki. Mkutano huo unongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli.

AJENDA:
1. Kufungua Mkutano

2. Marekebisho ya Katiba ya CCM ya Mwaka 1977, Toleo la 2017

3. Taarifa za Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2015-2020 za SMZ, SMT na CCM

4. Uteuzi wa Mgombea wa CCM wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

5. Kufunga Mkutano.

View attachment 1503538


UPDATES;

Mkutano Mkuu wa CCM unafanyika leo tarehe 11 Julai 2020 ukiwa na lengo kuu la kumpitisha mgombea wa Urais wa JMT.

Mkutano umehudhuriwa na wanachama 1,822 huku wanachama waliokosekana wakiwa 23 sawa na 1% hivyo uko sahihi kikatiba na ajenda zinaweza kujadiliwa.

View attachment 1503539
Nilijua tu, kijana anaendana na spidi ya jpm.
 
Mngemruhusu na Membe naye achukue fomu ya kupitishwa kugombea huo Urais ndani ya chama chenu halafu matokeo ya kura nayo yangehesabiwa kwa uwazi kama yale ya Urais wa Zanzibar ningewasifu sana!

Nina imani ile jana, Mwenyekiti naye angejigeuza kuwa Jecha wa pili kwa aina ya matokeo ambayo angeyapata kutoka kwa wale Wajumbe waliokuwa wakimshangilia kinafiki.
Membe anachukua form upinzani.
 
Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa unaofanyika kwa siku mbili kuanzia leo Jumamosi, Julai 11, 2020 jijini Dodoma, Wajumbe 1,846 wanatarajiwa kushiriki. Mkutano huo unongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli.

AJENDA:
1. Kufungua Mkutano

2. Marekebisho ya Katiba ya CCM ya Mwaka 1977, Toleo la 2017

3. Taarifa za Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2015-2020 za SMZ, SMT na CCM

4. Uteuzi wa Mgombea wa CCM wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

5. Kufunga Mkutano.

View attachment 1503538


UPDATES;

Mkutano Mkuu wa CCM unafanyika leo tarehe 11 Julai 2020 ukiwa na lengo kuu la kumpitisha mgombea wa Urais wa JMT.

Mkutano umehudhuriwa na wanachama 1,822 huku wanachama waliokosekana wakiwa 23 sawa na 1% hivyo uko sahihi kikatiba na ajenda zinaweza kujadiliwa.

View attachment 1503539

Namuona Kijana MWENZETU Joshua Nassari....
Karibu Sana komredi,karibu nyumbani Kaka.
Mlituzodoa Sana kwa maneno ya KUCHUSHA huku mkisahau maisha NI safari ndefu na SIASA ZINABADILIKA...ila tumewasamehe kwa Maana mmeshajua Sasa kuwa AKIBA YA MANENO NI SILAHA KUBWA MAISHANI.

Najua mmeshajitambua....
Najua mmeshabadilika....
Najua mmeshaacha MAZOEA.....

Karibu Tukijenge chama,braavooo.

Hasta la Victoria CCM
Siempre siempre CCM
ALuta continua CCM
Viva CCM
KIDUMU CCM.

TWENDE NA MAGUFULI KIUNZI CHA 2020.
 
Hakuna aliyemkataza kugombea, wala kugombea siyo kosa na yeye siyo wa kwanza. Nikukumbushe wakati wa Mkapa alikuwepo Nasi Mnasa -MNEK, wakati wa Kikwete alikuwepo Shibuda. Tatizo ni kuanza harakati za kugombea kabla ya wakati, naomba pia usipotoshe hii ni kwa ngazi zote kuanzia mtaa, vitongoji, vijiji, shehia, jimbo na Urais wakati na kabla ya JPM.

Pia kama wewe ni mwanazuoni naomba kukujulisha kuwa kuna kitu kinaitwa "organization culture" , Membe alikiuka utamaduni wa CCM ,na alikuwa na lengo la ku sabotage Serikali iliyopo madarakani. Kama kawaida pokeeni kapi hilo mpitisheni tukutane Oktoba 2020.

Sasa mbon Mzee Baba alianza kampeni mara tu baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015! Wapinzani walipigwa marufuku kufanya siasa, Alipiga marufu Bunge Live, Uhuru wa Vyombo vya Hqbari uliminywa kwa kiwango cha juu sana, mitandao ya kijamii nayo haikuachwa salama, nk.

Hii sasa ndiyo tunayoiita mkuki kwa nguruwe.
 
Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa unaofanyika kwa siku mbili kuanzia leo Jumamosi, Julai 11, 2020 jijini Dodoma, Wajumbe 1,846 wanatarajiwa kushiriki. Mkutano huo unongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli.

AJENDA:
1. Kufungua Mkutano

2. Marekebisho ya Katiba ya CCM ya Mwaka 1977, Toleo la 2017

3. Taarifa za Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2015-2020 za SMZ, SMT na CCM

4. Uteuzi wa Mgombea wa CCM wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

5. Kufunga Mkutano.

View attachment 1503538


UPDATES;

Mkutano Mkuu wa CCM unafanyika leo tarehe 11 Julai 2020 ukiwa na lengo kuu la kumpitisha mgombea wa Urais wa JMT.

Mkutano umehudhuriwa na wanachama 1,822 huku wanachama waliokosekana wakiwa 23 sawa na 1% hivyo uko sahihi kikatiba na ajenda zinaweza kujadiliwa.

View attachment 1503539
Hawa wasaliti wamefurahia
 
Mzee Lowassa anamuomba mh.RAIS Magufuli aendelee KUFINYA....ili SPIDI isipungue........

Viva CCM
 
Wakuu kwema ,poleni na hongera kwa majukumu ,Leo ni tarehe 11/07/2020 ambapo CCM wanafanya Mkutano Mkuu ,katika kikao hili kuna watu wawili wamenifurahisha ,Kwanza ni kumuona mzee wetu Lowasa akitoa neno la pongezi kwa Mhesh Rais wetu ,Pili Mzee wetu Mrema alipofanikisha kumchekesha Rais wetu ama kweli wazee ni hazina ya nchi na jamii kwa ujumla.
 
Sia
Bado nashangaa lipumba, mrema wanatafuta nini kwenye mkutano wa ccm, mwenye majibu anisaidie

Siasa si uadui km mnavyotaka iwe.....

Mrema alikuwa CCM....
Lipumba naye......

Lakini pia mkutano mkuu wa CCM unawaalika wanasiasa wa upinzani.

Chukua hiyo.
 
Namuona Kijana MWENZETU Joshua Nassari....
Karibu Sana komredi,karibu nyumbani Kaka.
Mlituzodoa Sana kwa maneno ya KUCHUSHA huku mkisahau maisha NI safari ndefu na SIASA ZINABADILIKA...ila tumewasamehe kwa Maana mmeshajua Sasa kuwa AKIBA YA MANENO NI SILAHA KUBWA MAISHANI.

Najua mmeshajitambua....
Najua mmeshabadilika....
Najua mmeshaacha MAZOEA.....

Karibu Tukijenge chama,braavooo.

Hasta la Victoria CCM
Siempre siempre CCM
ALuta continua CCM
Viva CCM
KIDUMU CCM.

TWENDE NA MAGUFULI KIUNZI CHA 2020.


Wewe kwa akili zako.unafikiri anaipenda CCM au Ni fursa kafata?? Watu wengi wamefata fursa CCM
 
Back
Top Bottom